Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Wakuu hamjambo? Moja kwa moja kwenye mada baada ya kutafakari kwa kina nimekuja na conclusion kuwa huwenda sifa kuu ya Mungu wetu huyu ni Upweke. Yaani ile Incredible Genius Mind , ile...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwa kiasi kikubwa mambo tunayoyafahamu yanajengwa (Shaped) na yale tunayoyaona na kuyasikia na jinsi tunavyoona na kusikia zaidi ndivyo yanavyozidi kutukaa akilini na kuwa sehemu ya maisha yetu...
12 Reactions
44 Replies
5K Views
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (last born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania; (1) Is Africa...
9 Reactions
191 Replies
19K Views
Hello.. Lately I’ve been writing random topics centered on personality traits, this Topic will be serving as a sequel of those Topic. Will focus on other perspective of personalities...
16 Reactions
31 Replies
7K Views
Anglophone Vs Francophone Africa: Harufu ya mpasuko mkubwa wa kisiasa ndani ya umoja wa Africa (AU) baina ya mataifa yanayozungumza lugha ya Kiingereza na yale ya Kifaransa. Habari za wakati...
6 Reactions
144 Replies
18K Views
1 Reactions
6 Replies
586 Views
Wanandugu wasalaam sana. Ama baada ya yote ashukuriwe muumba wa udongo na viumbe vyote. Pia ni huzuni moyoni mwangu kuisema pole juu ya anguko la Rais wetu mpenzi Dr John Pombe Magufuli bwana...
6 Reactions
12 Replies
3K Views
Huenda Katika kipindi kirefu Cha maisha ya UMILELE(Un-Ending existence) na Mungu mbinguni.Mungu anaweza akaumba mabillion ya universe. Yaani hapa nazungumzia maisha baada ya mambo yote ya kinabii...
14 Reactions
101 Replies
9K Views
POLICE DIGITAL FORENSIC and The Russian Roulette Hackers: FBI walipounda kampuni hewa (Front Company) ili kuwakamata wadukuzi (Hackers) kutoka Russia. Ivanov alianza kufuatiliwa kwa umakini...
24 Reactions
100 Replies
14K Views
Kiujumla hatuna housing policy hapa Bongo ndio maana suala la makazi halipewi kipaumbele! Economic Development Planning inafanywa na wachumi ambao huwa hawaoni kama suala la nyumba linachangia...
6 Reactions
27 Replies
6K Views
Ndugu wana JF Kuna taarifa ambazo sijazithibitisha kwamba, Malkia wa Uingereza anamiliki Eneo Kubwa sana Ndani ya Nchi yetu, ambapo Hata Serikali yetu haina Mamlaka ya Kuingia. Eneo...
2 Reactions
64 Replies
17K Views
Kuna trend inazunguka mitandaoni kuhusu mbinu za China kuitawala Afrika. Nami naileta humu tujadili. Kwa maoni yangu yawezekana kwa sababu kuu mbili, nikirejea mradi wa bandari Mbegani na Wachina...
5 Reactions
28 Replies
4K Views
Hello Memba Nipo nafikiria sana ila nashindwa kupata jibu nategemea memba wa JF watakuja zaidi na majibu mazuri yatakayo nisaidia kupata mwanga wa thinking pengine ikapelekea kudevelop theory...
8 Reactions
791 Replies
49K Views
Suala la watawala kuwa na wapelelezi ni jambo lilioko kwenye jamii kwa maelfu ya miaka tangu pale Jamii ya binadamu ilipoanza kuishi pamoja na kuwa na mfumo wa kujiongoza. Jamii duniani kwa miaka...
35 Reactions
189 Replies
55K Views
Habari Wana JF, Kuna Majengo Na Maeneo Mengi Hasa Yanayo nasibiana Na Wahindi Hasa Kwenye Milango Au Magari Huwa Kuna Namba Hasa Hii 786 Ipo Maeneo Mengi Sana Ningependa Kujua Inahisiana na Nini...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
1. Hayupo mtu atakayekupenda kama mama yako mzazi. 2. Masikini siku zote hana rafiki. 3. Watu huheshimu pesa zako, hawakuheshimu wewe. 4. Yule unayempenda sana ndiye atayekuumiza sana. 5...
15 Reactions
14 Replies
3K Views
Kwa mujibu wa Biblia takatifu Mungu aliumba Dunia kwa siku sita na kumpumzika siku ya saba kulingana na kitabu cha Mwanzo. Lakini kuna dhana ya kwamba siku moja mbinguni ni sawa na miaka elfu...
13 Reactions
336 Replies
33K Views
Is it true that 57 years ago Palestine was not there?
0 Reactions
0 Replies
399 Views
Nilifurahi sana kusoma andiko la ndugu Mpoki Zakayo la hivi karibuni; andiko ambalo lilielezea vema utata wa kifo cha 'legendary' wa vita, Napoleon, kilichotokea tarehe 5 May ya mwaka 1821...
21 Reactions
42 Replies
8K Views
Kuna mti mmoja (jina lake linahifadhiwa ) unapatikana porini, mti huo ukikomaa, urefu wake hauzidi wa mtoto wa miaka saba, una magamba kwa mbali na rangi yake ni nyeupe. Mti...
30 Reactions
225 Replies
142K Views
Back
Top Bottom