"SIRI KUU YA CHAPA 666" Na jinsi inavyotawala ulimwengu huu

Undava King

JF-Expert Member
Aug 11, 2017
3,205
5,333
Namba 666 ya kitabu cha ufunuo katika kitabu cha biblia, yaani namba yenye mahesabu ya kibinadamu au CHAPA YA MNYAMA au ALAMA YA MPINGA KRISTO ni nini hasa? Au nia na madhumuni yake ni nini?

Je, tunaweza vipi kutambua CHAPA hii ya MNYAMA juu ya MAPAJI YA NYUSO zetu ikiwa tumeshaipokea au bado?

Katika maswali haya mawili hapo juu naweza kukuambia kuwa la kwanza sina hakika nalo hila hili la pili nitaligusia japo kidogo naomba ongozana nami katika uchambuzi huu;

Dunia inatawaliwa na kitu kimoja tu chenye nguvu sana yaani:- PROPAGANDA inayogawanyika katika vipengele vikuu viwili navyo ni 1. DINI 2. SIASA

I) DINI inatawala IMANI au HISIA KUU na TUMAINI LA KIPEKEE LA BINADAMU, hiki ndicho chombo chenye nguvu kuu kuliko siasa na upanga na sababu kuu ni kuwa ugusa IMANI. Hivyo basi dini ndiyo NAMBA 6 YA KWANZA.

Vipi ni viashiria vya matumizi ya alama hii katika baadhi ya IMANI zetu:

(a) Ukristo
- Alama ya msalaba (ishara ya upanga au mauaji) na kuhusudu nudity ya idol kama ishara ya ukombozi (kitabu cha ufunuo kinatahadharisha juu ya mwanamke mmoja kahaba anayekunywa damu ya watakatifu katika kikombe cha machukizo yake. Swali ni Je, amshirikiani nae mnapokula mwili na damu yake?)
-kupakwa majivu meusi kama ishara ya msalaba katika PAJI LA USO
  • Ubatizo (kupokea CHAPA na kuapa kuilinda daima)
  • Utatu Mtakatifu (666=zote ni 1kumaanisha jambo moja)
  • mavazi ya wachungaji na mapadre kuwa na umbile la mfanano na samaki (wafuasi wa BAALI au BABELI MKUU)
  • Askofu kuwa na fimbo yenye umbile la nyoka inayomtegemeza au kumuongoza altareni (ishara ya utawala wa ibilisi au joka la zamani)
  • Kuwa na idol mmoja mwenye cheo sawa au karibia na mungu anayeabudiwa
  • Rozali na kufanya tahajudi, mafukizo na kuchoma udi au ubani, kuimba kwa mtindo wa taratibu na huzuni, kupiga ala Fulani za miziki (kuruhusu mwingiliano wa kiroho)
  • Majengo au usanifu wa makanisa kuwa na maumbile ambayo ukiyachunguza kwa mtizamo wa ndani unaishia kumwona nyoka, bundi, mbuzi, nyota, pembe tatu au maumbile ya utupu wa binadamu (jinsi ME au KE mfano mrahisi ni kanisa kuu kule Vatican) n.k

(b) Uislamu
  • Kupata suguru nyeusi katika paji la uso kama ishara ya ukomavu katika swala (Chapa 666).
  • kuvaa tasibii na pete za vito vya mviringo,kujifukiza udi au ubani,kuongea kwa mfumo wakuimba nakupiga ala Fulani za miziki (kuruhusu mashirikiano ya kiroho kwa njia ya tahajudi, chanting na manuizi)
  • Kiongozi kuwa na fimbo yenye ishara ya duara dogo katika ncha ya mwisho kwa juu na nusu mwezi utazamao juu pamoja na nyota yake.
  • Msahafu kuwa na alama ya duara katikati ya kava lake la juu ni kiashiria cha alama ya jicho moja (ishara ya ibada ya Dajjal na hili kukielewa vyema wapaswa kukikiri kitabu hiki tokea moyoni na kukibusu mara 3 kabla ya kukifunua)
  • Kuwa na idol mmoja mwenye cheo sawa au karibia na mungu anayeabudiwa
  • Ishara ya Nyota na Mwezi (ibada za upagani yaani BABELI mama wa makahaba)
-Kula kiapo au kuslimu (Kukubali Chapa yake juu yako daima)
- Ishara ya box jeusi la mraba na jiwe la kahaba linalozungukwa (ibada ya kumsujudia BAALI)n.k

(c) Ubuddha
  • Kunyoa kipara (mfano wa kichwa cha nyoka) na kufanya tahajudi (kuruhusu mwingiliano wa kiroho)
  • kuunganisha viganja vya mikono pamoja kuelekea juu usawa wa kifuani( ishara ya ndimi za moto au ulimi wa nyoka)
  • Kukaa mkao wa kukunja miguu, mgongo wima na viganja vya mikono kuunganishwa usawa wa kifuani wanapofanya tahajudi (kuchora umbile la nyota yenye pembe tano yaani magoti 2, viwiko 2 na kichwa kimoja 1 jumla 5 nyota hiyo ni pentagram na ukiigeuza juu chini basi ni baphomet bila chenga)
  • Matumizi ya tasibii, chanting au tufe za duara
  • Kuwa na idol mmoja mwenye cheo sawa au karibia na mungu anayeabudiwa pia
  • Mafundisho ya New Age I.e jicho la tatu, OBE, kuamsha nyoka wa shaba n.k
  • Kukiri kupitia ufahamu unaotokana na mafundisho yao kuwa hayupo mungu
  • Kuacha au kufifisha ego yaani hile dhamiri ya ndani ya mtu ( Nafsi au ubinafsi wa asili na hofu inayomlinda mtu katika kuamua chochote ndani yake hili aweze kupokea maarifa mapya yaani 666 tumezoea kuyaita mafunzo ya NEW AGE) n.k

(d) uhindu
-Kupaka bindi au doti nyekundu katika paji la uso (kuipokea chapa ya mnyama 666 na ishara ya jicho moja a.k.a jicho la tatu)
  • kuwa na idol mmoja mwenye cheo sawa au karibia na mungu anayeabudiwa pia.
  • Kufanya manuizi na tahajudi (ishara ya maingiliano ya kiroho)

Nakadhalika nakadhalika orodha ni ndefu na mambo mengi yanajirudia katika dini zote siwezi zimaliza maana kuna Judaism ambao utumia Nyota yenye pembe 6 (ishara ya umoja wafuasi wa 666 na ibada ya BABELI) kuna TAO na ishara za dolphin wawili wenye doti jeusi na jeupe ndani ya duara sawa na kile kisu cha maninja cha kuchinja kwa kuzunguruka au msalaba wa wakristo au alama ya Nazism n.k vyote hivi uashiria 666)

Hivyo itoshe kusema madhehebu yote katika ulimwengu huu bila kujalisha yanaamini katika nini, nambari yao ya usajili au mwamvuli wao ni Chapa 666 na ufanya kazi kinyume au badala ya owner halali wa namba hiyo 666 ambaye ni wewe BINADAMU (kujua hili tumia kitabu cha biblia (kilichoigusia namba hii)

fungua kitabu chochote katika page yeyote soma sura ya 6 mstari wa 6 pekee wa kila kitabu kisha summarize kwa mtizamo mmoja wa dhamira ya mstari uliousoma lengo lake ni kukujulisha nini, mwisho naamini utakubaliana nami kuwa hii ni namba ya UUMBAJI na THAWABU siku ulipoumbwa na sasa umebatilishwa kuichukia au kuiogopa(wanakufanya uisujudie au kuiepuka popote uionapo au ikushawishi kuwa ina nguvu na kukutawala) hili waliokuibia ukuu wako wautumie kukuendesha wanavyotaka daima uwe ndani ya circle hii pasipo kuchomoka.

Hivyo ikiwa namba 666 umaanisha au kumwakilisha MWANADAMU basi tiyari unajibu la mind game kuwa masihi Dajjal au Mpinga Kristo ni nani, ambaye ana macho lakini haoni na ana masikio lakini asikii bali analo jicho moja tu lingine limezibwa hili asione.

Hivyo hapo tunakuwa tumejua tofauti kati ya Mpinga Kristo, Chapa ya Mnyama 666 na Shetani(joka mwekundu wa kale au ibilisi)

Kwahiyo tumejua sasa kuwa Shetani utumia Chapa ya namba 666 kama chambo ya kumtawala na kumtumikisha Binadamu kama mtumwa wake ambaye ni daraja la hatia(mpinga kristo au mweneza uongo) na hivyo endapo atafanikiwa atakuwa na utetezi kuwa yeye si mwongo wala mkosefu bali mwenye haki isipokuwa binadamu ndiye mkosefu,

mathalani anajua hatima yake na pengine ndiyo maana anajipambanua kama baba wa ulimwengu huu na anatafuta wa kuangamia nae. Hivyo ukiuliza kwanini atumie kitabu hicho hicho kuelezea habari njema( za mungu) na mbaya (za shetani) kama kitu kimoja na sehemu nyingine kama kinapingana au kutoeleweka kirahisi. Jibu ni moja tu mbona mlikwisha kufunuliwa kuwa jema ni lipi na baya ni lipi tokea siku ile ulipoacha kuisikiliza sauti ya mungu wako nakuifuata ya shetani.

Je ukutambua juu ya fumbo la kula tunda la mti wa mauti na anguko lako?(symbolism ya bustani ya edeni) kuwa ni kukubali ushawishi huu(kupokea DINI) yaani kujua MEMA na MABAYA(kuabudu na kutenda visivyo na vilivyo yaani KWELI na UONGO kwa pamoja ndani ya chanzo hicho hicho kimoja (kiini/shina) cha maarifa)

II. SIASA na lengo la siasa ni kusimika UONGOZI waKIBINADAMU kutawala BINADAMU (Chapa 666) kwa nia ya kuwajengea binadamu kasumba ya uchu na uroho wa kupokonyana nguvu za utawala na mamlaka kama ishara ya UASI na ANGUKO LAO juu ya tamaa ya umiliki mali, mamlaka na amri juu ya wengine.

Hata siku moja SIASA haijawahi kuwa asilimia walahu 50 juu ya maslahi ya wale wanaodanganywa kuwa siasa ni kwa ajili yao bali imeonekana kuwapa favour watawala zaidi ya wanaoongozwa na hilo ndilo lengo haswaa la siasa yaani kuleta hali vuguvugu la imani, utulivu na machafuko ya uasi(toka tabaka kandamizwa) juu ya uso wa nchi nakutimiza adhima ya malengo ya MUASI
mwenyewe.

Unapokuwa kwenye kampeni unalazimika kutumia ishara ya dole gumba moja(6) kuashiria chama tawala na ishara ya vidole viwili (66) kuashiria cha upinzani hii umaanisha kuwa Siasa hili ilete tija au kuwa siasa inayoitajika katika ulimwengu huu lazima itimize masharti hayo ambayo tumezoea kuyaita kitaalamu DOMOKURASIA yaani (chama tawala +Uasi/Wapingaji(zani))huwa sawasawa na 666. Ndiyo maana huyu ampingi dini wala dini ampingi siasa kwani lao moja wote ni watawala na lengo ni moja.

Sasa ukiwa ndani ya utawala wa vitu hivyo hapo vikuu viwili ambapo kimojawapo kati ya hivyo lazima kikukabili tu iwe isiwe yaani kama siyo SIASA I.e kutawaliwa basi DINI, Vyombo hivi jukumu lake nikuakikisha ubongo wako unadhibitiwa kisawasawa na kamwe usiujue ukweli hadi unaondoka hapa duniani.

Hivyo wanashikilia nyanja zote za ufahamu wako kuanzia elimu wanayokupa, afya yako ya mwili na akili, huduma muhimu, mode ya kusurvive, kuchochea mood ya vishawishi kama kukujengea mazingira ya ngono, muziki, michezo, ukatili wa kijinsia na mmonyoko wa maadili n.k

Na hutumia nguvu ya upanga(dola I.e jeshi na vita) na umma wa wanadamu wenzako hao hao kukudhibiti na kuweka principals ambazo wanajua kama binadamu lazima utasurrender tu kwao utake usitake Chapa 666 lazima itawork against you

Kwa kila utakapoenda, utakachofanya, bidhaa utakazonunua au kutumia, vitu au watu unaowa-admire au maendeleo yako na maisha yako na kila unachokiona mbele yako kitakuwa tiyati kiko affected kwa namna fulani na ishara, chapa, matendo, uamasishi na pengine ni kiashiria chenye udhahiri usio jificha wa namba hiyo 666

Hii nikumaanisha huwezi kuwa nje ya duara hill maadamu unaishi tegemea kusikia,kushuhudia au kuhusika na habari za mauaji, ushoga, ushetani, wizi, vita, teknolojia, uzinzi, ulawiti, upotoshaji, majanga,sherehe, maangaiko, starehe na vilio.

Ilimradi huko tiyari chini ya utawala huu na sasa watambua kuwa una cha kufanya kuubadili ukweli tafadhali hamka toka usingizini na ufumbue kope zako uione nuru na uishi huru ukiwa mwenye amani na tumaini jipya usiyetishwa na kivuli chako mwenyewe.
 
Namba 666 ya kitabu cha ufunuo katika kitabu cha biblia, yaani namba yenye mahesabu ya kibinadamu au CHAPA YA MNYAMA au ALAMA YA MPINGA KRISTO ni nini hasa? Au nia na madhumuni yake ni nini?

Je, tunaweza vipi kutambua CHAPA hii ya MNYAMA juu ya MAPAJI YA NYUSO zetu ikiwa tumeshaipokea au bado?

Katika maswali haya mawili hapo juu naweza kukuambia kuwa la kwanza sina hakika nalo hila hili la pili nitaligusia japo kidogo naomba ongozana nami katika uchambuzi huu;

Dunia inatawaliwa na kitu kimoja tu chenye nguvu sana yaani:- PROPAGANDA inayogawanyika katika vipengele vikuu viwili navyo ni 1. DINI 2. SIASA

I) DINI inatawala IMANI au HISIA KUU na TUMAINI LA KIPEKEE LA BINADAMU, hiki ndicho chombo chenye nguvu kuu kuliko siasa na upanga na sababu kuu ni kuwa ugusa IMANI. Hivyo basi dini ndiyo NAMBA 6 YA KWANZA.

