AMEPENDEZAAAAA............... atakeyeleta picha ya mbowe "AKIFUATILIA KWA UMAKINI" nampa zawadi
angesema amelala wangesema ni uchochezi lakini mhariri kataka kuonyesha hata wale mabingwa wa ubishi wakose la kusema!eti kwenye gazeti wameandika anatafakari teh teh teh