wote hawatabiriki nani ataibuka mshindi kwani timu zao mbovu hakuna kitu.wamejaza majina kibao kati na mbele madrid huku wamesahau kusjaili mabeki
Tuwe wakweli timu zote mbili zimejichokea pamoja na kuwa na wachezaji wazuri, hao Madrid tangu Ronaldo aumie wameshinda mechi moja na tena kwa tabu. Ac Milan nao wapo wapo hawajachukua ubingwa wa Italy tangu sijui 2004-5
Usitumie kichwa kubebea masikio.
Wewe na wenzako kina MTM ndo mnachezaga kamari nyuma ya assnail kuwa watabeba ubingwa wakati ndo kwanza ligi inakuwa na mechi 4 tu.
Kwa mtu yoyote mwenye kuujua mpira atakuwa na wasiwasi kwa sasa juu ya uwezo unaokuwa kila siki wa Milan.
Ktk mechi 6 za mwisho za Milan hajapoteza hata moja, kashinda 4 na patulo 2 tu...
soka sio sala ya baba yetuWale wapenzi wa ac millan na real madrid leo ndio leo uwanja wa sansiro pale wazee wa kazi..KAKA..RONADINYO.,RAUL,...NZIMAA,,NA WANAPOENDA KUONYESHA NANI MBABE KATI YAO.....TUNAWATAKIA MPIRA MWEMA WENYE AMANI BILA FUJO
hivi nahitaji vigezo vipi kuwa navyo au data zipi kuweza kukufanya hujue kwamba real madrid wana beki mbovu kama wewe kweli unafuatilia madrid? wewe endelea kushikiria historia historia.sisi tunazungumzia sasa hivi.hayo ni mawazo ya kocha wenger anayezidi kuzeheka bila kubeba chmps league.
Unapozitaja hizi timu mbili ukae ukijua kuwa unazitaja timu mbili kubwa na zenye mafanikio ya juu barani ulaya.
So huwezi ukakurupuka ooh timu zote mbili zimechoka halafu huna vigezo...
No data no ryt 2 speak...
Naona bado tunangangania historia tuu, hao Madrid mara ya mwisho wameshinda UCL ilikuwa msimu wa 2001-2. Kwa beki waliyo nayo itakuwa kazi kuchukua kombe.
hivi nahitaji vigezo vipi kuwa navyo au data zipi kuweza kukufanya hujue kwamba real madrid wana beki mbovu kama wewe kweli unafuatilia madrid? wewe endelea kushikiria historia historia.sisi tunazungumzia sasa hivi.