God Is Zero

REALITY

JF-Expert Member
Jul 2, 2014
4,297
1,828
Habari wakuu, natumai mu wazima
rejea kichwa cha habari, nimeleta hii mada kwa kwakuwa kwa mtazamo wangu na upeo wangu niliwonao nimeona kuna mkanganyiko juu ya uumbaji wa dunia na namna watu wanavyovutana juu ya dini zao.

Wengine huuliza Mungu ni nani, wengine huuliza kwanini shetani, wengine huuliza Mungu ni nini, wengine hawaamini juu ya uwepo wake, wengine wanaamini, wengine wanatumia sayansi kumdisprove kwa logic, wengine husema logic kwake haitoshi bali imani tu and .....ok!

Katika mathematics kuna kitu kinaitwa co-ordinate geometry ambayo huwa na x and y-axis, horizontal and vertical axis, zote hizi zimekuwa integrated kwenye point 0 ama center of the starting point kwa hizo axis , ukitumia tu akili ndogo ya kwaida 0 ndio huzalisha 1, na pia huzalisha -1 , kwakifupi number inayowakilisha utupu ama "hakuna kitu"ama "nothing" ( 0 ) ndio peke yake hutoa au kuwa chanzo cha mwanzo wa hasi na chanya, pasipo chenyewe kuanzishwa na chochote zaidi ya utupu wake halisi yani unknown cause that exists from an unknown source which technically means "nothing created something but in two aspects positive manner and negative manner.

Hizo number wanasema ni infinity ila mimi najua infinity ni number 9 na hizo zingine hujirudia tu, ukichukua table ya tisa
9*1=9
9*2=18, 1+8=9
9*3=27, 2+7=9
N.k yaani table yote italeta 9 hata ukizidisha na decimals, kingine vidole vyako vipo 10 lakini unahesabu kuanzia 0-9, number za simu zipo kumi ila ni kuanzia 0-9, hapa najaribu kukuonesha tu kuhusu my opinion on infinity wise.

Besides 0 on both sides, there is 1 and -1, good and evil, male and female, hot and cold and so much more nikimaanisha evil imetoka from source ya 0 ambayo ni unknown kama ilivyo good pia.

Jaribu kuangalia unapoiacha 0 kuelekea upande wa joto kunasehemu ukifika either utaungua ama kufa kabisa, vilevile unapoiacha zero pia kuelekea kwenye baridi kunasehemu utaganda na kufa kabisa, ndio maana sisi tuna temperature between 0-100 na sio -1 to -100, number ya temperature yetu ndio level yetu ya uumbaji from dunia , malaika, maji and etc mpaka kufikia sisi na upande wa pili ndo jehenum, moto, ibilisi, majini kuendelea huko, lakini 0 inajitegemea na haiwezi kujulikana kamwe wala kufananishwa na hizo number zingine maana ndo kianzilshi na peke yake ndo kikamilifu , hata umbo la duara maana yake haijulikani starting point na ending point inachojulikana ni utazunguka hilo duara milele kwa sababu halina mwanzo wala mwisho.

Sio mwandishi mzuri sana ila natumai umepata nilichokusudia kuleta mezani.
Asante.
 
Mtatengeneza vi conspiracy kujaribu kumuelezea kwa namba katika lengo la kuweka picha inayoweza kuonesha Mungu yupo lakini bila uthibitisho hiyo ni kazi bure
mtatengeneza yani mimi na nani?
conspiracy ni term iliyoundwa na CIA kudisprove uhalisia katika nyanja nyingi ili uweze kuwa indoctrinated accurately.

Life inawezekana bila mathematics?
Unaweza anza chochote bila 0?

Mimi nimekurahisishia tu,ila kama unataka uthibitisho wake fata maelekezo yake atajidhihirisha kwako very simple.
 
mtatengeneza yani mimi na nani?
conspiracy ni term iliyoundwa na CIA kudisprove uhalisia katika nyanja nyingi ili uweze kuwa indoctrinated accurately.

Life inawezekana bila mathematics?
Unaweza anza chochote bila 0?

