JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jamani tusaidiane hapa,,,nani atamcheka mwenzake kati ya:- 1-ARSENANE, 2-MANSIX au 3-CHELFIVE?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Reasons: Kujipendelea wajukuu, kushabikia mila na kuukosoa ubazazi. Period: 1 week Zingatia sheria na kanuni za JF. Onyo: Atakayepinga hii BAN naye anapigwa BAN. Wengine wote muwe na weekend...
7 Reactions
199 Replies
14K Views
Haijawai tokea mwenyewe kusema kama imeingia jamani.Mpaka mimi eti ndo nimuulize kama imeingia wakati yeye ndo anaweka,kama vipi wanajanvi nitaacha. Huyu muuza duka yaani kuweka vocha anaweka...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Watoto watatu walikuwa wanatoka shuleni, wavulana wawili na msichana mmoja. Njiani walikuta mti wa maembe yameiva, wale wavulana wakasema hawajui kupanda ili watungue maembe. Basi yule msichana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwanini kila watu wanapoanza kuhoji kuhusu DOWANS kunakuwa na mgao wa umeme?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
kwa maelezo ya mkuu wa usafiri wa daladala AR amesema huo ulikuwa si mpango wa wenye magari. Amesema ni wahuni tu waliotaka kuleta fojo hizo ambazo ni za kisiasa zaidi. Haya ni maigizo.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
A group of young women decided to arrange for a camp with their mothers-in-laws to hopefully get to know and understand each other better seeing relations between them were very sour...! Two...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
sisi mabachela huwa tuna mtindo wa kuweka masilver, yaani pesa za sarafu kwenye kabox chumbani kwetu, au kidroo kidogo cha kitanda. yani ukitoka kwenye mishemishe zako, silver zote huwekwa hapo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa kauli na msimamo uliotolewa na Uingereza kwa hakika wametuabisha au tumejiaibisha. Wametupa misaada kutulemaza na sisi tukalemaa na kujikuta tumekuwa mateja wa misaada, tukaacha kufanya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Jamani hii imekaaje? UN imesherehekea mtoto aliezaliwa huko Ufilipino ambae ametimiza idadi ya watu bilioni 7 duniani, Maswali machache. 1. Kwanini UN wakaamua kufanya maadhimisho hayo Philipin...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
I just love these dates.......
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wake wawili wanao mgombania mwanaume mmoja wameanzisha vita ya uchawi ili mradi kukomoana tu. Juzi mke mkubwa alimlaza mke mdogo juu ya mbuyu kimazingara kisa kamzuia mume kurudi kwa mke mkubwa...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Ugonvi haukuhusu ya nini kutangazia ulimwengu kuwa unaunga mkono uvamizi wa kuwasaka na kuwaangamiza magaidi, huoni kama utajiletea matatizo ndani ya nyumba yako? Kwani huwezi kuunga mkono kimya...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
10 Husbands, Still a Virgin A lawyer married a woman who had previously divorced ten husbands. On their wedding night, she told her new husband, "Please be gentle, I'm still a virgin."...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mi babako wewe
0 Reactions
0 Replies
971 Views
Jamani wilaya zote za mkoa huu zina manailon kitandani. Mimi ni mgeni kabisa huku, nimejaribu kuwauliza wenyeji wangu wananiambia eti mipira hiyo ni kwa ajili ya tendo la ndoa. Lakini cha ajabu...
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Baba na mama wanatoa shule kwa mtoto wao pekee wa kike namna ya kuwakataa watoto wa kiume Wazazi: Si unajua tena wewe ni binti yetu pekee na tunakupenda sana, angalia wanaume watakuharibu...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Impossible to Please A group of girlfriends is on vacation when they see a 5-story hotel with a sign that reads: "For Women Only." Since they are without their boyfriends and husbands, they...
0 Reactions
0 Replies
801 Views
One day a man came home from work earlier than usual and caught his wife in bed with his best friend. The husband grabbed a gun and shot his friend to death. His wife said, "You know, if you...
3 Reactions
1 Replies
2K Views
Nilimwabia nichomeke akakataa, nikamwambia achomeke yeye akakataa, nikachomeka mimi akachomoa, mh nikasubiri usingizi umshike nichomeke wakati ninachomeka akanishika mikono na akasema nisichomeke...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom