Ni mwalimu babu na mjukuu.

Adam waTZ

Member
Jun 14, 2011
83
9
Ilikuwa ni noma mbaka huruma baada ya dogo mmoja kumuaga mwalimu wake ili arudi nyumbani kwa kisingizio kuwa babu yake amefariki baadaye mwalimu anaenda msibani eti babu anamwambia mjukuu jifiche wewe si umetoroka? Mwalimu wako anakuja, dogo anajibu babu jifiche wewe nimemuaga umekufa daah babu alinyog'onyea hadi chini!!.
 
hahaaaa! huyo babu labda ni madenge manake toka kipindi chake kwa sasa atakua ameshazeeka.
 
Back
Top Bottom