Vipi ni viashiria vya matumizi ya alama hii katika baadhi ya IMANI zetu:

(a) Ukristo
- Alama ya msalaba (ishara ya upanga au mauaji) na kuhusudu nudity ya idol kama ishara ya ukombozi (kitabu cha ufunuo kinatahadharisha juu ya mwanamke mmoja kahaba anayekunywa damu ya watakatifu katika kikombe cha machukizo yake. Swali ni Je, amshirikiani nae mnapokula mwili na damu yake?)
-kupakwa majivu meusi kama ishara ya msalaba katika PAJI LA USO
  • Ubatizo (kupokea CHAPA na kuapa kuilinda daima)
  • Utatu Mtakatifu (666=zote ni 1kumaanisha jambo moja)
  • mavazi ya wachungaji na mapadre kuwa na umbile la mfanano na samaki (wafuasi wa BAALI au BABELI MKUU)
  • Askofu kuwa na fimbo yenye umbile la nyoka inayomtegemeza au kumuongoza altareni (ishara ya utawala wa ibilisi au joka la zamani)
  • Kuwa na idol mmoja mwenye cheo sawa au karibia na mungu anayeabudiwa
  • Rozali na kufanya tahajudi, mafukizo na kuchoma udi au ubani, kuimba kwa mtindo wa taratibu na huzuni, kupiga ala Fulani za miziki (kuruhusu mwingiliano wa kiroho)
  • Majengo au usanifu wa makanisa kuwa na maumbile ambayo ukiyachunguza kwa mtizamo wa ndani unaishia kumwona nyoka, bundi, mbuzi, nyota, pembe tatu au maumbile ya utupu wa binadamu (jinsi ME au KE mfano mrahisi ni kanisa kuu kule Vatican) n.k

(b) Uislamu
  • Kupata suguru nyeusi katika paji la uso kama ishara ya ukomavu katika swala (Chapa 666).
  • kuvaa tasibii na pete za vito vya mviringo,kujifukiza udi au ubani,kuongea kwa mfumo wakuimba nakupiga ala Fulani za miziki (kuruhusu mashirikiano ya kiroho kwa njia ya tahajudi, chanting na manuizi)
  • Kiongozi kuwa na fimbo yenye ishara ya duara dogo katika ncha ya mwisho kwa juu na nusu mwezi utazamao juu pamoja na nyota yake.
  • Msahafu kuwa na alama ya duara katikati ya kava lake la juu ni kiashiria cha alama ya jicho moja (ishara ya ibada ya Dajjal na hili kukielewa vyema wapaswa kukikiri kitabu hiki tokea moyoni na kukibusu mara 3 kabla ya kukifunua)
  • Kuwa na idol mmoja mwenye cheo sawa au karibia na mungu anayeabudiwa
  • Ishara ya Nyota na Mwezi (ibada za upagani yaani BABELI mama wa makahaba)
-Kula kiapo au kuslimu (Kukubali Chapa yake juu yako daima)
- Ishara ya box jeusi la mraba na jiwe la kahaba linalozungukwa (ibada ya kumsujudia BAALI)n.k

(c) Ubuddha
  • Kunyoa kipara (mfano wa kichwa cha nyoka) na kufanya tahajudi (kuruhusu mwingiliano wa kiroho)
  • kuunganisha viganja vya mikono pamoja kuelekea juu usawa wa kifuani( ishara ya ndimi za moto au ulimi wa nyoka)
  • Kukaa mkao wa kukunja miguu, mgongo wima na viganja vya mikono kuunganishwa usawa wa kifuani wanapofanya tahajudi (kuchora umbile la nyota yenye pembe tano yaani magoti 2, viwiko 2 na kichwa kimoja 1 jumla 5 nyota hiyo ni pentagram na ukiigeuza juu chini basi ni baphomet bila chenga)
  • Matumizi ya tasibii, chanting au tufe za duara
  • Kuwa na idol mmoja mwenye cheo sawa au karibia na mungu anayeabudiwa pia
  • Mafundisho ya New Age I.e jicho la tatu, OBE, kuamsha nyoka wa shaba n.k
  • Kukiri kupitia ufahamu unaotokana na mafundisho yao kuwa hayupo mungu
  • Kuacha au kufifisha ego yaani hile dhamiri ya ndani ya mtu ( Nafsi au ubinafsi wa asili na hofu inayomlinda mtu katika kuamua chochote ndani yake hili aweze kupokea maarifa mapya yaani 666 tumezoea kuyaita mafunzo ya NEW AGE) n.k

(d) uhindu
-Kupaka bindi au doti nyekundu katika paji la uso (kuipokea chapa ya mnyama 666 na ishara ya jicho moja a.k.a jicho la tatu)
  • kuwa na idol mmoja mwenye cheo sawa au karibia na mungu anayeabudiwa pia.
  • Kufanya manuizi na tahajudi (ishara ya maingiliano ya kiroho)

Nakadhalika nakadhalika orodha ni ndefu na mambo mengi yanajirudia katika dini zote siwezi zimaliza maana kuna Judaism ambao utumia Nyota yenye pembe 6 (ishara ya umoja wafuasi wa 666 na ibada ya BABELI) kuna TAO na ishara za dolphin wawili wenye doti jeusi na jeupe ndani ya duara sawa na kile kisu cha maninja cha kuchinja kwa kuzunguruka au msalaba wa wakristo au alama ya Nazism n.k vyote hivi uashiria 666)

Hivyo itoshe kusema madhehebu yote katika ulimwengu huu bila kujalisha yanaamini katika nini, nambari yao ya usajili au mwamvuli wao ni Chapa 666 na ufanya kazi kinyume au badala ya owner halali wa namba hiyo 666 ambaye ni wewe BINADAMU (kujua hili tumia kitabu cha biblia (kilichoigusia namba hii)

fungua kitabu chochote katika page yeyote soma sura ya 6 mstari wa 6 pekee wa kila kitabu kisha summarize kwa mtizamo mmoja wa dhamira ya mstari uliousoma lengo lake ni kukujulisha nini, mwisho naamini utakubaliana nami kuwa hii ni namba ya UUMBAJI na THAWABU siku ulipoumbwa na sasa umebatilishwa kuichukia au kuiogopa(wanakufanya uisujudie au kuiepuka popote uionapo au ikushawishi kuwa ina nguvu na kukutawala) hili waliokuibia ukuu wako wautumie kukuendesha wanavyotaka daima uwe ndani ya circle hii pasipo kuchomoka.

Hivyo ikiwa namba 666 umaanisha au kumwakilisha MWANADAMU basi tiyari unajibu la mind game kuwa masihi Dajjal au Mpinga Kristo ni nani, ambaye ana macho lakini haoni na ana masikio lakini asikii bali analo jicho moja tu lingine limezibwa hili asione.

Hivyo hapo tunakuwa tumejua tofauti kati ya Mpinga Kristo, Chapa ya Mnyama 666 na Shetani(joka mwekundu wa kale au ibilisi)

Kwahiyo tumejua sasa kuwa Shetani utumia Chapa ya namba 666 kama chambo ya kumtawala na kumtumikisha Binadamu kama mtumwa wake ambaye ni daraja la hatia(mpinga kristo au mweneza uongo) na hivyo endapo atafanikiwa atakuwa na utetezi kuwa yeye si mwongo wala mkosefu bali mwenye haki isipokuwa binadamu ndiye mkosefu,

mathalani anajua hatima yake na pengine ndiyo maana anajipambanua kama baba wa ulimwengu huu na anatafuta wa kuangamia nae. Hivyo ukiuliza kwanini atumie kitabu hicho hicho kuelezea habari njema( za mungu) na mbaya (za shetani) kama kitu kimoja na sehemu nyingine kama kinapingana au kutoeleweka kirahisi. Jibu ni moja tu mbona mlikwisha kufunuliwa kuwa jema ni lipi na baya ni lipi tokea siku ile ulipoacha kuisikiliza sauti ya mungu wako nakuifuata ya shetani.

Je ukutambua juu ya fumbo la kula tunda la mti wa mauti na anguko lako?(symbolism ya bustani ya edeni) kuwa ni kukubali ushawishi huu(kupokea DINI) yaani kujua MEMA na MABAYA(kuabudu na kutenda visivyo na vilivyo yaani KWELI na UONGO kwa pamoja ndani ya chanzo hicho hicho kimoja (kiini/shina) cha maarifa)

II. SIASA na lengo la siasa ni kusimika UONGOZI waKIBINADAMU kutawala BINADAMU (Chapa 666) kwa nia ya kuwajengea binadamu kasumba ya uchu na uroho wa kupokonyana nguvu za utawala na mamlaka kama ishara ya UASI na ANGUKO LAO juu ya tamaa ya umiliki mali, mamlaka na amri juu ya wengine.

