JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kulala gizani..Haina Majasho Petrol 2500 ...haina majasho maPriest kuuza unga...haina majasho dawa za bil 8 kuoza MSD ..haina majasho JET ya TPDF kubeba mtuhumiwa asiye na kesi...haina majasho...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Sharobaro katumiwa sms ya ngeli na demu wake, mwisho imeandikwa "some text missing**" sharobaro kujifanya mjuaj akajibu, some text missing too
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Baba mkwe mmoja kutoka bush alingia mjini. Akakuta wajukuu zake wanagombania barafu .akawapora akijua labda ni ndio almasi akauze. akaweka katika mfuko. Baada ya muda wakiwa pamoja. Watoto...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Binti mmoja alilelewa katika maadili mazuri sana na wazazi wake hadi ukubwani. Kama ujuavyo, binti mwenye maadili hakawii kupata mchumba; akachumbiwa na hatimaye akaolewa. Siku tatu tu baada ya...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
MAMA MKWE:Heee wee binti huyu mtoto mbona hafanani na kijana wangu? BINTI:Mama samahani huku chini nina njia za uzazi na sio machine ya photocopy! MAMA MKWE:mmhhhhhhhhhhhh!
0 Reactions
14 Replies
2K Views
From Yahoo friends Absolutely amazing! Beauty of Mathematics !!!!!!! 1 x 8 + 1 = 9 12 x 8 + 2 = 98 123 x 8 + 3 = 987 1234 x 8 + 4 = 9876 12345 x 8 + 5 = 98765 123456 x 8 + 6 =...
6 Reactions
13 Replies
5K Views
Ilikuwa ni noma mbaka huruma baada ya dogo mmoja kumuaga mwalimu wake ili arudi nyumbani kwa kisingizio kuwa babu yake amefariki baadaye mwalimu anaenda msibani eti babu anamwambia mjukuu jifiche...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
dad to son: when i beat u, what do u do!? Son: i start cleaning up toilets. Dad: how does that help u!? Son: coz i use ur toothbrush.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Imeshakuwa kama kamchezo kwa viongozi mbalimbali kuitumia Kariakoo kama mfano mbaya pale wanapotaka kufananisha na jambo baya Awali kabisa alikuwa Makamba. Nikaja kumsikia tena jamaa mmoja...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Jamaa mmoja alikwenda ofisi za traffic kurenew leseni yake, traffic akamwambia kuwa leseni yake imekwisha kwa sababu ya kuzunguka na gari sana.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Three contractors are bidding to fix a broken fence at the Ikulu's House. One from South Afrika, another from Kenya and the third from Tanzania. They visited the State House office to examine the...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mvuta bangi kavuta zake bangi...tena mchana kweupe. akawa anarudi nyumbani kumbe katika kutembea, mguu mmoja ukaingia mtaroni akawa anatembea hivohivo. Kwa hiyo mguu mmoja mtaroni mwingine...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ilitokea jana jioni mitaa ya tabata mbele kidogo ya bima, mambo yakawa kama hivi: Abiria: kondaaaa simamisha kwa mwarabu.. Konda: waarabu huwa hawanipe stimu kabisa sidhani kama itasimaa labda...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mswahili mmoja mvivu sana alikwenda kwa kinyozi, alipokaa tu kwenye kiti kinyozi akamuuliza unataka kunyolewa ndevu au nywele? Mvivu akajibu ndevu, kinyozi akamwambia inua kichwa basi, jamaa kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Baba mmoja wa kichaga aliingia chumbani kwa watoto wake watatu wamelala wamewasha feni namba 5, akafoka na kuwaambia: "ati nini, nyie ni watatu na feni namba 5 kwanini msiweke namba 3?"
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamaa Baghili Siku ya Sikukuu alienda kununuwa Mbuzi Kufika Bei aliyoambia kama kawaida yake ikabidi afanye juu chini ishushwe akapewa kwa Bei Rahisi sasa kufika kwa mchinjaji sasa alimtafuta...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bodaboda ilipata ajali ya kuacha njia na kutumbukia kwenye mtaro. kilicho washangaza na kuwasikitisha wengine pia kufurahisha wapitanjia ni ule wimbo uliokuwa ukiimbwa na ile pikipiki ni ule...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
1-speed angalau kilomita kumi kwa saa2-mlo mmoja kwa siku3-maji lita tano kila unapotembea 4-bukta ya dhalula ndani ya sulali au siketi5-uwe tayari kulala popote hata ukumbi wa disko6-usisahau...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
walikua ni wachekeshaji wazuri sana sijui vimepotelea wapi vipaji hv!!!ni mheshimiwa Pembe na mzee Senga
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Back
Top Bottom