sakapal
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,804
- 1,425
Hivi kwa nini hawa viongozi wasitumie helikopta kwa jiji la Dar es salaam kuepusha usumbufu wa foleni mfano kutoka airport hadi ikulu watumie halikopta badala ya barabara ili wananchi wengine wasipate shida ya foleni. utakuta umewahi ile unafika kwenye taa tu unasimamishwa kwa masaa mawili kusubiri msafara inaudhi hasa ukiwa kwenye gari lako kama uko kwenye daladala unaweza kushuka na kuahirisha safari au wewe unaonaje kama mwana jamii forum?
nawasilisha hoja.
nawasilisha hoja.