Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Wakuu kwanza heri ya mwaka2022,nimekua nikifuatilia elimu mbalimbali kuhusiana mda ,kiukweli mda ndio kila kitu kwenye maisha ya kila kiumbe ,ila kama huna ujuzi wa kuutawala mda ,wewe si...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Wakuu naombeni mnifungue akili katika hili limenifikirisha mno, imewezekana vipi. Future iwe ndio hiyohiyo past, future ndio inajijengea past, palipo na future ndipo miguu ya past ilipo hapohapo...
15 Reactions
96 Replies
10K Views
Ambapo picha ilichukuliwa katika miaka ya 1982 kwa kutumia chombo cha umoja wa kisoviet kabla ya kuvunjika kwake katika miaka ya mwanzoni ya 90's. Chombo cha venera-14 kiliweza kutumia jumla ya...
21 Reactions
149 Replies
10K Views
Ushauri kwa Mamlaka ya kupambana na dawa za kulevya, Wizara ya michezo, TFF pamoja na BMT Serikali na TRA, mnaweza kuwezesha utoaji wa risiti za VAT kwa njia ya mobile SMS. I stand to be...
48 Reactions
99 Replies
25K Views
Kama akipatikana mtu anayeweza kukuelezea kwa usahihi tarahe,muda na namna ambayo utakufa. Na ukahakikisha kabisa kutokana na watu 1000 plus ambao aliwatabiria na ikwa kweli kwa asilimia 100...
1 Reactions
1 Replies
944 Views
Uwingi wa nyota na sayari zisizo na idadi zapelekea watu wa kalumu kuhisi uwezekano juu ya uwepo wa Uhai katika sayari hizo mbali na hii sayari yetu EARTH. Kumekuwepo matukio mengi...
2 Reactions
41 Replies
7K Views
Kulikuwa na bwana mmoja aliyekuwa masikini sana kiasi kwamba hata chakula alikuwa akikipata Kwa tabu. Alikuwa anaweza kumudu mlo mmoja au miwili Kwa siku. Baada ya kuishi Kwa muda mrefu kwenye...
6 Reactions
11 Replies
1K Views
Inafahamika kwamba wazazi hasa wa Kiafrika huwa na mitazamo juu ya maisha ya watoto wao kuanzia elimu mpaka makuzi ya watoto wao ndio hutoa taswira ya maisha ya mtoto. Lakini kwa upande mwingine...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Hellow wanajf za muda mrefu jamvini. Nimewamiss kweli. Sema nini nilimiss kuandika kwelikweli. Si unajua tena kitaaluma mimi ni mwandishi. Nisipoandika napata homa. Ha ha natania. Haya turudi...
6 Reactions
28 Replies
5K Views
Kila nikitafakari changamoto ambazo baadhi ya watu wanapitia huwa naishia kusema ningekuwa Mungu nisingeiumba dunia hii jinsi ilivyo sasa. Hapa ninamaanisha ningeiumba bila uwezekano wa kuishia...
7 Reactions
66 Replies
3K Views
Teknolojia ya kupandikiza kadi ndogo kwa lengo katika mwili wa binaadamu kudhibiti wizi wa kimtandao imevuta hisia za watu wengi katika maonyesho ya Teknolojia ya Mawasilano ya CeBIT ya mjini...
2 Reactions
48 Replies
13K Views
Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 30 nina tatizo la usikivu hafifu ambalo lilinianza nikiwa na miaka 14 au 15 hivi. Nashindwa kumsikia vizuri mtu akiwa mbali, anaeongea kwa sauti ya chini sana...
2 Reactions
3 Replies
790 Views
Angani kuna makundi makubwa ya nyota ambayo yametapakaa huko anga za mbali kila sehemu ambayo yamefanya hata anga la Dunia yetu lipendeze vizuri sana nyakati za usiku. Nyota nyingi tunazoweza...
8 Reactions
17 Replies
2K Views
Tahadhari: huu si mjadala wa mashambulizi ya Kidini. Ni mjadala wa kisomi wa kujenga Hoja. Kelele za Dini zenu pelekeni kwingine. Hapa tunataka hoja na uelewa. Sisi wengine hatuna Dini. 1...
24 Reactions
988 Replies
127K Views
Igweeee wana Jamii. Naipongeza sana Jamii forum kuwa sehem ya kila mtu wasilisha mawazo na fikra yake pasipo vunja sheria za nchi na kimataifa. Mimi leo nimependa kuchambuwa ujasusi wa Nchi za...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari watu wangu wa nguvu wa JF.. Siku za hivi karibuni katika pitapita zangu Katika kujisomea somea vitabu mbalimbali nimekuja kugundua kuwa Sisi binadamu tuna nguvu fulani ya asili ambayo...
10 Reactions
17 Replies
6K Views
  • Closed
Wanajukwaa: Dunia yetu inaendelea kushika kasi katika suala la Sayansi na Tekinolojia.Kwa siku za hivi karibuni,wanasayansi wamegundua kuweza kutengeneza Moyo kwa kutumia stem cells,ikiwa ni...
54 Reactions
8K Replies
591K Views
Binadamu tumekua na tabia ya kulalamika kuhusu kuumizwa, kujeruhiwa na kuaribiwa maisha na watu wetu wa karibu , iwe ndugu, jamaa na marafiki . Lakini hata siku moja huwezi kukuta mtu anaelezea...
8 Reactions
132 Replies
25K Views
Zelensky na Pro-NATO akili zao wanazijua wao wenyewe aisee...Eti walisherehekea kupewa kifuta jasho cha kilomita za mraba 6,000 sawa na asilimia 4.8 tu, toka kwa kilomita za mraba 125,000...
8 Reactions
4 Replies
1K Views
Hili jambo hushangaza kidogo ila kwa nini wanadamu humpigania Mungu katika nyanja zote. Toka enzi Mataifa yaliinuka kumpigania Mungu ambaye hajawahi kujipigania mwenyewe. Angalia issue ya...
18 Reactions
441 Replies
20K Views
Back
Top Bottom