Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Na Erasto Stanslaus KOCHA Mkuu wa mabingwa wa Bara la Oceanic New Zealand, Ricki Herbert amesema atashusa kikosi kamili katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya timu ya Taifa ya Tanzania...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
wapenzi wa soka,HAMJAMBO? katoka mpira wa miguu.ni ligi gani ambayo ni ngumu kuliko zote kuchukua vikombe?kwa mfano wewe unakuwa kocha,ni kikombe gani unaweza sema ni kigumu kukichukua...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
deleted
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Two days to go...........who will be crowned champion?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Milioni mbili za Chuji kugawanya Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 2nd June 2009 @ 07:19 Imesomwa na watu: 22; Jumla ya maoni: 0...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kipa Ivo Mapunda, Kocha Micho, wang'ara Ligi ya Ethiopia Na Vicky Kimaro KIPA wa zamani wa Yanga, Ivo Mapunda na kocha wake Mserbia Sredojevich Milutin 'Micho' wameiongoza St. George kutwaa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
FROM THE DUGOUT | Allan Ssekamatte I finally believe the hype. Barcelona is te best team in the world. Their 2-0 stroll over Manchester United in the Champions League final is the most clinical...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
- Wapenzi wa baseball vipi mpo? Haya tunaanza kufuatilia baseball league ya US, kama kawaida mimi ni mpenzi wa Yankees, hela nyingi lakini matunda hamna, karibuni tuangalaie baseball league. - By...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
FRENCH OPEN Venue: Roland Garros Date: 24 May - 7 June Coverage: Live on BBC Red Button, live streaming and daily text commentary on BBC Sport website, updates on BBC Radio 5 Live plus second...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kuna kitu kinachokera kuelekea fainali ya mabingwa ulaya mwaka huu ni matangazo yaliyotolewa na yanayotolewa na kituo cha TV cha Channel ten. Licha ya kuonyesha unazi wa wazi kwa timu...
0 Reactions
46 Replies
9K Views
Ukistaajabu ya arsenal wa nairobi utaona ya manchester wa nigeria, huo ndio msemo rahisi na wenye msingi kwamba dunia hii ina mambo na wingi wa vioja, miaka iliyopita tulishuhudia watu wakiuwawa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Katika hali inayoonesha kukerwa na mfumo mzima wa uendeshaji wa timu ya taifa na maandalizi ya timu ya taifa kwa ajili ya mechi dhidi ya new zealand, ilikuwa ni tafrani katika uwanja wa karume...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ligi ya vilabu vya wanawake mkoani dar, imeanza kwa kishindo huku mashabiki wa soka wakipata burudani isiyo kifani katika uwanja wa karume jijini, timu kama sayari,jkt,mburahati na mdela queen's...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Football Feed Article | Football | guardian.co.uk Nigerian Man Utd fan kills 4 Barca fans with bus[/SIZE] PORT HARCOURT, Nigeria, May 28 (Reuters) - A Manchester United fan in Nigeria...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nakumbuka kuna wakati wanamuziki wa kizazi kipya walikuwa wakilalamika kwamba watangazaji (presenters) wa vituo vya redio walikuwa wanataka kulipwa pesa nyingi ili waweke nyimbo zao kwenye vipindi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Newcastle na Middlesbrough zashuka daraja ligi ya Uingereza...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Hivi ni kweli matokeo ya mechi za NBA yanakuwaga yamepangwa? Nimesikia mtu anasema hapa kwa vile jana Nuggets wameshinda basi na leo Cavaliers watashinda ili kuongeza pizzazz na hivyo kutengeneza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kibaka Ajaribu Kuchomoka na Zawadi za Harusi ya Mtoto wa Sumaye Wananchi wenye hasira wakijaribu kumuadhibu kibaka aliyejaribu kuchomoka na zawadi za harusi ya mtoto wa SumayeMonday, May 25, 2009...
0 Reactions
24 Replies
8K Views
Back
Top Bottom