katika hiki kifungu kinacho husu kukatwa kodi kwa mishahara ya wabunge
wanaosema ndio nataka niwasikie kwa kauli moja,mzee akiwa usingizini NDIOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO,ANAPIGA NA MEZA KABISA PA PA PA PA PA PA, hayo yote ndotoni yanafanyika
ndio walivyo hao wana wa magamba, hapo huko kasinzia....kuna wenzie wana wa magamba kibao ambao hawajasinzia lakini upeo wao wa kuelea mambo ni sawa tu na kama wangekuwa wamesinzia.... we have a very long way to go for this country to real break through (in terms of development)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.