YouTube - ‪Bi Kidude singing by a baobab tree in Fumba‬‏
Hii miwani ya jua(sun googles) kwaa wadada hata kama ni mzee inakupendeza. Enjoy video
Trekta hii ina uwezo wa kulima ekari 5 kwa siku,linasaga na kukoboa nafaka kilo 300 kwa siku.Pia linatumika kama pampu ya maji. Ilibuniwa na kutengenezwa na Dr Patric Jonathan mwaka 2008 mkoani...
Siamini kabisa kwamba yupo kwa sababu za kiusalama.
Na kama yupo kwa sababu hizo basi alisha-prove failure
Rejea tukio la Janngwani.
Hapa kabebeshwa mafaili kabisa, sasa likitokea la kutokea...
Hapa tena nawafungashia baadhi tu ya picha zinazoonyesha ziara ya Mwenyekiti wa Chadema Mh. Freeman Mbowe inayoendelea katika mkoa wa Kagera na hapa ni wilayani Karagwe.
Inasemekana huko pia...
Is daladala realy is a loss bussiness au watu wanaongea tu? Nimesikia you can make over 100,000tsh au even more kwa siku. Nataka kumshawishi baba anunue daladala. Anyone with an idea?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.