Hata siku moja SIASA haijawahi kuwa asilimia walahu 50 juu ya maslahi ya wale wanaodanganywa kuwa siasa ni kwa ajili yao bali imeonekana kuwapa favour watawala zaidi ya wanaoongozwa na hilo ndilo lengo haswaa la siasa yaani kuleta hali vuguvugu la imani, utulivu na machafuko ya uasi(toka tabaka kandamizwa) juu ya uso wa nchi nakutimiza adhima ya malengo ya MUASI
mwenyewe.

Unapokuwa kwenye kampeni unalazimika kutumia ishara ya dole gumba moja(6) kuashiria chama tawala na ishara ya vidole viwili (66) kuashiria cha upinzani hii umaanisha kuwa Siasa hili ilete tija au kuwa siasa inayoitajika katika ulimwengu huu lazima itimize masharti hayo ambayo tumezoea kuyaita kitaalamu DOMOKURASIA yaani (chama tawala +Uasi/Wapingaji(zani))huwa sawasawa na 666. Ndiyo maana huyu ampingi dini wala dini ampingi siasa kwani lao moja wote ni watawala na lengo ni moja.

Sasa ukiwa ndani ya utawala wa vitu hivyo hapo vikuu viwili ambapo kimojawapo kati ya hivyo lazima kikukabili tu iwe isiwe yaani kama siyo SIASA I.e kutawaliwa basi DINI, Vyombo hivi jukumu lake nikuakikisha ubongo wako unadhibitiwa kisawasawa na kamwe usiujue ukweli hadi unaondoka hapa duniani.

Hivyo wanashikilia nyanja zote za ufahamu wako kuanzia elimu wanayokupa, afya yako ya mwili na akili, huduma muhimu, mode ya kusurvive, kuchochea mood ya vishawishi kama kukujengea mazingira ya ngono, muziki, michezo, ukatili wa kijinsia na mmonyoko wa maadili n.k

Na hutumia nguvu ya upanga(dola I.e jeshi na vita) na umma wa wanadamu wenzako hao hao kukudhibiti na kuweka principals ambazo wanajua kama binadamu lazima utasurrender tu kwao utake usitake Chapa 666 lazima itawork against you

Kwa kila utakapoenda, utakachofanya, bidhaa utakazonunua au kutumia, vitu au watu unaowa-admire au maendeleo yako na maisha yako na kila unachokiona mbele yako kitakuwa tiyati kiko affected kwa namna fulani na ishara, chapa, matendo, uamasishi na pengine ni kiashiria chenye udhahiri usio jificha wa namba hiyo 666

Hii nikumaanisha huwezi kuwa nje ya duara hill maadamu unaishi tegemea kusikia,kushuhudia au kuhusika na habari za mauaji, ushoga, ushetani, wizi, vita, teknolojia, uzinzi, ulawiti, upotoshaji, majanga,sherehe, maangaiko, starehe na vilio.

Ilimradi huko tiyari chini ya utawala huu na sasa watambua kuwa una cha kufanya kuubadili ukweli tafadhali hamka toka usingizini na ufumbue kope zako uione nuru na uishi huru ukiwa mwenye amani na tumaini jipya usiyetishwa na kivuli chako mwenyewe.
Mada yako ina ukweli mwingi.Hata hivyo hayo yote uliyoyataja ni ishara tu kwamba katika dini mbali mbali na maeneo mbali mbali Satan is in control in those areas na roho ya Mpinga Kristo
inatawala eneo hilo. Hata hivyo Mpinga Kristo mwenyewe bado hajadhihirishwa.Even though asante kwa mada.
 
Mada yako ina ukweli mwingi.Hata hivyo hayo yote uliyoyataja ni ishara tu kwamba katika dini mbali mbali na maeneo mbali mbali Satan is in control in those areas na roho ya Mpinga Kristo
inatawala eneo hilo. Hata hivyo Mpinga Kristo mwenyewe bado hajadhihirishwa.Even though asante kwa mada.

Shukrani Mkuu kwa kukubaliana na mtizamo wangu katika hili, Japo nafikiri kidogo nikupe mtizamo huu briefly uweze kuielewa vyema concept yangu na unipe maoni yako;

Binafsi nilichong'amua ni kuwa duniani kinachoishi na kuongoza watu ni UONGO (Propaganda) na wala hamna Kweli yeyote katika Vitabu vya Imani, Elimu, Siasa au chochote kile kinachoexist katika upeo wetu huu,

(ndiyo maana wengine wamejichimbia huko illuminati kuyajenga wakiamini sote twaishi katika ulimwengu wa maruweruwe) kwa kuwa wote ni UONGO na nia ya UONGO nikupotosha kwa minajili yakufanikisha malengo fulani ya mdanganyaji kwa mdanganywa.

Hivyo basi kama yupo Mungu anayepaswa kuabudiwa na kupewa sifa stahiki, haitokuwa kwa kupitia vitabu hivi tunavyoviamini sasa na mafundisho ya dini hizi batili tulizonazo ulimwenguni.

Kwa kuwa Dini na Tawala zote za ulimwengu huu uelekeo wake ni jehanamu kwa mujibu wa nilivyoyaelewa maandiko yao wenyewe, hivyo basi MPINGA KRISTO SI MWINGINE BALI NI DINI ambayo utumia Namba 666 (namba inayowakilisha ubinadamu katika utumwa wa dhambi) kama daraja au kivuli cha kutimiza malengo yao.
 
Mada yako ina ukweli mwingi.Hata hivyo hayo yote uliyoyataja ni ishara tu kwamba katika dini mbali mbali na maeneo mbali mbali Satan is in control in those areas na roho ya Mpinga Kristo
inatawala eneo hilo. Hata hivyo Mpinga Kristo mwenyewe bado hajadhihirishwa.Even though asante kwa mada.
Ni mada fikirishi ila ukweli ni kwamba viongozi wa dini waliitumia, na wanaendelea kuitumia, kujimilikisha mali na nguvu ya utawala (power + money). Tabia hii inajieleza vizuri katika vitabu vitakatifu (Biblia na Kuran), kwenye agano la kale, ambapo vitabu vingi ni simulizi za vita vya kuteka maeneo, kukamata na kutesa/kuua waumini wa dini.

Kwenye karne ya baada ya Muhammad na Yesu, dini inaendelea kutumika kama silaha ya utukufu na utawala dhidi ya mamlaka za nchi. Km tawala za kidharimu (Hitler, Makaburu, nk) ni aina hiyo ya matumizi mabaya ya dini. Hapa nchini pia tunashuhudia vitendo hivyo vya kidharimu kama ya viongozi wa dini kushinikiza kesi ya Mbowe ifutwe.
 
Ili tupate kuijua siri iliyopo nyuma ya namba 666, tunapaswa kutambua ni kwa nini Yesu Kristo alikuja hapa duniani kwa mara ya kwanza. Ni hapo ndipo tutakapombua kuwa ni kwa nini neno la Injili linazungumzia kuhusu habari hii kuu ya wokovu wa Bwana Yesu Kristo kwa wanadamu dhidi dhambi, mauti na kuzimu.

Wakati Injili ya Mathayo inafunua kuhusu Uyahudi wa Yesu Kristo, Injili ya Marko inamfunua kama dhabihu iliyotolewa kwa ajili dhambi za wanadamu, Injili ya Luka inafunua ukuu wake kupitia hekima na tafiti za kibinadamu, na ile ya Yohana inatoa tafsiri ya kinabii kuhusu Uungu wake.

Tafsiri hii ndiyo ile inazungumziwa katika kitabu cha Ufunuo sura ya Nne.

