Wakuu hamjambo?
Moja kwa moja kwenye mada baada ya kutafakari kwa kina nimekuja na conclusion kuwa huwenda sifa kuu ya Mungu wetu huyu ni Upweke.
Yaani ile Incredible Genius Mind , ile...
Kwa kiasi kikubwa mambo tunayoyafahamu yanajengwa (Shaped) na yale tunayoyaona na kuyasikia na jinsi tunavyoona na kusikia zaidi ndivyo yanavyozidi kutukaa akilini na kuwa sehemu ya maisha yetu...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (last born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Eti ndugu zangu watanzania;
(1) Is Africa...
Hello..
Lately I’ve been writing random topics centered on personality traits, this Topic will be serving as a sequel of those Topic. Will focus on other perspective of personalities...
Anglophone Vs Francophone Africa: Harufu ya mpasuko mkubwa wa kisiasa ndani ya umoja wa Africa (AU) baina ya mataifa yanayozungumza lugha ya Kiingereza na yale ya Kifaransa.
Habari za wakati...
Wanandugu wasalaam sana. Ama baada ya yote ashukuriwe muumba wa udongo na viumbe vyote. Pia ni huzuni moyoni mwangu kuisema pole juu ya anguko la Rais wetu mpenzi Dr John Pombe Magufuli bwana...
Huenda Katika kipindi kirefu Cha maisha ya UMILELE(Un-Ending existence) na Mungu mbinguni.Mungu anaweza akaumba mabillion ya universe.
Yaani hapa nazungumzia maisha baada ya mambo yote ya kinabii...
POLICE DIGITAL FORENSIC and The Russian Roulette Hackers: FBI walipounda kampuni hewa (Front Company) ili kuwakamata wadukuzi (Hackers) kutoka Russia.
Ivanov alianza kufuatiliwa kwa umakini...
Kiujumla hatuna housing policy hapa Bongo ndio maana suala la makazi halipewi kipaumbele! Economic Development Planning inafanywa na wachumi ambao huwa hawaoni kama suala la nyumba linachangia...
Ndugu wana JF
Kuna taarifa ambazo sijazithibitisha kwamba, Malkia wa Uingereza anamiliki Eneo Kubwa sana Ndani ya Nchi yetu, ambapo Hata Serikali yetu haina Mamlaka ya Kuingia.
Eneo...
Kuna trend inazunguka mitandaoni kuhusu mbinu za China kuitawala Afrika. Nami naileta humu tujadili. Kwa maoni yangu yawezekana kwa sababu kuu mbili, nikirejea mradi wa bandari Mbegani na Wachina...
Hello Memba
Nipo nafikiria sana ila nashindwa kupata jibu nategemea memba wa JF watakuja zaidi na majibu mazuri yatakayo nisaidia kupata mwanga wa thinking pengine ikapelekea kudevelop theory...
Suala la watawala kuwa na wapelelezi ni jambo lilioko kwenye jamii kwa maelfu ya miaka tangu pale Jamii ya binadamu ilipoanza kuishi pamoja na kuwa na mfumo wa kujiongoza. Jamii duniani kwa miaka...
Habari Wana JF,
Kuna Majengo Na Maeneo Mengi Hasa Yanayo nasibiana Na Wahindi Hasa
Kwenye Milango Au Magari Huwa Kuna Namba Hasa Hii 786 Ipo Maeneo Mengi Sana Ningependa Kujua Inahisiana na Nini...
1. Hayupo mtu atakayekupenda kama mama yako mzazi.
2. Masikini siku zote hana rafiki.
3. Watu huheshimu pesa zako, hawakuheshimu wewe.
4. Yule unayempenda sana ndiye atayekuumiza sana.
5...
Kwa mujibu wa Biblia takatifu Mungu aliumba Dunia kwa siku sita na kumpumzika siku ya saba kulingana na kitabu cha Mwanzo.
Lakini kuna dhana ya kwamba siku moja mbinguni ni sawa na miaka elfu...
Nilifurahi sana kusoma andiko la ndugu Mpoki Zakayo la hivi karibuni; andiko ambalo lilielezea vema utata wa kifo cha 'legendary' wa vita, Napoleon, kilichotokea tarehe 5 May ya mwaka 1821...
Kuna mti mmoja (jina lake linahifadhiwa ) unapatikana porini, mti huo ukikomaa, urefu wake hauzidi wa mtoto wa miaka saba, una magamba kwa mbali na rangi yake ni nyeupe.
Mti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.