JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kila wakati jamaa akisafiri,mkewe alikua na tabia ya kumuekea condom kwa bag lake.jamaa akawa anawaza kwani vp tena.mke wangu anajua dili zangu ama niaje? Ikabidi siku moja amuulize mkewe kwanini...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Universal law: love can neither be created nor be destroyed; only it can transfer from one girlfriend to another girlfriend with some loss of money. first law: a boy in love with a girl...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Napenda kuwasalimu wana jf ASALAAM ALEYKUM na wengine BWANA YESU APEWE SIFA. Kwa upande wangu wimbo ambao kila ninapousikia unaniharibia siku ni wimbo wa Bony Mwaitege unaokwenda kwa jina "njoo...
0 Reactions
125 Replies
11K Views
Natoa wito kwa serikali isipoteze muda wake muhimu kuwawajibishe hawa watu. Ni vema ikawaleta hapa Manzese watuachie nusu saa tuwawajibishe sisi. Itakua fundisho kwa wizara na Taasisi nyingine...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nadhani mlikuwa mnasikitika sana baada ya kunikosa jamvini juzi na jana. Nilishikwa na Malaria kali iliyonilazimisha kulazwa kwa masaa 48 na kutundikiwa dripu 3 za kwinini. Namshukuru Mungu...
0 Reactions
122 Replies
8K Views
Nimepata shida siku nyingi mno siwezi kupost na mshukuru sana
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mzee Noma - YouTube Huyu mzee kwa kweli ni noma sijawahi kuona anavyoongea aisee, kweli sisi wanaume hatuzeeki kabisa hata kidogo.....
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana Jf!Ni jumapili nyingine ambayo wote kwa namna moja au nyingine tumepumuzika nyumbani ijapokuwa sio wote waliopumzika majumbani!Leo nataka tushee yale tulioyapata kwenye nyumba ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Zamani kulikuwepo na tangazo la sabuni ya Revola redioni. Hili tangazo lilikuwa linatuacha hoi mimi na binamu zangu kwa sababu lilikuwa linasikika au tulikuwa tunalifananisha na ile milio/ miguno...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Hebu niambie ungekuwa ni wewe ungefanyaje? Ni takribani mwaka sasa hali yako kiuchumi sio nzuri kifupi umefulia vibaya,siku moja anakutembelea rafiki yako mkubwa mlioshibana,usiku akiwa amelala...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Nipo kanisani,ni mda wa sadaka,kuna roho inaniambia nitoe sadaka, halafu kuna roho nyingine inaniambia nisitoe sadaka halafu niende kunywa nayo supu nijenge afya. dah sijui niheshimu roho ipi.
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Hivi kwa nini hawa viongozi wasitumie helikopta kwa jiji la Dar es salaam kuepusha usumbufu wa foleni mfano kutoka airport hadi ikulu watumie halikopta badala ya barabara ili wananchi wengine...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Marafiki nimeamini ule msemo usemao mapenzi kidonda ukishiri unakonda
0 Reactions
44 Replies
4K Views
John katika kipindi cha likizo alikuwa akikutana na jane tuition, kama wanafunzi walivyo John akawa anasomesha mtoto lakini jane akawa anamzungusha. Siku ya siku Jane akamkubalia John lakini mambo...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Daah..! Amini usiamini hii imetokea jana katika kipindi cha XXL cloudz fm,watangazaji walikuwa wanaulizana "LIVE ON AIR" kwamba nani aliyejamba humo studio...kweli hii ni Redio ya kipekee
1 Reactions
25 Replies
4K Views
kama hatajuaoana kwanini unifuatilie kiasi hicho?kila saa huniamini mpaka mi mwenyewe najiona kama nalindwa. kwani huwezi kuniamini bila kunifuatilia?nikikuambia nakupenda kwanii usiniamini?hivi...
0 Reactions
63 Replies
4K Views
kuna watu wanaitana masharobalo bila kuzingatia kanuni na masharti. so leo nmeona niwafumbue macho ili jamii isiwaache nyuma. :mvulana ni sharobalo :msichana ni sharomalo je ushawahi...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mimi nakumbuka simu yangu ya kwanza ilikuwa Nokia ndefuuu nye mbamba nayenyewe nilipewa na Boss wangu eti yeye akanunua Nokia Ringo mimi akaniachia mche wa sabuni ukubwa upana sawa ila ulefu...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Ulianza lini kupenda? Mi la tano nilimwandikia barua msichana nikamwambia ntampenda mpaka ziwa victoria likauke. Akanipeleka kwa ticha (akampa na hiyo barua). Kila mwalimu aliyekuwa anasoma hiyo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
(KIJANA);Baba,nimepata mchumba hapo mtaa wa pili,anaitwa Sandra! (BABA);Ooops,samahani kijana wangu,ila usimwambie mama yako,sandra ni dada yako,si unajua mambo ya ujana mwanangu! (KIJANA);{siku...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom