NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,754
- 49,657
Trekta hii ina uwezo wa kulima ekari 5 kwa siku,linasaga na kukoboa nafaka kilo 300 kwa siku.Pia linatumika kama pampu ya maji. Ilibuniwa na kutengenezwa na Dr Patric Jonathan mwaka 2008 mkoani Arusha katika kituo cha zana za kilimo na ufundi vijijini (CAMARTEC).Picha ni leo mchana katika Banda la CAMARTEC kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja katika Maadhimisho ya Wiki Ya Utumishi wa Umma. Picha na Victor Makinda