Hataki kabisa

Alexism

JF-Expert Member
Aug 14, 2011
3,423
2,045
Nilimwabia nichomeke akakataa, nikamwambia achomeke yeye akakataa, nikachomeka mimi akachomoa, mh nikasubiri usingizi umshike nichomeke wakati ninachomeka akanishika mikono na akasema nisichomeke.
Duh huyu Amina hajui umuhimu wa net ya mbu.
 
Nilimwabia nichomeke akakataa, nikamwambia achomeke yeye akakataa, nikachomeka mimi akachomoa, mh nikasubiri usingizi umshike nichomeke wakati ninachomeka akanishika mikono na akasema nisichomeke.
Duh huyu Amina hajui umuhimu wa net ya mbu.
Kwa hiyo uling'atwa na mbu usiku kucha kisa bwana shem kagoma uchomeke?
 
Mkuu si ungepuliza dawa ya mbu kurahisisha kazi? Mtaviziana mpaka lini kwa zoezi la kuchomeka na kuchomoa?
 
Back
Top Bottom