Ilo andiko nilisikia ni Taifa la Kenya
Shuhuda naye alishuhudiwa na nani kufika huko?Ilo andiko nilisikia ni Taifa la Kenya
“pelekayo wajumbe wake kwa njia ya bahari, Na katika vyombo vya manyasi juu ya maji. Nendeni, wajumbe wepesi, kwa watu warefu...
Yesu yupo pamoja na watoto wake.Shuhuda naye alishuhudiwa na nani kufika huko?
Wacha kupotosha jamii bana, kwann mnapenda kutafsiri biblia kwa matakwa yenu?Ilo andiko nilisikia ni Taifa la Kenya
“pelekayo wajumbe wake kwa njia ya bahari, Na katika vyombo vya manyasi juu ya maji. Nendeni, wajumbe wepesi, kwa watu warefu, laini...
Kipi kilichotafsiriwa kwa Matakwa yetu kwenye ilo Andiko.Wacha kupotosha jamii bana, kwann mnapenda kutafsiri biblia kwa matakwa yenu?
Afrika ndio kushiTanzania ndiyo kushi
Yule Kiongozi wa kupandisha mwenge kilele cha mlima Kilimanjaro kwa nini alikufa?