Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 284
Inauma unapoona heshma inakutoka....
Tena inapofikia hadi mtoto mdogo anakucheka, hapo inauma zaidi...
Haya matatzo yote ya nchi niipendayo yana dawa! Dawa ni lazma iwe chungu kupta shubiri ili mtanzania apone..... Hakuna k2 kischowezekana, never say never!
Ningependa rais wangu anageuka shujaa, kwa nini isiwezekane? Mbona wako marais wanaoheshmika kwa kufanya MAGEUZ wakiwa madarakani... Vladmir Putin had leo wa-Rusia wanamtaka awatawale.... Bingu wa Mutharika anaheshmka sana Malawi...
Ningekuomba Kikwete ujitoe katika hcho chama {CCM} na ukifute kabisa na uanzishe chama kipya.....
Nachukia na kulaani KUJIVUA GAMBA, ctak kucikia huo upupu! Halafu sekretariet ya CCM mmeharibu kabsa... Nape na J.Makamba hamna k2, they ar scrap, mbumbumbu...
Piteni vyuo vikuu humu, wako vijana wakali na hatar wanahtimu, GPA KUBWA NA VERY MUCH REASONING! Hao mliowapa vyeo hapo hstoria zao znaonyesha hawana k2... Tutawacheka mpaka basi!
Hebu ona CDM, JESH LA WATU WACHACHE, wote majenerali! Kila mmoja ana IQ ya kutsha... Nape anaweza na kubshana na diwan wa CHADEMA AKASHNDWA!
Nawasilisha...
Tena inapofikia hadi mtoto mdogo anakucheka, hapo inauma zaidi...
Haya matatzo yote ya nchi niipendayo yana dawa! Dawa ni lazma iwe chungu kupta shubiri ili mtanzania apone..... Hakuna k2 kischowezekana, never say never!
Ningependa rais wangu anageuka shujaa, kwa nini isiwezekane? Mbona wako marais wanaoheshmika kwa kufanya MAGEUZ wakiwa madarakani... Vladmir Putin had leo wa-Rusia wanamtaka awatawale.... Bingu wa Mutharika anaheshmka sana Malawi...
Ningekuomba Kikwete ujitoe katika hcho chama {CCM} na ukifute kabisa na uanzishe chama kipya.....
Nachukia na kulaani KUJIVUA GAMBA, ctak kucikia huo upupu! Halafu sekretariet ya CCM mmeharibu kabsa... Nape na J.Makamba hamna k2, they ar scrap, mbumbumbu...
Piteni vyuo vikuu humu, wako vijana wakali na hatar wanahtimu, GPA KUBWA NA VERY MUCH REASONING! Hao mliowapa vyeo hapo hstoria zao znaonyesha hawana k2... Tutawacheka mpaka basi!
Hebu ona CDM, JESH LA WATU WACHACHE, wote majenerali! Kila mmoja ana IQ ya kutsha... Nape anaweza na kubshana na diwan wa CHADEMA AKASHNDWA!
Nawasilisha...