Mimi nimekurahisishia tu,ila kama unataka uthibitisho wake fata maelekezo yake atajidhihirisha kwako very simple.
Wewe na wenzako
 
Wazo fikirishi, hilo wazo ziro nani kaliweka ili namba zote zianzie pale? Ziro nayo ni namba, inaongea thamani ikiwa upande wa kulia wa namba. Ikiwa kushoto ni utupu ila kulia Ina thamani, ninachanganyikiwa.
 
Wazo fikirishi, hilo wazo ziro nani kaliweka ili namba zote zianzie pale? Ziro nayo ni namba, inaongea thamani ikiwa upande wa kulia wa namba. Ikiwa kushoto ni utupu ila kulia Ina thamani, ninachanganyikiwa.
Kushoto maana chanzo "utupu" kulia maana thamani "inaongeza"
 
Habari wakuu, natumai mu wazima
rejea kichwa cha habari, nimeleta hii mada kwa kwakuwa kwa mtazamo wangu na upeo wangu niliwonao nimeona kuna mkanganyiko juu ya uumbaji wa dunia na namna watu wanavyovutana juu ya dini zao.

Wengine huuliza Mungu ni nani, wengine huuliza kwanini shetani, wengine huuliza Mungu ni nini, wengine hawaamini juu ya uwepo wake, wengine wanaamini, wengine wanatumia sayansi kumdisprove kwa logic, wengine husema logic kwake haitoshi bali imani tu and .....ok!

Katika mathematics kuna kitu kinaitwa co-ordinate geometry ambayo huwa na x and y-axis, horizontal and vertical axis, zote hizi zimekuwa integrated kwenye point 0 ama center of the starting point kwa hizo axis , ukitumia tu akili ndogo ya kwaida 0 ndio huzalisha 1, na pia huzalisha -1 , kwakifupi number inayowakilisha utupu ama "hakuna kitu"ama "nothing" ( 0 ) ndio peke yake hutoa au kuwa chanzo cha mwanzo wa hasi na chanya, pasipo chenyewe kuanzishwa na chochote zaidi ya utupu wake halisi yani unknown cause that exists from an unknown source which technically means "nothing created something but in two aspects positive manner and negative manner.

Hizo number wanasema ni infinity ila mimi najua infinity ni number 9 na hizo zingine hujirudia tu, ukichukua table ya tisa
9*1=9
9*2=18, 1+8=9
9*3=27, 2+7=9
N.k yaani table yote italeta 9 hata ukizidisha na decimals, kingine vidole vyako vipo 10 lakini unahesabu kuanzia 0-9, number za simu zipo kumi ila ni kuanzia 0-9, hapa najaribu kukuonesha tu kuhusu my opinion on infinity wise.

Besides 0 on both sides, there is 1 and -1, good and evil, male and female, hot and cold and so much more nikimaanisha evil imetoka from source ya 0 ambayo ni unknown kama ilivyo good pia.

Jaribu kuangalia unapoiacha 0 kuelekea upande wa joto kunasehemu ukifika either utaungua ama kufa kabisa, vilevile unapoiacha zero pia kuelekea kwenye baridi kunasehemu utaganda na kufa kabisa, ndio maana sisi tuna temperature between 0-100 na sio -1 to -100, number ya temperature yetu ndio level yetu ya uumbaji from dunia , malaika, maji and etc mpaka kufikia sisi na upande wa pili ndo jehenum, moto, ibilisi, majini kuendelea huko, lakini 0 inajitegemea na haiwezi kujulikana kamwe wala kufananishwa na hizo number zingine maana ndo kianzilshi na peke yake ndo kikamilifu , hata umbo la duara maana yake haijulikani starting point na ending point inachojulikana ni utazunguka hilo duara milele kwa sababu halina mwanzo wala mwisho.

Sio mwandishi mzuri sana ila natumai umepata nilichokusudia kuleta mezani.
Asante.
Mkuu andiko lako umelitendea haki kwa sababu umetumia akili sana kuweka hii tafakuri.

Watu wengi wanadhani Zero au Sifuri ni hamna kitu, hii inatokana na malezi na mapokeo ya kifikra.

Sifuri ikiwa mbele ya namba yeyote inaiongezea thamani, maana yake unapomuweka Mungu mbele ya kila jambo lako utaona matokeo yake. Pia unapoiweka sifuri nyuma ya namba yeyote huifanya ile namba kuwa na thamani isiyoongezeka hivyo unapoamua kumuweka Mungu nyuma ya imani yako hakika hautakuwa kitu chenye thamani.

