BelindaJacob.....

BelindaJacob.....

Magulumangu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2010
Posts
3,051
Reaction score
462
WanaJF huyu mtu naomba contact zake tuuuuu.....najua yuko hapa kila wakati.....ana mdomu umejaa strawberry sijui, sijui nini yaani full utamu...BelindaJacob mama kama unanisikia kilio changu.....
 
Lips zake zina kaupele fulani hivi,....yaani acheni tu kikipata fundi kama sisi, maswali ya ulikuwa wapi yanafutika automatikali...BelindaJacob bado nalia uko wapi mama?
 
WanaJF huyu mtu naomba contact zake tuuuuu.....najua yuko hapa kila wakati.....ana mdomu umejaa strawberry sijui, sijui nini yaani full utamu...BelindaJacob mama kama unanisikia kilio changu.....

heheheeh kama BJ ni mke wa mod au at least GF wa mod basi kijana jiandae na ban.
 
Mbona inaonekana kama unamfahamu vizuri,uliogopa kumpa lyrincs live nini?
 
Sasa kilicho kushinda kuanzisha kule chit chat ni nini?!Na klichokuzuia kumPM ni nini?!Na kilichokufanya utamani avatar ni nini?!20% kashasema tamaa mbaya!!
 
quote limegoma bana!

Lizzy:

kwanza hisia hazina jukwaa
pili mapenzi hayana sababu

mimi mwenyewe nimejikuta napenda spelling za jina lako tu walahi! khaaa RIP klorokwini, mapenzi hayauwi lakini yanasababisha kifo. nakufa jamani
 
quote limegoma bana!Lizzy:kwanza hisia hazina jukwaapili mapenzi hayana sababu mimi mwenyewe nimejikuta napenda spelling za jina lako tu walahi! khaaa RIP klorokwini, mapenzi hayauwi lakini yanasababisha kifo. nakufa jamani
Tamaa kama yako na Magulu zina sababu.....Embu niquote kabla sijakuombea ban!!!!
 
WanaJF huyu mtu naomba contact zake tuuuuu.....najua yuko hapa kila wakati.....ana mdomu umejaa strawberry sijui, sijui nini yaani full utamu...BelindaJacob mama kama unanisikia kilio changu.....

 
Last edited by a moderator:
sjui kwanini kwenye sredi hii quote zinagoma?
Lizzy:

toa sababu 2 za tamaa, adhawaizi una kesi ya kujibu
 
sjui kwanini kwenye sredi hii quote zinagoma?Lizzy:toa sababu 2 za tamaa, adhawaizi una kesi ya kujibu
Sura nzuri kama yangu...macho ya kurembua bila kulazimisha...sauti nzuri zaidi kinanda...pesa...ukareeee na jina kubwa!
 
Sura nzuri kama yangu...macho ya kurembua bila kulazimisha...sauti nzuri zaidi kinanda...pesa...ukareeee na jina kubwa!

tobaaaa! ramani ya suruali yangu imebadilika ghafla! (Mungu epusha mbali hii sredi isje ikapelekwa jukwaa la wakubwa).
 
Khaaaa....unaona ulivyo na tamaa!!!?
hiyo sio tamaa bana ni nature! hivi umesahau kwenye baiolojia wanasema kila sekunde kunatengezwa sperms millioni something, sasa unadhani kama hawajapungua kupitia posts za lizzy si watazeeka halaf wasababishe cancer? think! Lizzy think
 
hiyo sio tamaa bana ni nature! hivi umesahau kwenye baiolojia wanasema kila sekunde kunatengezwa sperms millioni something, sasa unadhani kama hawajapungua kupitia posts za lizzy si watazeeka halaf wasababishe cancer? think! Lizzy think
Gosh Kloro....ngoja nikalale sasa kabla sijahamishia bifu pande hizi.Ila nakuasa TAMAA MBAYA!!!Alafu nilifeli chekechea kwahiyo bailojia hua nasikia tu mtaani!!
 
Gosh Kloro....ngoja nikalale sasa kabla sijahamishia bifu pande hizi.Ila nakuasa TAMAA MBAYA!!!Alafu nilifeli chekechea kwahiyo bailojia hua nasikia tu mtaani!!
namimi nalog out! usjali nitakusomesha baiolojia kwa vitendo! vere soon
 
Beautiful, gorgeous, Breath taking
Oooihhhh boy
there is no words to described her beauty ..

Maguu my dear
Kila lakheri tuliomwona
Tunasema kabarikiwa
....
 
WanaJF huyu mtu naomba contact zake tuuuuu.....najua yuko hapa kila wakati.....ana mdomu umejaa strawberry sijui, sijui nini yaani full utamu...BelindaJacob mama kama unanisikia kilio changu.....
Naona umechoka kupumua bure! Nitakupa uhamisho wa bure kwenda ahera!!! Yani mke wangu BJ unamshobokea tena kwa kutangaza kabisa? Khakiya Mungu niombe radhi kijana!!
 
WanaJF huyu mtu naomba contact zake tuuuuu.....najua yuko hapa kila wakati.....ana mdomu umejaa strawberry sijui, sijui nini yaani full utamu...BelindaJacob mama kama unanisikia kilio changu.....
Mkuu komaa ucchoke, kifaa kipo pouwa nadhan mtaendana teh! teh! Klorokwin twampa Lizzy!
 
Tamaa kama yako na Magulu zina sababu.....Embu niquote kabla sijakuombea ban!!!!

Jamani yaani umwombee mwenzio ban kwa kukuzimia....lol..............................usiwe mkali hivyo mwelewe tu halafu mvumilie tu...........................chembe chembe hujaza kibaba..................
 
Back
Top Bottom