figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,691
- 62,782
kuna watu wanaitana masharobalo bila kuzingatia kanuni na masharti.
so leo nmeona niwafumbue macho ili jamii isiwaache nyuma.
:mvulana ni sharobalo
:msichana ni sharomalo
je ushawahi kutana na sharobalo au sharomalo wa kibongo?unajua sifa zao?
mia
so leo nmeona niwafumbue macho ili jamii isiwaache nyuma.
:mvulana ni sharobalo
:msichana ni sharomalo
je ushawahi kutana na sharobalo au sharomalo wa kibongo?unajua sifa zao?
mia