Samwel 6 amechakachuliwa sasa, hatufai kabisa

Samwel 6 amechakachuliwa sasa, hatufai kabisa

Mpendwa

Member
Joined
Jun 9, 2011
Posts
56
Reaction score
11
Mwenzenu nimejaribu kufikiri kwa undani juu ya matamshi ya ndg samwel 6, nimekubaliana na ule msemo wa kiswahili unaosema 'Ukiona manyoya, ujue ameliwa'. Sasa nimeona manyoya na ku conclude kuwa huyu mheshimiwa ameliwa na kuchakachuliwa kabisa. amesahau kuwa na yeye alichoshwa na ccm na kutaka kuanzisha ccj, leo amekosa usajili anajifanya ana uchungu na ccm kwa kuitetea na kuita wapinzani wanafiki!! Kitu kingine nilishangaa na kuona these people are too political - ccm based@! Yeye anasema 'unajua sisi wabunge wa ccm tunapaswa kuwapuuza hawa wapinzani!! Suala la kitaifa unaingiza u ccm, are you mad? Niambieni wana JF mnalionaje hili suala?? Asanteni
 
Samwel Sitta ni moja wapo ya wanasiasa waongo na wanafiki wakubwa saaaana hapa nchini. Kinachosumbua ni mzimu wa CCJ.Huyu lazima naye avuliwe gamba kwani ni mhaini ndani ya CCM.
 
S. Sitta ati anakaimu waziri mkuu, inamaana hawajui kuwa naye ana chama ndani ya chama.
 
yeah you must use your charm with that. have a nice day everyone!!
 
Back
Top Bottom