Najua fika kwamba wengi watadhani ni ule uumbaji wa Kimungu uumbaji ule wa dunia na kila kilichopo
Hapa nazungumzia uumbaji wa uundaji japo kuna mfanano wa ajabu kwamba dunia iliumbwa kwa siku...
Gravity au gravitational force tunavyojua ni kuwa ni nguvu fulani iliyo kwenye almost kila kitu chenye uzito, ambapo kwa upande wa dunia sasa ni nguvu inayovuta kila kitu kuifuata yenyewe yaani...
Maswali mawili muhimu
1:- Kama binadamu wa kwanza ni adam na eve(hawa) na waliwazaa kaini na abel ...je pale kaini alipomuua abel na akafukuzwa mbele za mungu inasadikika alienda kuanzisha jamaa...
hello great thinkers, hope you are well in your daily activities, i would like to share with you this topic in respect because i believe it has a real meaning in a human mankind.
To begin many of...
Habari wakuu, natumai mu wazima
rejea kichwa cha habari, nimeleta hii mada kwa kwakuwa kwa mtazamo wangu na upeo wangu niliwonao nimeona kuna mkanganyiko juu ya uumbaji wa dunia na namna watu...
Kipindi cha Majanga ndicho kipindi sahihi zaidi cha kupima uwezo wa jeshi husika katika ubora na vifaa
Zimetokea ajali nyingi za maji hapa Tanzania kuanzia Mv Bukoba, Vivuko Kigamboni, Zanzibar ...
Unapomzungumzia muigizaji na mwanamuziki, Marilyn Monroe, unamzungumzia msichana mrembo, mwenye uzuri wa kipekee sana kiasi cha kumtetemesha kila mtu aliyekuwa akimwangalia kipindi hicho cha miaka...
Tangu mwanzo wa Kanisa kulikuwa na Wakristo walioshika maisha ya useja na pengine walianzisha jumuia.
Kufuatana na mifano ya Yesu Kristo na Bikira Maria, Agano Jipya linatoa habari za wanaume...
Habari za jioni wana JF, baada ya muda mrefu sana mada zangu nyingi zimegusia matukio ya "mabeberu" basi leo itapependeza tukiangalizia pia mashujaa wa nchi za kiafrika katika tasnia mbalimbali...
Kuna hoja ya kuthibitisha uwepo wa Mungu, hoja ambayo imeegemea zaidi katika kutumia vitabu vya dini kama uthibitisho
Ni hoja ambayo ime base kwenye imani ya kusema Mungu amejidhihirisha uwepo...
USSR(URUSI) ILIYOKUWA DOLA-HIMAYA NA MILIKI KUU YA SABA YA DUNIA (THE 7th WORLD SUPER-SUPREMACY EMPIRE) KATIKA ULIMWENGU WA KISOSHOLIST (WORLD OF SOCIALISM).
Na, Comred Mbwana Allyamtu.
URUSI...
Baada ya kusoma kwangu somo la historia ninashawishika kuamini kuwa bustani ya Eden ipo mkoani Arusha eneo la Olduvai gorge ambapo paligunduliwa fuvu la mtu wa kale duniani.
Sote tutakumbuka juu...
Baruch Spinoza ni mwanafalsafa wa karne ya 17 wa Dutch aliyejaribu kuivumbua dini kivingine, kuiondoa kutoka kitu kilichopo kishirikina, kisicho kisayansi lakini wakati huohuo chenye kupooza nafsi...
TUCHUKULIE KUWA HAKUNA MUNGU
Ikiwa Mungu hayupo mimi, wewe na vinavyotuzunguka as a nature pia vingekuwa havipo kabisa. Na kwanini labda ninasema hivyo. Vizuri, nina hoja muhimu sana. Tuchukulie...
Dear brethren and dear friends, we are pleased to put at your disposal an excerpt from this testimony that may seem unreal, but which is justified in the light of the teaching on Discernment that...
Katika mada inayonivutia sana ni hili jambo la kusafiri kwenye muda lakini pia ni jambo ambalo nahisi lina utata au lisilowezekana kabisa.
Wanasema muda ni kama snapshot ambazo zimeanza kujipiga...
Habari wana jukwaa.....
Naomba nichukue nafasi hii kumsihi kila mtu kwa dini yake kwamba uh cyo uzi uliyolenga kuleta mjadala wa kidini kwamba ipi n bora au ipi cyo bora .
Nimelenga kusikia...
Great thinkers naomba ufafanuzi juu ya haya maswali machache kuhusu biblia takatifu.
1. Hesabu 23:19 "inasema Mungu si mtu, aseme uongo, wala si mwanadamu ajute Iwapo amesema hatalitenda? Iwapo...
Habari za Viumbe wenzangu, poleni kwa kadhia mbalimbali. Wale mnaoteswa na mapenzi, siasa na uchumi, tambueni ya kuwa hamko peke yenu.
Naomba nianze na swali. Unafikiria picha aina maana yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.