Sioni mantiki ya kusomwa bajeti za wizara zote bungeni? kwani hakuna bajeti inayoweza kuzuiliwa hata kama haikubaliki.
Kwanza, kwa kuwa wabunge wa chama tawala hawapingi chochote kinacholetwa...
wanajamvi wote! salaam sana.
CDM ni kimeshaonyesha kuwa ni Chama Mbadala na makini. Ukweli unabaki pale pale. Kinatawala nchi hii kwa mlango wa Nyuma. Vichwa kama Slaa, Mbowe Zitto na wengine...
YALE yanayooneshwa katika TBC yamefanikiwa kukifanya kipindi laivu cha bunge kuwa 'soap-opera' bora nchini. Hivi sasa, hasa, kukiwa na hoja moto inayompa spika ujeuri na jazba na hali kadhalika...
Mwenzenu nimejaribu kufikiri kwa undani juu ya matamshi ya ndg samwel 6, nimekubaliana na ule msemo wa kiswahili unaosema 'Ukiona manyoya, ujue ameliwa'. Sasa nimeona manyoya na ku conclude kuwa...
Kama lipo lipo,kama halipo laja,ukiona watu wanakutupia jicho jiulize kwanini?labda hukuvaa inavyostaqhili,uko uchi,au umechanganyikiwa au una kasoro fulani.lakini pia ukiona wanatoa...
Baada ya Rostam kuachia ngazi sasa ni zamu ya mapacha wengine nao kufuata nyayo zake, baada ya hapo mama na baba yao nao wafuate, baada ya hapo wadogo zao na wajomba zao pia wafuate pia.
Kama...
Dereva mmoja ambaye ni mtu wa makamo alikuwa kapaki taxi yake kwenye eneo la maegesho,
akaja mtu mmoja aliyehitaji huduma ya usafiri. Baada ya makubaliano walianza safari yao, baada ya
safari ya...
This is an actual real event that took place and this is some ones USHUHUDA LOL!
It's just another scam..... here's one that happened to me, that you men should be sure to watch out for.
Over...
Kuna Singasinga mmoja alikuwa anajamba ovyo usiku kucha, kwa kila aina ya sauti. Mkewe akamuuliza 'una nini leo?' Akajibu 'natafuta ringtone ya ****** yangu'
Tumesikia kwa watoto wake na hata vijukuu vyao, hilo limerudi Dar. Majuzi tu tulisikia oh hakuwa anaumwa oh alikuwa kaenda kutibiwa na hakuwa hospitalini. Alielipia hizo bills huko nje ya nchi ni...
WanaJF huyu mtu naomba contact zake tuuuuu.....najua yuko hapa kila wakati.....ana mdomu umejaa strawberry sijui, sijui nini yaani full utamu...BelindaJacob mama kama unanisikia kilio changu.....
Siku moja Padre mmoja na sister walikuwa safarini, usiku uliwakuta katika mji mmoja wa kigeni hivyo wakalazimika kutafuta mahali pa kujihifadhi ili kutakapokucha waendelee na safari yao...
Jeneza Lenye Kichwa Cha Mbuzi Lakutwa nje ya Nyumba Mbezi Luis, Dar es Salaam
Mkazi mmoja wa Mbezi Luis jijini Dar es Salaam, ameamka asubuhi na kukuta jeneza likiwa limewekwa mbele ya mlango wa...
As the bus stopped and it was her turn to get on, she became aware that her skirt was too tight to allow her leg to come up to the height of the first step of the bus. Slightly embarrassed and...
Jamani niko Mwanza, na nimepata nafasi ya kufika hapa Malaika Beach Hotel, ni hotel nzuri sana, haijakamilika na wahudumu wamezubaa.
Je ikikamilika na huduma zikiboreshwa inaweza kuwa na nyota...
Wanajf nimekuwa nikiona watu wengi wanaosakata rumba na miziki mbali mbali wanatikisa kiuno tu, hii ndo aina pekee na maalum ya kucheza muziki tu au ni kutofahamu aina za kucheza mziki , hapa tz...
Kuna uvumi kuwa mfalme wa Ashanti GHANA yuko nchini kujaribu kuwapatanisha Mkapa na Kikwete wamalize tofauti zao kiutu uzima chini ya usuluhishi wake.Sijui ni kweli
Habari za saa hizi Mabibi na Mabwana.
Ufuatao ni utabiri wa hali ya Umeme kwa siku ya leo!
Pepo za umeme zitavuma taratibu kutoka upande wa kusini mwa Dar es Salaam kuelekea upande wa Kaskazini...
Haya maonezi bana,kama sigara zinauzwa halafu zimeandikwa kwenye paketi;ONYO,NI HATARI KWA AFYA YAKO,basi na GONGO nayo iuzwe kihalali na chupa zake ziandikwe;ONYO,NI HATARI KWA AFYA YAKO!