Tuiangalie sifuri katika chanzo. Haijulikani asili yake wala mwisho wa duara lile.

Mimi kwangu naona umeibua mjadala mkubwa ambao wengi wanadhani umemkosoa Mungu bali umemtjibitishakwa ufahamu wako ambao una haki kufanya hivyo kutokana na kila mmoja amewiwa na ufahamu wake

Kudos
 
Mkuu andiko lako umelitendea haki kwa sababu umetumia akili sana kuweka hii tafakuri.

Watu wengi wanadhani Zero au Sifuri ni hamna kitu, hii inatokana na malezi na mapokeo ya kifikra.

Sifuri ikiwa mbele ya namba yeyote inaiongezea thamani, maana yake unapomuweka Mungu mbele ya kila jambo lako utaona matokeo yake. Pia unapoiweka sifuri nyuma ya namba yeyote huifanya ile namba kuwa na thamani isiyoongezeka hivyo unapoamua kumuweka Mungu nyuma ya imani yako hakika hautakuwa kitu chenye thamani.

Tuiangalie sifuri katika chanzo. Haijulikani asili yake wala mwisho wa duara lile.

Mimi kwangu naona umeibua mjadala mkubwa ambao wengi wanadhani umemkosoa Mungu bali umemtjibitishakwa ufahamu wako ambao una haki kufanya hivyo kutokana na kila mmoja amewiwa na ufahamu wake

Kudos
Macho,matundu,matairi,shilingi,jua,mwezi,saa,wire,molecule.......n.k ( 0 )

Sifuri imeficha ukweli mkuu.
 
Habari wakuu, natumai mu wazima
rejea kichwa cha habari, nimeleta hii mada kwa kwakuwa kwa mtazamo wangu na upeo wangu niliwonao nimeona kuna mkanganyiko juu ya uumbaji wa dunia na namna watu wanavyovutana juu ya dini zao.

Wengine huuliza Mungu ni nani, wengine huuliza kwanini shetani, wengine huuliza Mungu ni nini, wengine hawaamini juu ya uwepo wake, wengine wanaamini, wengine wanatumia sayansi kumdisprove kwa logic, wengine husema logic kwake haitoshi bali imani tu and .....ok!

Katika mathematics kuna kitu kinaitwa co-ordinate geometry ambayo huwa na x and y-axis, horizontal and vertical axis, zote hizi zimekuwa integrated kwenye point 0 ama center of the starting point kwa hizo axis , ukitumia tu akili ndogo ya kwaida 0 ndio huzalisha 1, na pia huzalisha -1 , kwakifupi number inayowakilisha utupu ama "hakuna kitu"ama "nothing" ( 0 ) ndio peke yake hutoa au kuwa chanzo cha mwanzo wa hasi na chanya, pasipo chenyewe kuanzishwa na chochote zaidi ya utupu wake halisi yani unknown cause that exists from an unknown source which technically means "nothing created something but in two aspects positive manner and negative manner.

Hizo number wanasema ni infinity ila mimi najua infinity ni number 9 na hizo zingine hujirudia tu, ukichukua table ya tisa
9*1=9
9*2=18, 1+8=9
9*3=27, 2+7=9
N.k yaani table yote italeta 9 hata ukizidisha na decimals, kingine vidole vyako vipo 10 lakini unahesabu kuanzia 0-9, number za simu zipo kumi ila ni kuanzia 0-9, hapa najaribu kukuonesha tu kuhusu my opinion on infinity wise.

Besides 0 on both sides, there is 1 and -1, good and evil, male and female, hot and cold and so much more nikimaanisha evil imetoka from source ya 0 ambayo ni unknown kama ilivyo good pia.

