vivian
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,749
- 1,000
Natoa wito kwa serikali isipoteze muda wake muhimu kuwawajibishe hawa watu.
Ni vema ikawaleta hapa Manzese watuachie nusu saa tuwawajibishe sisi.
Itakua fundisho kwa wizara na Taasisi nyingine kama TRA ambayo imejaa uozo lakini kila mhusika yuko kimya.
Ni vema ikawaleta hapa Manzese watuachie nusu saa tuwawajibishe sisi.
Itakua fundisho kwa wizara na Taasisi nyingine kama TRA ambayo imejaa uozo lakini kila mhusika yuko kimya.