NewDawnTz
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,667
- 362
Baba na mama wanatoa shule kwa mtoto wao pekee wa kike namna ya kuwakataa watoto wa kiume
Wazazi: Si unajua tena wewe ni binti yetu pekee na tunakupenda sana, angalia wanaume watakuharibu, wakikuomba kataaa, tena kataa kabisa wala usikubali
Binti: Sawa baba na mama nimewakubali kabisa na sitakubali kijana yeyote akinitaka
Kumbe kuna kijna wa jirani anamtamani huyo binti na tayari alishasikia wazazi wake wakimuwekea ka uzibe
Kijana: Naomba nikubalie tu hata kidogo, naomba tafadhali (huku akipiga magoti na machozi yakimtoka)
Binti: Siko tayari, sitaki kabisa, nasema tena sitaki Baba na Mama wameniambia nisiwakubalie
Kijana: Twende basi ndani kwangu nisindikize nikakupe zawadi
Binti: Sawa lakini sikupi ng'o kwani Baba na Mama wameniambia nisimpe mtu yoyote na nikatae
Binti akakubali kumbe baba alikuwa anawasikiliza kwa nyuma na kuwafuatilia huku bichwa likwa juu binti yake akikataa huku akiwataja. Akiwa dirishani kwa kijana alifuatilia kama ifuatavyo
Kijana: Sasa umeshaingia ndani kwangu, nipe tu kidogo nionje, kichwa tu mpenzi kinatosha
Binti: Sitaki, baba amekataaa na mama pia, nasema sitaki
Kijana: Naomba tu kidogo, yaani kichwa unakataa, naomba plz, wala siyo yote, kichwa tu
Baada ya kuimbishwa sana binti akalainika na kukubali na akaanza kutaka kuchojoa nguo ghafla baba kuona binti kazidiwa akapiga kelele dirishani akisema "Usikubali binti yangu, haina mabega hiyo ikiingia ni moja kwa moja"
Wazazi: Si unajua tena wewe ni binti yetu pekee na tunakupenda sana, angalia wanaume watakuharibu, wakikuomba kataaa, tena kataa kabisa wala usikubali
Binti: Sawa baba na mama nimewakubali kabisa na sitakubali kijana yeyote akinitaka
Kumbe kuna kijna wa jirani anamtamani huyo binti na tayari alishasikia wazazi wake wakimuwekea ka uzibe
Kijana: Naomba nikubalie tu hata kidogo, naomba tafadhali (huku akipiga magoti na machozi yakimtoka)
Binti: Siko tayari, sitaki kabisa, nasema tena sitaki Baba na Mama wameniambia nisiwakubalie
Kijana: Twende basi ndani kwangu nisindikize nikakupe zawadi
Binti: Sawa lakini sikupi ng'o kwani Baba na Mama wameniambia nisimpe mtu yoyote na nikatae
Binti akakubali kumbe baba alikuwa anawasikiliza kwa nyuma na kuwafuatilia huku bichwa likwa juu binti yake akikataa huku akiwataja. Akiwa dirishani kwa kijana alifuatilia kama ifuatavyo
Kijana: Sasa umeshaingia ndani kwangu, nipe tu kidogo nionje, kichwa tu mpenzi kinatosha
Binti: Sitaki, baba amekataaa na mama pia, nasema sitaki
Kijana: Naomba tu kidogo, yaani kichwa unakataa, naomba plz, wala siyo yote, kichwa tu
Baada ya kuimbishwa sana binti akalainika na kukubali na akaanza kutaka kuchojoa nguo ghafla baba kuona binti kazidiwa akapiga kelele dirishani akisema "Usikubali binti yangu, haina mabega hiyo ikiingia ni moja kwa moja"