Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Kwa kauli na msimamo uliotolewa na Uingereza kwa hakika wametuabisha au tumejiaibisha.
Wametupa misaada kutulemaza na sisi tukalemaa na kujikuta tumekuwa mateja wa misaada, tukaacha kufanya production nchini, tukaingia mikataba ya hovyo yenye kupoteza rasilimali zetu nk.
Baada ya kuona dozi imetukolea na kuacha ni vigumu kwasababu ya uteja wetu, Wamewaita Viongozi wetu huko Australia nao wakafunga safari kwa mbwembwe wengine wakiambatana na wake zao, wengine vimada (Si unajua tena Miafrika Ndivyo Tulivyo) na ujumbe mzito mzito wa kila aina.
Mkutano ulipoanza Jamaa wakainuka na kusema jamani tumewasaidieni sana na kuanzia sasa atakayetaka msaada wetu ni lazima tuhalalishe ushoga kwanza , lakini jamaa wameonyesha kumaanisha walichokiongea na wanataka taratibu za kuanza kuhalalisha hako kamchezo zianze mapema.
Haya ni matusi ya viwango vya uwenda wazimu japo tumejitakia, kwa hali hii na tulipofikia sijui muna maoni gani hebu tushauriane.
Je tuna maoni gani juu ya hii kampeni ya Kampeni hii ya waingereza.
NIMEAMUA KUPUNGUZA MAKALI YA LUGHA KAMA WENGI WALIVYOPENDEKEZA ILI TWENDE SAWA
.
Wametupa misaada kutulemaza na sisi tukalemaa na kujikuta tumekuwa mateja wa misaada, tukaacha kufanya production nchini, tukaingia mikataba ya hovyo yenye kupoteza rasilimali zetu nk.
Baada ya kuona dozi imetukolea na kuacha ni vigumu kwasababu ya uteja wetu, Wamewaita Viongozi wetu huko Australia nao wakafunga safari kwa mbwembwe wengine wakiambatana na wake zao, wengine vimada (Si unajua tena Miafrika Ndivyo Tulivyo) na ujumbe mzito mzito wa kila aina.
Mkutano ulipoanza Jamaa wakainuka na kusema jamani tumewasaidieni sana na kuanzia sasa atakayetaka msaada wetu ni lazima tuhalalishe ushoga kwanza , lakini jamaa wameonyesha kumaanisha walichokiongea na wanataka taratibu za kuanza kuhalalisha hako kamchezo zianze mapema.
Haya ni matusi ya viwango vya uwenda wazimu japo tumejitakia, kwa hali hii na tulipofikia sijui muna maoni gani hebu tushauriane.
Je tuna maoni gani juu ya hii kampeni ya Kampeni hii ya waingereza.
NIMEAMUA KUPUNGUZA MAKALI YA LUGHA KAMA WENGI WALIVYOPENDEKEZA ILI TWENDE SAWA
.