Kwa hiyo uling'atwa na mbu usiku kucha kisa bwana shem kagoma uchomeke?Nilimwabia nichomeke akakataa, nikamwambia achomeke yeye akakataa, nikachomeka mimi akachomoa, mh nikasubiri usingizi umshike nichomeke wakati ninachomeka akanishika mikono na akasema nisichomeke.
Duh huyu Amina hajui umuhimu wa net ya mbu.