Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,907
- 1,081
Hapa tena nawafungashia baadhi tu ya picha zinazoonyesha ziara ya Mwenyekiti wa Chadema Mh. Freeman Mbowe inayoendelea katika mkoa wa Kagera na hapa ni wilayani Karagwe.
Inasemekana huko pia alipata audience kubwa na kuvuna wanachama wengi kama inavyoonekana katika picha hizi kama nilivyozipokea kutoka kwa rafiki yangu.
Kwa kuwa sikuwapo katika mkutano huo, unaweza kujionea jinsi watu walivyokuwa akigombania kupata kadi zilizosainiwa na Mh Mbowe.


















Inasemekana huko pia alipata audience kubwa na kuvuna wanachama wengi kama inavyoonekana katika picha hizi kama nilivyozipokea kutoka kwa rafiki yangu.
Kwa kuwa sikuwapo katika mkutano huo, unaweza kujionea jinsi watu walivyokuwa akigombania kupata kadi zilizosainiwa na Mh Mbowe.

