UFUNUO 4

1Baada ya hayo nilitazama nikaona mlango umefunguliwa mbinguni. Na ile sauti niliyoisikia pale awali ambayo ilikuwa kama sauti ya tarumbeta, ikasema, “Njoo hapa juu, nami nitakuonesha mambo yatakayotukia baadaye.”
2Mara nikakumbwa na Roho. Kumbe, huko mbinguni kuna kiti cha enzi na juu yake ameketi mmoja.3Huyo aliyeketi juu yake alikuwa kama jiwe la yaspi na akiki. Upinde wa mvua ulikuwa unang'aa kama zumaridi na ulikizunguka kiti cha enzi pande zote.
4Kulikuwa na duara la viti ishirini na vinne kukizunguka kiti cha enzi, na juu ya viti hivyo wazee ishirini na wanne walikuwa wameketi wamevaa mavazi meupe na taji za dhahabu vichwani.
5Umeme, sauti na ngurumo, vilikuwa vinatoka kwenye hicho kiti cha enzi. Taa saba za moto zilikuwa zinawaka mbele ya hicho kiti cha enzi. Taa hizo ni roho saba za Mungu.
6Mbele ya kiti cha enzi kulikuwa na kitu kama bahari ya kioo, angavu kama jiwe ling'aalo sana. Katika pande zote za hicho kiti cha enzi na kukizunguka, kulikuwa na viumbe hai wanne. Viumbe hao walikuwa wamejaa macho mbele na nyuma.
7Kiumbe wa kwanza alikuwa kama simba, wa pili kama ng'ombe, wa tatu alikuwa na sura ya mtu, na wa nne alikuwa kama tai anayeruka.
8Viumbe hao wanne walikuwa na mabawa sita kila mmoja, na walikuwa wamejaa macho, ndani na nje. Usiku na mchana, bila kupumzika, huimba:

“Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu, Bwana, Mungu Mwenye Nguvu, aliyekuwako, aliyeko na anayekuja!”

Wakati yule Yohana aliyemuona ameketi katika kiti cha enzi akiwa na zile saba zilizopo mbele ya kitu.

Kwa kifupi, tafsiri ya kiunabii kuhusu sura hii ya Nne ni kama vile ifuatavyo;
a. Yohana alimuona yule aliyeketi katika cha enzi akiwa ndiye Kristo halisi akiwa kama ndiye kabisa Kuhani Mkuu katika umbile la kibinadamu
b. Vito vya yaspi, akiki na zumaridi huwakilisha makabila matatu ya Kiyahudi ya Rubeni, Benjamini na lile la kifalme la Yuda. Vikiwalisha yeye ndiye wa Mwanzo na Mwisho, naye ndiye Mfalme.
c. Taa Saba huwakilisha kazi za usaidizi za Roho yake naye hutambulika kama Roho Mtakatifu
d. Viumbe hai wanne katika ulimwengu wa mwili huwakilisha zile Injili NNE, yaani MATHAYO ikiwa ni Sura ya Simba, MARKO ikiwa ni Sura ya ndama, LUKA ikiwa ni Sura ya mwanadamu, na Sura ya Tai ikiwa ni Injili ya kinabii ya YOHANA.
e. Bahari ya kioo ni alama ya ushirika na milki ya kikuhani wa kifalme wa Kristo.
f. Adhimisho la utendaji wa kazi kuu za Mungu, akiwa yeye ndiye Baba na ndiye Mungu Muumbaji, ndiye Yesu Kristo akiwa ndiye Mwokozi, na akiwa ndiye Roho Mtakatifu akihudumu katika roho na kweli katika ukuhani wake ndani ya kanisa lake, nalo ndiyo ni ushirika wa watakatifu wake. Hapo ndipo hujifunua kuwa Yeye aliyekuwako, aliyepo na atakayekuja.

Namba 666 ama alama ya mnyama ni namba yenye kuwakilisha ukuu wa yule mkuu wa dunia ambaye atakuja. Na ili apate kuuweka ukuu wake juu ya ulimwengu wote, ni lazima apate cheo maalum ili apate kujifananisha na ukuu wa Kristo. Kwa hiyo basi atahitaji apewe kisheria na kimamlaka sifa zote za ukuu na za kimamlaka za Bwana Yesu Kristo.

Ibilisi atajificha nyuma ya mtu huyu mouvu, atapitisha sheria kali za kumtambua yeye ndiye mungu wa dunia hii. Ibada za dini zote za dunia zitapaswa kumtambua yeye binafsi kama ndiye mungu kamili hapa duniani. Ni lazima niwaombe radhi wanajukwaa wote kwa ukweli mchungu ambao nitawapa.

Huyu mkuu ajaye atailazimisha dunia yote igeukie imani ya Kiislamu, ataangamiza imani ya dini za Kiyahudi na ile ya Kikristo. Alama ya 666 ni ya jina halisi la "Allah" ambalo Yohana aliliona, lakini akalipa tafsiri yake kupitia tafsiri ya namba za Kiyunani.

Labda itakuwa ni vyema tukafanya marejeo kupitia maandiko matakatifu kama vile ifuatavyo;

UFUNUO 13
11 Pia nikaona mnyama mwingine akija kutoka katika nchi. Alikuwa na pembe mbili kama kondoo, lakini anaongea kama joka.
12 Mnyama huyu alisimama mbele ya mnyama wa kwanza na kutumia nguvu ile ile ya mnyama wa kwanza. Alitumia nguvu hii kumfanya kila mtu aishiye duniani amwabudu mnyama wa kwanza. Mnyama wa kwanza ndiye mwenye jeraha la mauti lililopona.
13 Mnyama wa pili alifanya miujiza mikuu. Alitengeneza hata moto ushuke kutoka mbinguni kuja duniani watu wakiangalia.
14 Mnyama huyu wa pili aliwadanganya watu wanaoishi duniani kwa kutumia miujiza ambayo amepewa uwezo wa kuifanya kwa ajili ya mnyama wa kwanza. Aliwaamuru watu kutengeneza sanamu ili kumheshimu mnyama wa kwanza, aliyejeruhiwa kwa upanga lakini hakufa bali akawa hai tena.
15 Mnyama wa pili alipewa uwezo wa kuipa uzima sanamu ya mnyama wa kwanza. Kisha kinyago kiliweza kuongea na kuamuru watu wote ambao hawakukiabudu wauawe.
16 Pia mnyama wa pili aliwaamuru watu wote, wakubwa na wadogo, matajiri na maskini, walio huru au watumwa, wawekewe alama kwenye mikono yao ya kulia au kwenye vipaji vya nyuso zao.
17 Hakuna ambaye angeweza kununua au kuuza bila ya kuwa na alama hii. (Alama hii ni jina la mnyama au namba ya jina lake.)
18 Kila mwenye uelewa anaweza kujua maana ya namba ya mnyama. Hili linahitaji hekima. Namba hii ni namba ya mtu. Nayo ni 666

Klabu ya Roma inafanya kila jitihada ya kuwaunda na kuwaunganisha maraisi, matajiri na watu wote maarufu duniani kuwa ni sehemu muhimu ya wanachama na vyama siri na wamuabudio Shetani. Biblia na imani ya kweli ya Kristo ndiyo kikwazo pekee kilichobakia. "All options are now available in the table, ni matter how, what or when, but Islamic faith is the most prerable to take a cause of action, please beware of the coming destruction!"

Screenshot_20220303-221720.jpg
 
Mama D, siku zote ukweli ni mchungu. Very soon, panga lenye ukali kuwili litawekwa kwa wale watakaokaidi Injili ya ISSA dhidi ya ibada za kuiamini Imani juu ya msalaba wa Kristo, na wale wenye kukaidi amri za Mahdi.

