Kwa sababu hutakiwi kuhoji..
Kwanini kila watu wanapoanza kuhoji kuhusu DOWANS kunakuwa na mgao wa umeme?
Kwa sababu za kiusalama wa taifa, inahofiwa watu wakihoji sana itasababisha uvunjifu wa amani.
Kwanini kila watu wanapoanza kuhoji kuhusu DOWANS kunakuwa na mgao wa umeme?
Ili muone umuhimu wa DOWANS kwamba ndo wenye umeme!
Kwanini kila watu wanapoanza kuhoji kuhusu DOWANS kunakuwa na mgao wa umeme?
Kwanini kila watu wanapoanza kuhoji kuhusu DOWANS kunakuwa na mgao wa umeme?
vithibitisho, usikurupuke. Eti mbona kila siku watu mnazidi kuwa na mawazo finyu? tumezidi kuwa wapikaji wa maneno , ili yatufikishe wapi? mtu anaamka anafikiri jambo ambalo anaona ah hawa wajinga nikiingiza maada hii lazima watachemka sana. Sichangii tena ngoja nikalale.
Kwanini kila watu wanapoanza kuhoji kuhusu DOWANS kunakuwa na mgao wa umeme?
Inaweza kuwa ni mradi wa wakubwa wote wa nchi tangu Mkubwa mdogo hadi mkubwa mkubwa!
mkubwa mkubwa ndo nani?