ITV na mipango ya KUHUJUMU WAPINZANI

ITV na mipango ya KUHUJUMU WAPINZANI

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2010
Posts
7,263
Reaction score
685
Leo katika hali ambayo sikutegemea nimetoka kazini mbio mbio kuja kuangalia taarifa ya habari nikuwa na hamu ya kuangalia na kusikiliza kambi ya upinzani wakitoa bajeti yao mbadala, lakini sikuona kilichotokea HEADING YA ITV ilikuwa bajeti mbadal ya upinzani cha hajabu zitto kupewa sekunde 8 na kipengele alichoongea ni posho tu

Yaan ITV wameona cha maana kilichoongelewa na zito ni posho tu??? kwanini zitto anapewe second 8?? wakati taarifa nzima wengine wanapewa more than 2-3 minutes unaelewa na content za habari lakini bila ya kusoma JF huwezi kujua zitto kaongea nini . ITV huu sio usawa kukandamiza wapinzani na kukumbatia magamba na kuuwa democracia, kwanini mkullo alipewa more than 8seco????? kwanini ITV mnadhalau wapinzania??? je yaliyoongelewa leo hayana umuhimu?


 
Kwani yeye si amesoma kwa niaba ya chama? Mmezoea kila kitu wachaga mbona itv imewachunia cdm muda mrefu tu sasa au yenyewe ya msukuma
 
Nadhani ni matatizo ya kiufundi tu na bahati mbaya,ITV wanetu sana wale mabwana sio kama malimbukeni TBC
 
Siyo hii tu.,hata jana kuna ishu zilikuwa kwenye heading ya bunge alafu wakadisplay mengine,ITV wanafiki sana wanatoa habari nusunusu...ni bora hata ya star tv
 
Kweli itv ni wanafki sana yani wao wapo vuguvugu hawatikujulikana wapo upande gani.
tunawaomba wabadilike na wawe fair hiyo tabia yao itawaponza.
 
Jaman mnawaonea itv, wako fair tatizo teknolojia yao bado ipo chin.. Na ndomana hawarush live
 
itv ni wanafiki bora mlimani tv wamejitahidi alafu leo si wamekata umeme makusudi hlo linajukikana
 
Bora sisi tulio Mtwara hatutumii umeme wa grid. Tunakula Artumas kwa kwenda mbele! Umeme unakatika na kurudi baada ya dk15-30 tu! sema nao wamezidi kuiogopa CDM.Kipindi kile Dr Slaa pale Jangwani yaani basi tu!
 
Back
Top Bottom