zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,937
Sioni mantiki ya kusomwa bajeti za wizara zote bungeni? kwani hakuna bajeti inayoweza kuzuiliwa hata kama haikubaliki.
Kwanza, kwa kuwa wabunge wa chama tawala hawapingi chochote kinacholetwa bungeni na serikali hata kama hakiwaingii akilini.
Pili, kwa kuwa wabunge wa upinzani ni wachache hata manapozuia shillingi, huzidiwa na wabunge wa chama tawala.
Nadhani ingekuwa vyema ili kuokoa muda na gharama, pale inapopitishwa bajeti ya jumla ya wizara ya fedha, pangeishia hapo hapo na bunge lingetiki kuongelea mambo mengine yeneye maana. Hili la kusoma bajeti za wizara zote ni kudanganyana tu na kutumia fedha zetu (walipa kodi) bila huruma.
Kwanza, kwa kuwa wabunge wa chama tawala hawapingi chochote kinacholetwa bungeni na serikali hata kama hakiwaingii akilini.
Pili, kwa kuwa wabunge wa upinzani ni wachache hata manapozuia shillingi, huzidiwa na wabunge wa chama tawala.
Nadhani ingekuwa vyema ili kuokoa muda na gharama, pale inapopitishwa bajeti ya jumla ya wizara ya fedha, pangeishia hapo hapo na bunge lingetiki kuongelea mambo mengine yeneye maana. Hili la kusoma bajeti za wizara zote ni kudanganyana tu na kutumia fedha zetu (walipa kodi) bila huruma.