Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 309
Baada ya Rostam kuachia ngazi sasa ni zamu ya mapacha wengine nao kufuata nyayo zake, baada ya hapo mama na baba yao nao wafuate, baada ya hapo wadogo zao na wajomba zao pia wafuate pia.
Kama ningekuwa mrithi wa Shekh Yahya ningeitisha mkutano wa waandishi wa habari kutangaza kuwa kufikia mwaka 2015 chama kimoja kikongwe hapa nchini kitakuwa kimesambaratika, katibu wake mwenezi na katibu mkuu watakuwa wamefukuzwa kazi ifikapo 6 February 2012.... na nina uhakika yote haya yatatokea
Kama ningekuwa mrithi wa Shekh Yahya ningeitisha mkutano wa waandishi wa habari kutangaza kuwa kufikia mwaka 2015 chama kimoja kikongwe hapa nchini kitakuwa kimesambaratika, katibu wake mwenezi na katibu mkuu watakuwa wamefukuzwa kazi ifikapo 6 February 2012.... na nina uhakika yote haya yatatokea