Jihadhari sana juu ya mnyama na yule nabii wa uongo atakaye ambatana naye. Pale sheria ya kidunia itakapopitishwa kila mtu itampasa kufanya uamuzi, ni upande gani anausimamia.

Je! Ni YHWH ama Lucifer, ni Lord Jesus Christ ama Mahdi, ama ni Roho Mtakatifu au ISSA bin Mariam.
 
"All options are now available in the table, no matter how, what or when, but Islamic faith is the most prefable faith to take a real cause of action, please beware of the coming destruction!"
 
Mama D, siku zote ukweli ni mchungu. Very soon, panga lenye ukali kuwili litawekwa kwa wale watakaokaidi Injili ya ISSA dhidi ya ibada za kuiamini Imani juu ya msalaba wa Kristo, na wale wenye kukaidi amri za Mahdi.

Jihadhari sana juu ya mnyama na yule nabii wa uongo atakaye ambatana naye. Pale sheria ya kidunia itakapopitishwa kila mtu itampasa kufanya uamuzi, ni upande gani anausimamia.

Je! Ni YHWH ama Lucifer, ni Lord Jesus Christ ama Mahdi, ama ni Roho Mtakatifu au ISSA bin Mariam.

Nikupe pole kubwa maana unaamini kwenye hadithi za kufikirika
Ujue tuu kwa Yesu Kristo aliye hai kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kwamba YESU NI MUNGU

Walikuwako wabishi na wajuaji kuliko wewe ila sasa wanasema YESU ndio kila kitu

Hili la Yesu sio la kufikirika maana ndio njia na kweli

Usipuuze usichokijua wala kutukana usichokua nacho sababu tuu hakikuhusu. Jifunze kuheshimu walivyonavyo wengine nawe uheshimishwe
 
"All options are now available in the table, no matter how, what or when, but Islamic faith is the most prefable faith to take a real cause of action, please beware of the coming destruction!"

Wacha ubaguzi na uharibifu wewe. Kama yeye Mungu aliyetuumba hakutubagua, alimpa Ishmail baraka zake na Isaka baraka zake wewe nani uje umbinafsishe Mungu awe wako mwenyewe?

Acha udini Mungu habinafsishwi

Mwanzo 17: 1-10; 15-19

Abrahamu alipokuwa mtu wa miaka tisini na kenda, Bwana akamtokea Abramu, akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uende mbele yangu, ukawe mkamilifu. Nami nitafanya agano langu kati ya mimi na wewe, nami nitakuzidisha sana sana.
Abrahamu akaanguka kifudifudi. Mungu akamwambia, akasema, Mimi, agano langu nimefanya nawe, nawe utakuwa baba wa mataifa mengi, wala jina lako hutaitwa tena Abrahamu, lakini jina lako litakuwa Ibrahimu, kwani nimekuweka uwe baba wa mataifa mengi.

Nitakufanya uwe na uzao mwingi sana, nami nitakufanya kuwa mataifa, na wafalme watatoka kwako.
Agano langu nitalifanya imara kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, na vizazi vyao, kuwa agano la milele, kwamba nitakuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako.
Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako nchi hii unayoikaa ugeni, nchi yote ya Kanaani, kuwa milki ya milele; nami nitakuwa Mungu wao.
Mungu akamwambia Ibrahimu, Nawe ulishike agano langu, wewe na uzao wako kwa vizazi vyao baada yako.
Hili ndilo agano langu utakalolishika, kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, Kila mwanamume wa kwenu atatahiriwa.

Mungu akamwambia Ibrahimu, Sarai mkeo, hutamwita jina lake Sarai, kwa kuwa jina lake litakuwa Sara.
Nami nitambariki, na tena nitakupa mwana kwake, naam, nitambariki, naye atakuwa mama wa mataifa, na wafalme wa kabila za watu watatoka kwake.

Ndipo Ibrahimu akaanguka kifudifudi akacheka, akasema moyoni, Je! Mtu wa umri wa miaka mia, kwake atazaliwa mtoto? Naye Sara mwenye umri wa miaka tisini atazaa?

Ibrahimu akamwambia Mungu, Lau kwamba Ishmaeli angeishi mbele yako.
Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.

Na kwa habari za Ishmaeli nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongeza sana sana. Atazaa maseyidi kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kuu.
 
Wacha ubaguzi na uharibifu wewe. Kama yeye Mungu aliyetuumba hakutubagua, alimpa Ishmail baraka zake na Isaka baraka zake wewe nani uje umbinafsishe Mungu awe wako mwenyewe?

Acha udini Mungu habinafsishwi

Mwanzo 17: 1-10; 15-19

Abrahamu alipokuwa mtu wa miaka tisini na kenda, Bwana akamtokea Abramu, akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uende mbele yangu, ukawe mkamilifu. Nami nitafanya agano langu kati ya mimi na wewe, nami nitakuzidisha sana sana.
Abrahamu akaanguka kifudifudi. Mungu akamwambia, akasema, Mimi, agano langu nimefanya nawe, nawe utakuwa baba wa mataifa mengi, wala jina lako hutaitwa tena Abrahamu, lakini jina lako litakuwa Ibrahimu, kwani nimekuweka uwe baba wa mataifa mengi.

Nitakufanya uwe na uzao mwingi sana, nami nitakufanya kuwa mataifa, na wafalme watatoka kwako.
Agano langu nitalifanya imara kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, na vizazi vyao, kuwa agano la milele, kwamba nitakuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako.
Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako nchi hii unayoikaa ugeni, nchi yote ya Kanaani, kuwa milki ya milele; nami nitakuwa Mungu wao.
Mungu akamwambia Ibrahimu, Nawe ulishike agano langu, wewe na uzao wako kwa vizazi vyao baada yako.
Hili ndilo agano langu utakalolishika, kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, Kila mwanamume wa kwenu atatahiriwa.

Mungu akamwambia Ibrahimu, Sarai mkeo, hutamwita jina lake Sarai, kwa kuwa jina lake litakuwa Sara.
Nami nitambariki, na tena nitakupa mwana kwake, naam, nitambariki, naye atakuwa mama wa mataifa, na wafalme wa kabila za watu watatoka kwake.

Ndipo Ibrahimu akaanguka kifudifudi akacheka, akasema moyoni, Je! Mtu wa umri wa miaka mia, kwake atazaliwa mtoto? Naye Sara mwenye umri wa miaka tisini atazaa?

Ibrahimu akamwambia Mungu, Lau kwamba Ishmaeli angeishi mbele yako.
Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.

Na kwa habari za Ishmaeli nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongeza sana sana. Atazaa maseyidi kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kuu.
Mama D unachanganya madawa.Sisi tulio muamini Bwana Yesu Agano la Kale sio letu,it was for the choosen people of Israel,kwa hiyo lolote linalo ongelewa hapo ni kwa ajili yao.To us Agano la Kale is a History Book,a book which shows us how our comrades fared.Je,linafaa lolote?Yes,as History Book yapo mazuri ambayo tunaweza kuiga.
Sisi tuko chini ya Neema,hatuko chini ya sheria ya hukumu na adhabu,tuko chini ya Sheria ya Roho wa uzima,Mungu sasa amezisndika Sheria zake katika Roho zetu so katika vibao vya mbao!Kumbuka kwamba matendo mema yaliumbwa ili tuyatende hayo,kwa hiyo hatuhitaji Sheria ili kuyatenda,it is part and parcel of us.

Kazi nyingine ya Torati ni kutufahamisha dhambi na hivyo kutuleta kwa Kristo,kwa hiyo Sheria ni kiongozi tu wa kutuleta kwa Kristo.Sasa kwa kuwa Kristo ameshakuja,hatupo tena chini ya kiongozi,yaani Torati.Infact Kristo alizaliwa kwenye Torati na kutimiza Torati yote ili sisi tusiwe na haja tena ya kutimiza sheria!How amazing.

