Ziara ya Mbowe Karagwe Kagera katika picha

Ziara ya Mbowe Karagwe Kagera katika picha

Kaa la Moto

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2008
Posts
7,907
Reaction score
1,081
Hapa tena nawafungashia baadhi tu ya picha zinazoonyesha ziara ya Mwenyekiti wa Chadema Mh. Freeman Mbowe inayoendelea katika mkoa wa Kagera na hapa ni wilayani Karagwe.
Inasemekana huko pia alipata audience kubwa na kuvuna wanachama wengi kama inavyoonekana katika picha hizi kama nilivyozipokea kutoka kwa rafiki yangu.
Kwa kuwa sikuwapo katika mkutano huo, unaweza kujionea jinsi watu walivyokuwa akigombania kupata kadi zilizosainiwa na Mh Mbowe.

22190001.jpg

22190002.jpg

22190003.jpg

22190004.jpg

22190005.jpg

22190006.jpg

22190007.jpg

22190008.jpg

22190009.jpg

22190010.jpg

22190011.jpg

22190014.jpg

22190018.jpg

22190019.jpg

22190020.jpg

22190022.jpg

22190026.jpg

22190031.jpg
 
Inatia matumaini sana, Mbowe kazana ufike kabisaa kule mabondeni huko ndo watu hawaelewi na ndo mafisadi CCM hutumia pilau kupata kura. Mkifanikisha kurekebisha huko mambo yatakuwa shwari sana. mungu awatie nguvu kuendeleza libeneke la kuwakomboa watanzania mikononi mwa hawa wafyonzaji mambo leo.
 
Mbona huo umati wa watu hatuuoni badala yake ni picha za jukwaani na wajumbe wa msafara wake?

2010 siyo mbal Chadema wanahitaji kuajiri mtaalamu wa propaganda ili waweze kukampeni sawasawa..
 
Mbona huo umati wa watu hatuuoni badala yake ni picha za jukwaani na wajumbe wa msafara wake?

2010 siyo mbal Chadema wanahitaji kuajiri mtaalamu wa propaganda ili waweze kukampeni sawasawa..

Mazee usiogope.
Umati ulikuwa tele na kwa kweli nimeletewa picha nyingi ila siwezi kuziweka zote hapa. Net yangu iko slow kidogo. Lakini huu ulikuwa muonjo tu kukupa hamu ya kula kama wafanyavyo katika hotel kubwa kubwa kwa kukupa supu kwanza.
Mambo ya propaganda huwa ni ya sisi m nahakika chadema wanahitaji kuwa wakweli zaidi ya propaganda tu.
Ila picha zipo unaweza kuwasiliana nao wenyewe nina hakika watakuwa nazo. Huyu aliyepiga ni freelancer na hana uhusiano nao kabisa.
 
Mazee usiogope.
Umati ulikuwa tele na kwa kweli nimeletewa picha nyingi ila siwezi kuziweka zote hapa. Net yangu iko slow kidogo. Lakini huu ulikuwa muonjo tu kukupa hamu ya kula kama wafanyavyo katika hotel kubwa kubwa kwa kukupa supu kwanza.
Mambo ya propaganda huwa ni ya sisi m nahakika chadema wanahitaji kuwa wakweli zaidi ya propaganda tu.
Ila picha zipo unaweza kuwasiliana nao wenyewe nina hakika watakuwa nazo. Huyu aliyepiga ni freelancer na hana uhusiano nao kabisa.

Ujue watanzania wameisha amka na wamechoshwa na unyonyaji wa wazi wazi, Kinachotakiwa ni wapambanaji wa kweli ambao si mamluki na ambao hawawezi nunuliwa kirahisi, wakisimama tu watanzania wengi tuta waunga mkono!

Chadema wakiendelea kwa mwendo huu, historia yaweza kubadilika mapema kuliko inavyotegemewa.
 
Back
Top Bottom