TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,513
- 11,276
Siamini kabisa kwamba yupo kwa sababu za kiusalama.
Na kama yupo kwa sababu hizo basi alisha-prove failure
Rejea tukio la Janngwani.
Hapa kabebeshwa mafaili kabisa, sasa likitokea la kutokea atalinda mafaili au atafanya kumuokoa Mkwere?
Hapa tena, marais wengine wote hawana walinzi nyuma yao, Mkwere tu...
View attachment 23714
Hapa tumuweke kwenye kundi la viongozi au?
Manake amejumuika kabisa na viongozi wa kitaifa na wame-form mstari kabisa.
Hapa sijui anatekeleza Protocala au analinda?
Hapa sijui analinda nini..
Besides, ni mfupi zaidi ya Object yake, kiasi kwamba haoni mbele ya JK kuna nini. Sasa hapo atamlindaje?
Inawezekana yupo kwa ajili ya kubeba mafail ya Mkwere?
Hayo mafaili yana uzito gani kiasi cha kumshinda Mkwere mwenyewe kubeba?
Au, tumtofautishe vipi Mkwere na mamwinyi. Kuna hata clip niliona jamaa akimrekebishia koti Mkwere wakati Mkwere akimwaga upupu wake kwa waandishi wa habari... Inakera!!!
Yaani kama ni utaratibu tu wameuweka, huyo jamaa anaharibu sana pozi..
Na kama yupo kwa sababu hizo basi alisha-prove failure
Rejea tukio la Janngwani.
Hapa kabebeshwa mafaili kabisa, sasa likitokea la kutokea atalinda mafaili au atafanya kumuokoa Mkwere?
Hapa tena, marais wengine wote hawana walinzi nyuma yao, Mkwere tu...
View attachment 23714
Hapa tumuweke kwenye kundi la viongozi au?
Manake amejumuika kabisa na viongozi wa kitaifa na wame-form mstari kabisa.
Hapa sijui anatekeleza Protocala au analinda?
Hapa sijui analinda nini..
Besides, ni mfupi zaidi ya Object yake, kiasi kwamba haoni mbele ya JK kuna nini. Sasa hapo atamlindaje?
Inawezekana yupo kwa ajili ya kubeba mafail ya Mkwere?
Hayo mafaili yana uzito gani kiasi cha kumshinda Mkwere mwenyewe kubeba?
Au, tumtofautishe vipi Mkwere na mamwinyi. Kuna hata clip niliona jamaa akimrekebishia koti Mkwere wakati Mkwere akimwaga upupu wake kwa waandishi wa habari... Inakera!!!
Yaani kama ni utaratibu tu wameuweka, huyo jamaa anaharibu sana pozi..