Hata hivyo najua mtu aliyelelewa na kukulia kwenye Dini,concept ya Neema ni ngumu kuelewa,hata hivyo by the grace of the Holy Spirit we can.
 
Mtu mwenye akili timamu asiye na matatizo ya akili unawezaje kukaa chini ukaandika kwa kirefu hivi vitu vya kufikirika tu?!
Namba 666 ya kitabu cha ufunuo katika kitabu cha biblia, yaani namba yenye mahesabu ya kibinadamu au CHAPA YA MNYAMA au ALAMA YA MPINGA KRISTO ni nini hasa? Au nia na madhumuni yake ni nini?

Je, tunaweza vipi kutambua CHAPA hii ya MNYAMA juu ya MAPAJI YA NYUSO zetu ikiwa tumeshaipokea au bado?

Katika maswali haya mawili hapo juu naweza kukuambia kuwa la kwanza sina hakika nalo hila hili la pili nitaligusia japo kidogo naomba ongozana nami katika uchambuzi huu;

Dunia inatawaliwa na kitu kimoja tu chenye nguvu sana yaani:- PROPAGANDA inayogawanyika katika vipengele vikuu viwili navyo ni 1. DINI 2. SIASA

I) DINI inatawala IMANI au HISIA KUU na TUMAINI LA KIPEKEE LA BINADAMU, hiki ndicho chombo chenye nguvu kuu kuliko siasa na upanga na sababu kuu ni kuwa ugusa IMANI. Hivyo basi dini ndiyo NAMBA 6 YA KWANZA.

Vipi ni viashiria vya matumizi ya alama hii katika baadhi ya IMANI zetu:

(a) Ukristo
- Alama ya msalaba (ishara ya upanga au mauaji) na kuhusudu nudity ya idol kama ishara ya ukombozi (kitabu cha ufunuo kinatahadharisha juu ya mwanamke mmoja kahaba anayekunywa damu ya watakatifu katika kikombe cha machukizo yake. Swali ni Je, amshirikiani nae mnapokula mwili na damu yake?)
-kupakwa majivu meusi kama ishara ya msalaba katika PAJI LA USO
  • Ubatizo (kupokea CHAPA na kuapa kuilinda daima)
  • Utatu Mtakatifu (666=zote ni 1kumaanisha jambo moja)
  • mavazi ya wachungaji na mapadre kuwa na umbile la mfanano na samaki (wafuasi wa BAALI au BABELI MKUU)
  • Askofu kuwa na fimbo yenye umbile la nyoka inayomtegemeza au kumuongoza altareni (ishara ya utawala wa ibilisi au joka la zamani)
  • Kuwa na idol mmoja mwenye cheo sawa au karibia na mungu anayeabudiwa
  • Rozali na kufanya tahajudi, mafukizo na kuchoma udi au ubani, kuimba kwa mtindo wa taratibu na huzuni, kupiga ala Fulani za miziki (kuruhusu mwingiliano wa kiroho)
  • Majengo au usanifu wa makanisa kuwa na maumbile ambayo ukiyachunguza kwa mtizamo wa ndani unaishia kumwona nyoka, bundi, mbuzi, nyota, pembe tatu au maumbile ya utupu wa binadamu (jinsi ME au KE mfano mrahisi ni kanisa kuu kule Vatican) n.k

(b) Uislamu
  • Kupata suguru nyeusi katika paji la uso kama ishara ya ukomavu katika swala (Chapa 666).
  • kuvaa tasibii na pete za vito vya mviringo,kujifukiza udi au ubani,kuongea kwa mfumo wakuimba nakupiga ala Fulani za miziki (kuruhusu mashirikiano ya kiroho kwa njia ya tahajudi, chanting na manuizi)
  • Kiongozi kuwa na fimbo yenye ishara ya duara dogo katika ncha ya mwisho kwa juu na nusu mwezi utazamao juu pamoja na nyota yake.
  • Msahafu kuwa na alama ya duara katikati ya kava lake la juu ni kiashiria cha alama ya jicho moja (ishara ya ibada ya Dajjal na hili kukielewa vyema wapaswa kukikiri kitabu hiki tokea moyoni na kukibusu mara 3 kabla ya kukifunua)
  • Kuwa na idol mmoja mwenye cheo sawa au karibia na mungu anayeabudiwa
  • Ishara ya Nyota na Mwezi (ibada za upagani yaani BABELI mama wa makahaba)
-Kula kiapo au kuslimu (Kukubali Chapa yake juu yako daima)
- Ishara ya box jeusi la mraba na jiwe la kahaba linalozungukwa (ibada ya kumsujudia BAALI)n.k

(c) Ubuddha
  • Kunyoa kipara (mfano wa kichwa cha nyoka) na kufanya tahajudi (kuruhusu mwingiliano wa kiroho)
  • kuunganisha viganja vya mikono pamoja kuelekea juu usawa wa kifuani( ishara ya ndimi za moto au ulimi wa nyoka)
  • Kukaa mkao wa kukunja miguu, mgongo wima na viganja vya mikono kuunganishwa usawa wa kifuani wanapofanya tahajudi (kuchora umbile la nyota yenye pembe tano yaani magoti 2, viwiko 2 na kichwa kimoja 1 jumla 5 nyota hiyo ni pentagram na ukiigeuza juu chini basi ni baphomet bila chenga)
  • Matumizi ya tasibii, chanting au tufe za duara
  • Kuwa na idol mmoja mwenye cheo sawa au karibia na mungu anayeabudiwa pia
  • Mafundisho ya New Age I.e jicho la tatu, OBE, kuamsha nyoka wa shaba n.k
  • Kukiri kupitia ufahamu unaotokana na mafundisho yao kuwa hayupo mungu
  • Kuacha au kufifisha ego yaani hile dhamiri ya ndani ya mtu ( Nafsi au ubinafsi wa asili na hofu inayomlinda mtu katika kuamua chochote ndani yake hili aweze kupokea maarifa mapya yaani 666 tumezoea kuyaita mafunzo ya NEW AGE) n.k

(d) uhindu
-Kupaka bindi au doti nyekundu katika paji la uso (kuipokea chapa ya mnyama 666 na ishara ya jicho moja a.k.a jicho la tatu)
  • kuwa na idol mmoja mwenye cheo sawa au karibia na mungu anayeabudiwa pia.
  • Kufanya manuizi na tahajudi (ishara ya maingiliano ya kiroho)

Nakadhalika nakadhalika orodha ni ndefu na mambo mengi yanajirudia katika dini zote siwezi zimaliza maana kuna Judaism ambao utumia Nyota yenye pembe 6 (ishara ya umoja wafuasi wa 666 na ibada ya BABELI) kuna TAO na ishara za dolphin wawili wenye doti jeusi na jeupe ndani ya duara sawa na kile kisu cha maninja cha kuchinja kwa kuzunguruka au msalaba wa wakristo au alama ya Nazism n.k vyote hivi uashiria 666)

Hivyo itoshe kusema madhehebu yote katika ulimwengu huu bila kujalisha yanaamini katika nini, nambari yao ya usajili au mwamvuli wao ni Chapa 666 na ufanya kazi kinyume au badala ya owner halali wa namba hiyo 666 ambaye ni wewe BINADAMU (kujua hili tumia kitabu cha biblia (kilichoigusia namba hii)

fungua kitabu chochote katika page yeyote soma sura ya 6 mstari wa 6 pekee wa kila kitabu kisha summarize kwa mtizamo mmoja wa dhamira ya mstari uliousoma lengo lake ni kukujulisha nini, mwisho naamini utakubaliana nami kuwa hii ni namba ya UUMBAJI na THAWABU siku ulipoumbwa na sasa umebatilishwa kuichukia au kuiogopa(wanakufanya uisujudie au kuiepuka popote uionapo au ikushawishi kuwa ina nguvu na kukutawala) hili waliokuibia ukuu wako wautumie kukuendesha wanavyotaka daima uwe ndani ya circle hii pasipo kuchomoka.

