Ngalikihinja JF-Expert Member Sep 1, 2009 31,244 31,355 Dec 7, 2010 #4 coby said: Hapo unahonga hadi uhai wako mwanaume!! Click to expand... Tuseme unachomoa moyo unampa au............???
coby said: Hapo unahonga hadi uhai wako mwanaume!! Click to expand... Tuseme unachomoa moyo unampa au............???
klorokwini JF-Expert Member Dec 2, 2009 8,648 5,139 Dec 7, 2010 #5 dah! kwelii kuumbwa mwanaume ni nusu ya kufeli maisha! dah! nimejikuta naizoom na kumsahau waifu kwa sekunde kadhaa. acha tukaishi maporini ili kunusuru ndoa zetu bana.
dah! kwelii kuumbwa mwanaume ni nusu ya kufeli maisha! dah! nimejikuta naizoom na kumsahau waifu kwa sekunde kadhaa. acha tukaishi maporini ili kunusuru ndoa zetu bana.
K KABAZI JF-Expert Member Apr 19, 2010 303 11 Dec 7, 2010 #6 Unaweza kukuta sura mabaya kinoma!!!! ila mgongo unalipa.
M Misterdennis JF-Expert Member Jun 4, 2007 1,741 480 Dec 7, 2010 #7 KABAZI said: Unaweza kukuta sura mabaya kinoma!!!! ila mgongo unalipa. Click to expand... Kwa umbile alilonalo, potelea pote hata sura isipo lipa. Mwili huo una fanya shortcomings zozote alizonazo zisiwe na nguvu sana.
KABAZI said: Unaweza kukuta sura mabaya kinoma!!!! ila mgongo unalipa. Click to expand... Kwa umbile alilonalo, potelea pote hata sura isipo lipa. Mwili huo una fanya shortcomings zozote alizonazo zisiwe na nguvu sana.