Manyanza
Platinum Member
- Nov 4, 2010
- 20,009
- 45,723
Hello wana Jf
Nilikuwa naomba kushare na nyinyi hisia zenu, hasa kwa wana JF ambao wameshawahi kufungiwa(BAN) humu jamvini :-
nina mambo machache nataka kujua kutoka kwenu
1. ulikuwa unajiskiaje ulipokua ukiiingia kama guest user wakati ni member
2. ulikuwa unajisikiaje unapokua na kitu, jambo, taarifa muhimu unataka kuiibandika lakini unajikuta upo kifungoni?
3. ulikuwa unajisikiaje unapoona Member mwingine anakuchokoza kwa makusudi na unatamni kujibu lakini unajikuta upo jera?
4. ulikuwa unajisikiaje pale ambapo member wenzako walipokuwa wanaku miss na kufikia hata hatua ya kukuombea ufutiwe adhabu na Mods?
Asanteni natumaini kusikia hisia zenu, hata kwa wale ambao hawajawahi kupewa BAN watajisikiaje siku ambayo watapewa BAN?
Nilikuwa naomba kushare na nyinyi hisia zenu, hasa kwa wana JF ambao wameshawahi kufungiwa(BAN) humu jamvini :-
nina mambo machache nataka kujua kutoka kwenu
1. ulikuwa unajiskiaje ulipokua ukiiingia kama guest user wakati ni member
2. ulikuwa unajisikiaje unapokua na kitu, jambo, taarifa muhimu unataka kuiibandika lakini unajikuta upo kifungoni?
3. ulikuwa unajisikiaje unapoona Member mwingine anakuchokoza kwa makusudi na unatamni kujibu lakini unajikuta upo jera?
4. ulikuwa unajisikiaje pale ambapo member wenzako walipokuwa wanaku miss na kufikia hata hatua ya kukuombea ufutiwe adhabu na Mods?
Asanteni natumaini kusikia hisia zenu, hata kwa wale ambao hawajawahi kupewa BAN watajisikiaje siku ambayo watapewa BAN?