Hivyo ikiwa namba 666 umaanisha au kumwakilisha MWANADAMU basi tiyari unajibu la mind game kuwa masihi Dajjal au Mpinga Kristo ni nani, ambaye ana macho lakini haoni na ana masikio lakini asikii bali analo jicho moja tu lingine limezibwa hili asione.

Hivyo hapo tunakuwa tumejua tofauti kati ya Mpinga Kristo, Chapa ya Mnyama 666 na Shetani(joka mwekundu wa kale au ibilisi)

Kwahiyo tumejua sasa kuwa Shetani utumia Chapa ya namba 666 kama chambo ya kumtawala na kumtumikisha Binadamu kama mtumwa wake ambaye ni daraja la hatia(mpinga kristo au mweneza uongo) na hivyo endapo atafanikiwa atakuwa na utetezi kuwa yeye si mwongo wala mkosefu bali mwenye haki isipokuwa binadamu ndiye mkosefu,

mathalani anajua hatima yake na pengine ndiyo maana anajipambanua kama baba wa ulimwengu huu na anatafuta wa kuangamia nae. Hivyo ukiuliza kwanini atumie kitabu hicho hicho kuelezea habari njema( za mungu) na mbaya (za shetani) kama kitu kimoja na sehemu nyingine kama kinapingana au kutoeleweka kirahisi. Jibu ni moja tu mbona mlikwisha kufunuliwa kuwa jema ni lipi na baya ni lipi tokea siku ile ulipoacha kuisikiliza sauti ya mungu wako nakuifuata ya shetani.

Je ukutambua juu ya fumbo la kula tunda la mti wa mauti na anguko lako?(symbolism ya bustani ya edeni) kuwa ni kukubali ushawishi huu(kupokea DINI) yaani kujua MEMA na MABAYA(kuabudu na kutenda visivyo na vilivyo yaani KWELI na UONGO kwa pamoja ndani ya chanzo hicho hicho kimoja (kiini/shina) cha maarifa)

II. SIASA na lengo la siasa ni kusimika UONGOZI waKIBINADAMU kutawala BINADAMU (Chapa 666) kwa nia ya kuwajengea binadamu kasumba ya uchu na uroho wa kupokonyana nguvu za utawala na mamlaka kama ishara ya UASI na ANGUKO LAO juu ya tamaa ya umiliki mali, mamlaka na amri juu ya wengine.

Hata siku moja SIASA haijawahi kuwa asilimia walahu 50 juu ya maslahi ya wale wanaodanganywa kuwa siasa ni kwa ajili yao bali imeonekana kuwapa favour watawala zaidi ya wanaoongozwa na hilo ndilo lengo haswaa la siasa yaani kuleta hali vuguvugu la imani, utulivu na machafuko ya uasi(toka tabaka kandamizwa) juu ya uso wa nchi nakutimiza adhima ya malengo ya MUASI
mwenyewe.

Unapokuwa kwenye kampeni unalazimika kutumia ishara ya dole gumba moja(6) kuashiria chama tawala na ishara ya vidole viwili (66) kuashiria cha upinzani hii umaanisha kuwa Siasa hili ilete tija au kuwa siasa inayoitajika katika ulimwengu huu lazima itimize masharti hayo ambayo tumezoea kuyaita kitaalamu DOMOKURASIA yaani (chama tawala +Uasi/Wapingaji(zani))huwa sawasawa na 666. Ndiyo maana huyu ampingi dini wala dini ampingi siasa kwani lao moja wote ni watawala na lengo ni moja.

Sasa ukiwa ndani ya utawala wa vitu hivyo hapo vikuu viwili ambapo kimojawapo kati ya hivyo lazima kikukabili tu iwe isiwe yaani kama siyo SIASA I.e kutawaliwa basi DINI, Vyombo hivi jukumu lake nikuakikisha ubongo wako unadhibitiwa kisawasawa na kamwe usiujue ukweli hadi unaondoka hapa duniani.

Hivyo wanashikilia nyanja zote za ufahamu wako kuanzia elimu wanayokupa, afya yako ya mwili na akili, huduma muhimu, mode ya kusurvive, kuchochea mood ya vishawishi kama kukujengea mazingira ya ngono, muziki, michezo, ukatili wa kijinsia na mmonyoko wa maadili n.k

Na hutumia nguvu ya upanga(dola I.e jeshi na vita) na umma wa wanadamu wenzako hao hao kukudhibiti na kuweka principals ambazo wanajua kama binadamu lazima utasurrender tu kwao utake usitake Chapa 666 lazima itawork against you

Kwa kila utakapoenda, utakachofanya, bidhaa utakazonunua au kutumia, vitu au watu unaowa-admire au maendeleo yako na maisha yako na kila unachokiona mbele yako kitakuwa tiyati kiko affected kwa namna fulani na ishara, chapa, matendo, uamasishi na pengine ni kiashiria chenye udhahiri usio jificha wa namba hiyo 666

Hii nikumaanisha huwezi kuwa nje ya duara hill maadamu unaishi tegemea kusikia,kushuhudia au kuhusika na habari za mauaji, ushoga, ushetani, wizi, vita, teknolojia, uzinzi, ulawiti, upotoshaji, majanga,sherehe, maangaiko, starehe na vilio.

Ilimradi huko tiyari chini ya utawala huu na sasa watambua kuwa una cha kufanya kuubadili ukweli tafadhali hamka toka usingizini na ufumbue kope zako uione nuru na uishi huru ukiwa mwenye amani na tumaini jipya usiyetishwa na kivuli chako mwenyewe.
 
Wewe na mama D ni kama pipa na mfuniko wake, wote ni dimwits mnaoamini na mlioajaza mauzauza ya mchanganyiko wa dini na siasa kwenye mavichwa yenu.
Mama D unachanganya madawa.Sisi tulio muamini Bwana Yesu Agano la Kale sio letu,it was for the choosen people of Israel,kwa hiyo lolote linalo ongelewa hapo ni kwa ajili yao.To us Agano la Kale is a History Book,a book which shows us how our comrades fared.Je,linafaa lolote?Yes,as History Book yapo mazuri ambayo tunaweza kuiga.
Sisi tuko chini ya Neema,hatuko chini ya sheria ya hukumu na adhabu,tuko chini ya Sheria ya Roho wa uzima,Mungu sasa amezisndika Sheria zake katika Roho zetu so katika vibao vya mbao!Kumbuka kwamba matendo mema yaliumbwa ili tuyatende hayo,kwa hiyo hatuhitaji Sheria ili kuyatenda,it is part and parcel of us.

Kazi nyingine ya Torati ni kutufahamisha dhambi na hivyo kutuleta kwa Kristo,kwa hiyo Sheria ni kiongozi tu wa kutuleta kwa Kristo.Sasa kwa kuwa Kristo ameshakuja,hatupo tena chini ya kiongozi,yaani Torati.Infact Kristo alizaliwa kwenye Torati na kutimiza Torati yote ili sisi tusiwe na haja tena ya kutimiza sheria!How amazing.

Hata hivyo najua mtu aliyelelewa na kukulia kwenye Dini,concept ya Neema ni ngumu kuelewa,hata hivyo by the grace of the Holy Spirit we can.
 
Back
Top Bottom