Huyu jamaa ni mtu muhimu sana katika jukwaa hili na hususani katika uwanja huu wa picha, sio siri tumemmiss sana na vitu vyake adimu, rudi uwanjani tafadhali
Jamani kuna wakati Gado Mwampembwa mTZ anaeshi Kenya aliwahi kutoa katuni zake kwenye gazeti la The East African,moja ya katuni hizo ilikuwa inaoonyesha waandishi wa habari wakilamba viatu vya...
Picha ya mtoto aliyo uliwa na wanajeshi wa-Israel, Mtazamo wake na tabasamu inayo toka katika uso wa maiti ya mtoto huyu inasikitisha!
Mungu Amlaze mahala pema.
Amin.
idara ya maliasili mkoa wa ruvuma inamshikilia mnyama huyo anaesadikika kuwa na uwezo wa kubashiri mambo.mpaka sasa hamna mtu aliyetoa utabiri unaohusiano wa kuonekana mnyama huyo ila kuna dalili...
Huyu bIbi sio siri amenivutia sana jinsi alivyo fit,bibi yuko mkakamavu hadi raha.
Mungu tusaidie mie na Uporoto wangu tukizeeka tuwe wakakamavu kama huyu grandy.
Mbibi kama huyu akienda kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.