angomwile
Senior Member
- Sep 10, 2011
- 155
- 83
Hebu niambie ungekuwa ni wewe ungefanyaje? Ni takribani mwaka sasa hali yako kiuchumi sio nzuri kifupi umefulia vibaya,siku moja anakutembelea rafiki yako mkubwa mlioshibana,usiku akiwa amelala unaona tangazo kwenye tv kuwa anatafutwa na polisi zawadi milion 100, hivi utafanyaje hapo?