Bill Gates ni mmoja kati ya bloodline ya Rothschilds, the richest family of all time, Illuminati family. Familia iliyochanganya damu yao ya Lucifer na kuwa watoto wake, hicho ndicho kizazi cha...
Habari wanajukwaa,
Kuna ka usemi nilikua nakasikia tangu nikiwa shule O-level ila nilikua siamini eti walimu hawazeeki haraka. Kwa kweli nimekuja kushuhudia na kuchunguza juu ya hilo na kuona ni...
Habari Wana jamii,
Najiuliza kwanini yesu amekuwa maarufu baada ya kufa, ukisomana ukiangalia zile filmu zote zinazoelezea kuhusu yeye (yesu)mwisho alisubiwa na WAKATI mtawala anaulza kafanyanini...
Heri,
(1) Nabii Isaya katika kitabu cha Isa.4:2, alisema ipo majira ambapo kutakuwepo na chipukizi zuri. Hapa Nabii Isaya alikuwa na maana kuwa kilichokuwepo huko nyuma ni chipukizi la mabaya...
Habarini wanajamvi!
Baada ya kupitia makala mbali mbali humu JF na kwengineko nakubaliana kabisa na dhana ya kwamba duniani tunaota tu.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba roho zetu zinaishi...
Tutafute uhalisia wa kitu hiki, yaani unao uwezo wa kumuua kubwa la majambazi then unaamua kumuacha na kumuua mwanao ili wanaoonewa na jambazi wapone?
Is it logical?
Kwa nini Mungu asimuue...
Mimi leo nataka niwafundishe kitu cha msingi sana wakuu.
Ipo hivi, kinachompa nguvu Mungu ni vitu alivyotoa kuwapa viumbe hapa duniani.
Dunia ina mfumo wake ule ule kwamba "Kadri unavyotoa vitu...
Despacito ni wimbo wa msani raia wa Puerto Rico wa kuitwa Luis Fonsi akishirikiana na rapa wa nchi hiyo pia,wimbo huu una mahadhi ya kispain.
Kwa mujibu wa mtandao wa iTunes,Amazon...
Kwa muda sasa nimekuwa nikitafakari sana kwamba huenda kama binadam asingekuwa na shughuli nyingi sana zinazohitaji ubongo wake kufikiri kwa kina sana ili kupata majibu au matokeo ya kile...
UFALME WA UINGEREZA.
Na. Comred Mbwana Allyamtu CMCA
Monday-12/09/2022
Tabora- Tanzania
Kwanza kabisa Familia ya kifalme nchini Uingereza hairuhusiwi kikatiba kujihusisha na masuala ya kisiasa...
I'm really tempted to go all the way; but I won't do this time. Not worthy it. Kama wabunge waliochaguliwa na wananchi wanaogopa na hawako tayari kwanini wengine tujihangaishe? The connections...
Its taking Christians 2,000 years to agree on HOW Jesus is part of Trinity. We find Genesus 1:1 saying, "In the beginning, God created the heavens and the earth..."
When I ask Christian's where...
Habari wana JF na maisha yetu.
kuna makala mengi yapo humu JF na sehemu nyingi zinaonesha wenzetu walivojikita kwenye ujasusi wakutumia wanyama ili kupata taarifa za kijasusi.
ila hapa Tz...
Salaam!
Kabla sijaeleza dhana nzima ya andiko langu naomba kutoa mfano huu,
Tunatambua kwamba kuna sayari 9 ulimwenguni dunia ikiwa mojawapo (ingawa haijulikani kama ndizo sayari pekee zilizopo)...
Habari zenu mifugo ya Mungu na Shetani? Naona mnazidi kusukuma siku mkingoja kuliwa tu.
Nimegundua kitu kuwa kila kinachofugwa huwa akiruhususiwi kujua dhima na dhamira ya yule aliyekifuga...
Habari wakuu!
Leo nataka niwashirikishe mojawapo ya njia ya kuweza kupata au kufanikisha kitu chochote ambacho unahisi ni kigumu katika maisha yako. Moja wapo ya njia hii ni kutoa chochote kwa...
Kutokana na Biblia, "Mwz: 1:27 ....... Mungu alimwumba mwanamume na mwanamke aliwaumba". Kwa maana aliwafinyanga.
Vilevile "Mwz: 2:21, Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito nae akalala...
Habari zenu wadau wa jukwaa hili pendwa.. Nimekuwa nikisikia kuna viumbe wafananao na binadamu.Hawa viumbe inasemekana wanaishi sayari nyingine tofauti na sayari yetu ya dunia.. Inasemekana hawa...
Miaka kadhaa iliyopita nilitangaza hapa JF adhima yangu kufanya utafiti kuhusu uchawi na imani za siri.
Safari yangu katika tafiti kuhusu uchawi ilinifikisha kwa Mungu wa Kabili, mganga wa Jadi...
Kwa maana hiyo wanasayansi wote wanafanya shughuli za ushirikina aidha kwa kujua au kwa kutokujua.
Natafuta ufafanuzi zaidi au hakiki (evidences) juu ya hii taarifa. Kwanini sayansi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.