M mabomu Member Feb 17, 2011 43 7 Jun 23, 2011 #1 je mama wetu wa kwanza anawafikia? Attachments WAUKWELI.jpg 21.8 KB · Views: 163
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,723 Jun 23, 2011 #2 Hawafikii...Labda apake carolite tani mbili! :A S 114: View attachment 32548
Chauro JF-Expert Member Aug 20, 2010 2,968 1,476 Jun 23, 2011 #3 Embu muacheni mama wa watu kuna mambo mengi yamechangia,si ajabu angepata opportunities kama zao(nani ajuae) angekuwa mbali.
Embu muacheni mama wa watu kuna mambo mengi yamechangia,si ajabu angepata opportunities kama zao(nani ajuae) angekuwa mbali.
Sajenti JF-Expert Member Apr 24, 2008 3,651 412 Jun 23, 2011 #4 Huyu mama Samora/Mandela huwa namzimia sana always natural..Michele Obama mguu huo anaweza kukulamba teke ukalisikia kabisa!!
Huyu mama Samora/Mandela huwa namzimia sana always natural..Michele Obama mguu huo anaweza kukulamba teke ukalisikia kabisa!!
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,723 Jun 23, 2011 #8 Mapete makubwa kwenye vidole, sijui ya nini? Au ndo yaleyale ya BAHATI kutoka kwa Yahya Hussein!... No mazoezi, tumbo kubwa! FaizaFoxy said: Click to expand...
Mapete makubwa kwenye vidole, sijui ya nini? Au ndo yaleyale ya BAHATI kutoka kwa Yahya Hussein!... No mazoezi, tumbo kubwa! FaizaFoxy said: Click to expand...
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,012 10,652 Jun 23, 2011 #9 FaizaFoxy said: Click to expand... Walielewana lugha nafikiri.
S shosti JF-Expert Member Dec 21, 2010 4,906 1,504 Jun 23, 2011 #10 watu wengine bwana,hebu wekeni wa kwenu tuwaone basi
TUKUTUKU JF-Expert Member Sep 14, 2010 11,765 4,033 Jun 23, 2011 #11 Hawezi kuwafikia hata kwa carolite!!
semango JF-Expert Member Aug 24, 2010 532 45 Jun 23, 2011 #12 shosti said: watu wengine bwana,hebu wekeni wa kwenu tuwaone basi Click to expand... sisi sio viongozi. otherwise badili heading kwanza
shosti said: watu wengine bwana,hebu wekeni wa kwenu tuwaone basi Click to expand... sisi sio viongozi. otherwise badili heading kwanza
Roulette JF-Expert Member Dec 15, 2010 5,579 5,375 Jun 23, 2011 #13 Katika ma first ladies wa kiafrika, I admire wa Congo kinshasa...
Amoeba JF-Expert Member Aug 20, 2009 3,289 781 Jun 23, 2011 #14 FaizaFoxy said: Click to expand... Shikamooooo....mwaaaa...LIM!
P p53 JF-Expert Member Feb 25, 2009 689 265 Jun 23, 2011 #15 Huyu mama Mandela ni over 60 lakini haonekani kuzeeka!
Mamndenyi JF-Expert Member Apr 11, 2011 40,565 52,202 Jun 24, 2011 #17 Nimeona walau hapa hajajilunda maguo.
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Oct 28, 2010 27,263 16,287 Jun 24, 2011 #18 huyu wa ameericani kakomaa je angekuwa anaishi milima ya uluguru loool hapo toka utotoni ni full bata yupo hivyo!!!!!!!!!!hahahahahaaaa
huyu wa ameericani kakomaa je angekuwa anaishi milima ya uluguru loool hapo toka utotoni ni full bata yupo hivyo!!!!!!!!!!hahahahahaaaa
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Oct 28, 2010 27,263 16,287 Jun 24, 2011 #19 kako pouwa c mbaya bwana . sura yake inalipa sana kuliko huyo wa obama . angekuwa ana life kama ya ma michelle si angeiva zaidi
kako pouwa c mbaya bwana . sura yake inalipa sana kuliko huyo wa obama . angekuwa ana life kama ya ma michelle si angeiva zaidi
FaizaFoxy Platinum Member Apr 13, 2011 92,830 109,111 Jun 24, 2011 #20 Ulimakafu said: Walielewana lugha nafikiri. Click to expand... Laura Bush anaongea kiswahili.