Jaribu kuangalia unapoiacha 0 kuelekea upande wa joto kunasehemu ukifika either utaungua ama kufa kabisa, vilevile unapoiacha zero pia kuelekea kwenye baridi kunasehemu utaganda na kufa kabisa, ndio maana sisi tuna temperature between 0-100 na sio -1 to -100, number ya temperature yetu ndio level yetu ya uumbaji from dunia , malaika, maji and etc mpaka kufikia sisi na upande wa pili ndo jehenum, moto, ibilisi, majini kuendelea huko, lakini 0 inajitegemea na haiwezi kujulikana kamwe wala kufananishwa na hizo number zingine maana ndo kianzilshi na peke yake ndo kikamilifu , hata umbo la duara maana yake haijulikani starting point na ending point inachojulikana ni utazunguka hilo duara milele kwa sababu halina mwanzo wala mwisho.

Sio mwandishi mzuri sana ila natumai umepata nilichokusudia kuleta mezani.
Asante.
Kuna mambo ambayo hayawezi kufikirika na hayawezi kupruvika
Kwa kutumia namba
 
Habari wakuu, natumai mu wazima
rejea kichwa cha habari, nimeleta hii mada kwa kwakuwa kwa mtazamo wangu na upeo wangu niliwonao nimeona kuna mkanganyiko juu ya uumbaji wa dunia na namna watu wanavyovutana juu ya dini zao.

Wengine huuliza Mungu ni nani, wengine huuliza kwanini shetani, wengine huuliza Mungu ni nini, wengine hawaamini juu ya uwepo wake, wengine wanaamini, wengine wanatumia sayansi kumdisprove kwa logic, wengine husema logic kwake haitoshi bali imani tu and .....ok!

Katika mathematics kuna kitu kinaitwa co-ordinate geometry ambayo huwa na x and y-axis, horizontal and vertical axis, zote hizi zimekuwa integrated kwenye point 0 ama center of the starting point kwa hizo axis , ukitumia tu akili ndogo ya kwaida 0 ndio huzalisha 1, na pia huzalisha -1 , kwakifupi number inayowakilisha utupu ama "hakuna kitu"ama "nothing" ( 0 ) ndio peke yake hutoa au kuwa chanzo cha mwanzo wa hasi na chanya, pasipo chenyewe kuanzishwa na chochote zaidi ya utupu wake halisi yani unknown cause that exists from an unknown source which technically means "nothing created something but in two aspects positive manner and negative manner.

Hizo number wanasema ni infinity ila mimi najua infinity ni number 9 na hizo zingine hujirudia tu, ukichukua table ya tisa
9*1=9
9*2=18, 1+8=9
9*3=27, 2+7=9
N.k yaani table yote italeta 9 hata ukizidisha na decimals, kingine vidole vyako vipo 10 lakini unahesabu kuanzia 0-9, number za simu zipo kumi ila ni kuanzia 0-9, hapa najaribu kukuonesha tu kuhusu my opinion on infinity wise.

Besides 0 on both sides, there is 1 and -1, good and evil, male and female, hot and cold and so much more nikimaanisha evil imetoka from source ya 0 ambayo ni unknown kama ilivyo good pia.

Jaribu kuangalia unapoiacha 0 kuelekea upande wa joto kunasehemu ukifika either utaungua ama kufa kabisa, vilevile unapoiacha zero pia kuelekea kwenye baridi kunasehemu utaganda na kufa kabisa, ndio maana sisi tuna temperature between 0-100 na sio -1 to -100, number ya temperature yetu ndio level yetu ya uumbaji from dunia , malaika, maji and etc mpaka kufikia sisi na upande wa pili ndo jehenum, moto, ibilisi, majini kuendelea huko, lakini 0 inajitegemea na haiwezi kujulikana kamwe wala kufananishwa na hizo number zingine maana ndo kianzilshi na peke yake ndo kikamilifu , hata umbo la duara maana yake haijulikani starting point na ending point inachojulikana ni utazunguka hilo duara milele kwa sababu halina mwanzo wala mwisho.

Sio mwandishi mzuri sana ila natumai umepata nilichokusudia kuleta mezani.
Asante.
We jamaa, umetoa tafakuri njema sana. Umeniinspaya si kidogo. Inafeel good kujua kuwa wazo ulilowaza sio 'weird'. Basi pitia na hapa kama kukazia tu.

Kujua tayari unajua ni kukazia tu Utetezi wa uumbaji kimahesabu na kifizikia: Mathematician's and theoretical physicist appeal to creation
 
Back
Top Bottom