Km huzijui, hapa ndio pa kujifunza. Angalia mwenzako Khanji Bhai alivyojibu kwa ufasaha:
(1) Mfa maji?… tampa life jacket.
(2) Mwenda pole?…tachelewa fika.
(3) Usipoziba ufa...
Jamani wale Aza Boys wenzangu nashauri tuunde Alumni yetu. Ingawa miaka ya karibuni imekuwa na mchanganyiko hata hivyo ali mradi mtu amepita katika majengo yale tuwe na umoja wetu hata humuhumu...
Leo katika hali ambayo sikutegemea nimetoka kazini mbio mbio kuja kuangalia taarifa ya habari nikuwa na hamu ya kuangalia na kusikiliza kambi ya upinzani wakitoa bajeti yao mbadala, lakini sikuona...
Inauma unapoona heshma inakutoka....
Tena inapofikia hadi mtoto mdogo anakucheka, hapo inauma zaidi...
Haya matatzo yote ya nchi niipendayo yana dawa! Dawa ni lazma iwe chungu kupta shubiri...
1.Ikidhitishwa umeiba mali ya UMMA ( UFISADI )
Ukatwe mkono wa kulia na kufilisiwa mali zako zote
2.Ukikamatwa na kosa la kutumia vibaya madaraka
Ukatwe makalio yote mawili ili usiwe unakaa uwe...
Zaman utaftaji wa marafiki ulikua kwenye magazeti tu, sio cku hizi kwenye maFacebook, twitter etc.Hiyo ilikua miaka ya 9O mwishoni wakati huo nlikua mdogo. Kulikua na Mjomba angu alitoa address...
Jamaa na mkewe walikuwa wakivunga watoto pindi wanapotaka kula uroda, jamaa humuita mkewe:" mama nanihii niletee typewritter yangu", basi mama anaenda na mambo yanaendelea. Siku moja jamaa karudi...
Ilikuwa ni noma mbaka huruma baada ya dogo mmoja kumuaga mwalimu wake ili arudi nyumbani kwa kisingizio kuwa babu yake amefariki baadaye mwalimu anaenda msibani eti babu anamwambia mjukuu jifiche...
Dada Mmoja alipata Mimba ikawa na Mapacha ndani... Sasa Mwanaume alivyokuwa kazini yule dada akaenda kinyume na sheria akamleta mwanaume mwengine ndani ya nyumba na mambo yakawa kama hivi ndani ya...
Bakhili mmoja baada ya kuaga dunia alienda direct mbinguni..akakabidhiwa ghorofa mbili kama zawadi.kwa ubakhili wake alizipangisha zote akaenda kuishi jehanam.
Hello wana Jf
Nilikuwa naomba kushare na nyinyi hisia zenu, hasa kwa wana JF ambao wameshawahi kufungiwa(BAN) humu jamvini :-
nina mambo machache nataka kujua kutoka kwenu
1. ulikuwa unajiskiaje...
1.Enter any 11-digit prime number to continue.
2.Press any key to continue or any other key to quit.
3.Press any key except... no, No, NO, NOT THAT ONE!
4.Bad command or file name! Go...
Hizi Ndio kumbukumbu zangu za visa za Madenge sijui na wenzangu mnakumbuka zipi?
1. Madenge Darasani kwao alikuja mwalimu mpya wa kike. Akauliza swali 2+2= ? Madenge kama kawaida yake...
Kuna siku nilipanda daladala toka Tegeta mpaka Ubungo na bahati mbaya sikupata bahati ya kupata siti,nikatafuta daladala ya kwenda mbagala nako nilisimama hadi Buguruni, asubuhi hiyo! Baada ya...
Memory was something you lost with age
An application was for employment
A program was a TV show
A cursor used profanity
A keyboard was a piano
A web was a spider's home
A...
Kuna waziri mmoja katika serikali za awamu zilizopita alikuwa waziri wa maji, alikuwa hataki kupigwa picha hii ni kutokana na sura yake kuwa mbaya yan hata sura yake mwenyewe hakupenda kuiona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.