KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
Sasa hawa watoto unawaona wana afya nzuri ao wanaumwa? they are over weighted na hatarini ku-develop magonjwa mengi. Hii sio afya nzuri, ni uzembe wa wazaziIpo siku watoto wa kiafrika watakuwa wanapata lishe bora kama tukifanya maamuzi magumu ya kujivua umaskinigamba