Wewe mtu mzima una post elfu 14 pumba tupu,sasa hii thread ina maslahi gani kwa Taifa? nyie ndio mnaotucheleweshea maendeleo yetuKila siku nafanya visa ili nilambe ban naona sipigwi. Mods wananiogopa, nimeamua kwenda mwenyewe Lupango.
Banned: Asprin
Wewe mtu mzima una post elfu 14 pumba tupu,sasa hii thread ina maslahi gani kwa Taifa? nyie ndio mnaotucheleweshea maendeleo yetu
Nimechoka wengine kuonewa kila siku
Banned: ODM
I'm peepin', and I'm creepin', and I'm creep-inBanned: Yo Yo!
Duration: Permanent
Wewe mtu mzima una post elfu 14 pumba tupu,sasa hii thread ina maslahi gani kwa Taifa? nyie ndio mnaotucheleweshea maendeleo yetu
Maslahi kwa taifa! ni yepi hayo ukiondoa hili la Asprin anayejipiga BAN ilhali serikali ilishaondoa matumizi ya hiki kidonge, nadhani umechelewa, ngoja niwasiliana na mwalimu wa nidhamu PawWewe mtu mzima una post elfu 14 pumba tupu,sasa hii thread ina maslahi gani kwa Taifa? nyie ndio mnaotucheleweshea maendeleo yetu