nitasemaukweli
Member
- May 27, 2011
- 86
- 19
Tumesikia kwa watoto wake na hata vijukuu vyao, hilo limerudi Dar. Majuzi tu tulisikia oh hakuwa anaumwa oh alikuwa kaenda kutibiwa na hakuwa hospitalini. Alielipia hizo bills huko nje ya nchi ni wananchi kama kawaida ni mimi na wewe. Sasa tusubiri fisadi lipi litaondoka tena na kwenda UK, India au US kupata matibabu kwani wao na maisha yao ni bora zaidi.
kama elimu wanavyosomesha nje huku wakisema vijana someni kwa bidiiii hapa hapa Tanzania. Hii ndio culture na traditions ndani ya itikadi za ccm. When do these criminals going to stop these fraud? Thats why they are seeking posho na gharama za juu kwa migongo ya watanzania.
Hebu turudi na story fake ya Rostam, wakati malecela, mkapa, lowassa, chenge, kikwete bado wapo wanaruka mitaani na assets za wananchi. Wanakwenda lini jela hawa, atuulizi lini wanarudisha kadi za kigwanda au kadi za kihuni.
Hakuna kurudi nyuma na mpaka kieleweke hata watoto wao wakija na dharau zao.
Malecela apona, arejea Dar
MKONGWE wa siasa nchini, mzee John Samuel Malecela, ambaye hivi karibuni alifanyiwa upasuaji mkubwa wa moyo nchini Uingereza, amepata nafuu na amerejea nchini.
Habari ambazo Tanzania Daima imezipata, zilisema kuwa mzee Malecela ambaye ni mjumbe wa Kamati Kuu (CC) na Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM, aliwasili nchini juzi akitokea Uingereza alikokuwa akitibiwa.
Malecela amewasili nchini jana akiwa na mkewe Mama Anne Kilango, Mbunge wa Same Mashariki (CCM). afya yake ni nzuri na leo (jana), alitarajiwa kusafiri kwenda mjini Dodoma kwa mapumziko zaidi, alisema mtoa habari wetu.
Walioshuhudia mkongwe huyo akiwasili katika uwanja wa ndege, walisema kuwa alionekana mwenye afya njema na mchangamfu, hali iliyoashiria kwamba amepata nafuu.
Akizungumza na gazeti hili jana, Mama Kilango, alisema mkongwe huyo wa siasa nchini amepata nafuu na anaendelea vizuri.
Nashukuru Mungu, mzee amepata nafuu, afya yake inaendelea vizuri na leo atasafiri kwa ndege kwenda Dodoma, akiambatana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alisema Mama Kilango.
Taarifa za kuugua hadi kufanyiwa upasuaji kwa mzee Malecela, kwa mara ya kwanza zilitolewa bungeni na Spika, Anne Makinda.
Makinda alitoa taarifa hiyo akiwaeleza wabunge sababu za kutoonekana bungeni kwa Mama Anne Kilango tangu kuanza kwa kikao ca Bunge la Bajeti kinachoendelea mjini Dodoma.
Mzee Malecela ambaye amepata kushika nyadhifa mbalimbali za chama na serikali, ikiwamo uwaziri mkuu na makamu mwenyekiti wa CCM taifa ni mmoja wa wazee wachache wanaoheshimiwa na kutegemewa sana ndani ya CCM.
Kitu nimekiona ni kwamba watoto wa mafisadi bado wanasikiliza stories za vitandani ili waende kulala na sisi hatuna muda wa kuwamsha, waacheni jamani ati.
FREE MEDIA
kama elimu wanavyosomesha nje huku wakisema vijana someni kwa bidiiii hapa hapa Tanzania. Hii ndio culture na traditions ndani ya itikadi za ccm. When do these criminals going to stop these fraud? Thats why they are seeking posho na gharama za juu kwa migongo ya watanzania.
Hebu turudi na story fake ya Rostam, wakati malecela, mkapa, lowassa, chenge, kikwete bado wapo wanaruka mitaani na assets za wananchi. Wanakwenda lini jela hawa, atuulizi lini wanarudisha kadi za kigwanda au kadi za kihuni.
Hakuna kurudi nyuma na mpaka kieleweke hata watoto wao wakija na dharau zao.
Malecela apona, arejea Dar
MKONGWE wa siasa nchini, mzee John Samuel Malecela, ambaye hivi karibuni alifanyiwa upasuaji mkubwa wa moyo nchini Uingereza, amepata nafuu na amerejea nchini.
Habari ambazo Tanzania Daima imezipata, zilisema kuwa mzee Malecela ambaye ni mjumbe wa Kamati Kuu (CC) na Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM, aliwasili nchini juzi akitokea Uingereza alikokuwa akitibiwa.
Malecela amewasili nchini jana akiwa na mkewe Mama Anne Kilango, Mbunge wa Same Mashariki (CCM). afya yake ni nzuri na leo (jana), alitarajiwa kusafiri kwenda mjini Dodoma kwa mapumziko zaidi, alisema mtoa habari wetu.
Walioshuhudia mkongwe huyo akiwasili katika uwanja wa ndege, walisema kuwa alionekana mwenye afya njema na mchangamfu, hali iliyoashiria kwamba amepata nafuu.
Akizungumza na gazeti hili jana, Mama Kilango, alisema mkongwe huyo wa siasa nchini amepata nafuu na anaendelea vizuri.
Nashukuru Mungu, mzee amepata nafuu, afya yake inaendelea vizuri na leo atasafiri kwa ndege kwenda Dodoma, akiambatana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alisema Mama Kilango.
Taarifa za kuugua hadi kufanyiwa upasuaji kwa mzee Malecela, kwa mara ya kwanza zilitolewa bungeni na Spika, Anne Makinda.
Makinda alitoa taarifa hiyo akiwaeleza wabunge sababu za kutoonekana bungeni kwa Mama Anne Kilango tangu kuanza kwa kikao ca Bunge la Bajeti kinachoendelea mjini Dodoma.
Mzee Malecela ambaye amepata kushika nyadhifa mbalimbali za chama na serikali, ikiwamo uwaziri mkuu na makamu mwenyekiti wa CCM taifa ni mmoja wa wazee wachache wanaoheshimiwa na kutegemewa sana ndani ya CCM.
Kitu nimekiona ni kwamba watoto wa mafisadi bado wanasikiliza stories za vitandani ili waende kulala na sisi hatuna muda wa kuwamsha, waacheni jamani ati.
FREE MEDIA