Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Kila taifa imara duniani lina nguzo za kiroho. Wachina wana confucianism, wajapan wana shintoism, Urusi wana orthodox church, Ueropeans wana christianity, wayaudi wana judaism, wahindi wana...
1 Reactions
3 Replies
763 Views
Je ni kweli kutakuwa na mwisho wa dunia? Je utimilifu wa dahari ni upi? Ninini? Je kuna kikomo cha wakati... Kitabu cha ufunuo kina mambo mengi ambayo bado wengi hatujaweza kuyang'amua... Ni...
23 Reactions
100 Replies
16K Views
Nilikuwa mapumzikoni kidogo nikavinjari MMU, JAMII PHOTOS na JUKWAA LA SIASA.... likizo imeisha salama nimerejea tuendelee mada ziliyopita, tulijifunza, tukachambua na kujadili sana kuhusiana na...
20 Reactions
115 Replies
23K Views
"OPERATION GERONIMO EKIA" (EKIA - Enemy Killed In Action "Adui ameuawa kwenye mapambano") NI OPERATION ILIYO RATIBU NA KUFANIKISHA KIFO CHA OSAMA BIN LADEN. Na. Comred Mbwana Allyamtu. Thursday-...
5 Reactions
14 Replies
8K Views
Wasalaamu ndugu wana jf. Jamani nataka kuelewa machache kuhusu huu ufalme, inasemekana huu ufalme ulikuwa ufalme wenye nguvu zaidi kuliko falme zote duniani na inasemekana pia ulitawala...
10 Reactions
109 Replies
31K Views
Ngoja tupeane elimu kidogo juu ya mungu na namna alivyo jificha bila kujiweka wazi Mungu kutokujiweka wazi kwanza tukubali hii ni hekma kubwa sana imetumika maybe pengine hali ingekuwa mbaya sana...
9 Reactions
20 Replies
2K Views
Kuna mtindo wa kwenye social media watu kutosoma maelezo marefu sana. Hivyo basi nimeamua kuileta sehemu tu ya ile sehemu ya pili, enjoy; ....................kukazia pointi kadhaa na kufunga...
12 Reactions
408 Replies
26K Views
WAPENZI wa Dansi katika miaka ya 1970 mpaka 1990, hawatosita kusimulia burudani tamu iliyokuwa ikiporomoshwa kutoka bendi ya MAQUIS du ZAIRE. Watoto wa mjini katika kumbi za starehe walipagawa...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa muda Sasa kumekuwa na mijadara hisia mingi kuhusu kuwepo Kwa viumbe wa ajabu kutoka sayari za mbali "Aliens", pamoja na technolojia yao ya usafiri almaarufu kama UFO(unidentified flying...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. " Quran 15 : 26 " We brought man into being out of dry ringing clay which was wrought from black...
19 Reactions
258 Replies
19K Views
AINA 3 ZA WATU KATIKA MAISHA YAKO.. 1. Watu Majani 2. Watu Tawi 3. Watu Mizizi Watu Majani: Hawa ni watu ambao wanakuja katika maisha yako kwa msimu tu. Huwezi kuwategemea kwa sababu ni dhaifu...
1 Reactions
5 Replies
930 Views
Nani aliandika kitabu cha Samweli? = Samweli Nani aliandika kitabu cha Yoshua? = Yoshua Nani aliandika Kumbukumbu la Torati = Musa? 1Samweli 25:1 “Samweli akafa, na wana wa Israeli wote...
25 Reactions
193 Replies
9K Views
SWALI KUBWA picha ulizoziona zimekuathri kwa namna gani au kwa ukubwa gani ? (Maamuzi, Mawazo, Hisia, Maisha, Matendo)
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Mnamo mwaka 1957 tarehe 25 mwezi wa pili, mwili wa mvulana mdogo ulikutwa ndani ya boksi sehemu ambapo haparuhusiwi kutupia vitu huko eneo la Philadelphia, Marekani. Mtoto huyo anakadiriwa kuwa na...
25 Reactions
76 Replies
10K Views
Wakuu habari? Naomba nichangie uzoefu wangu nilioushuhudia mwenyewe kwa macho yangu. Kwenye imani ya Kikristo kuna sehemu imeandikwa" Mtu akifariki haoni, hasikii wala hajui chochote...
8 Reactions
49 Replies
12K Views
It geting crazy Kwa mara ya kwanza kinachosemekana ni ALIEN ameonyeahwa kwa kamati ya bunge huko nchini Mexico. Am so excited, what a time, hapa bado mu USA aka baba lao aje na yeye kusema vyakee.
7 Reactions
46 Replies
5K Views
(1) Prigozhin alikuwa rafiki mkubwa wa Putin tokea utotoni mwao huko St Petersberg na kuna wakati Putin alikuwa anatayarishiwa chakula na mgahawa wa Prigozhin tu; na mara zote Prigozhin mwenyewe...
15 Reactions
42 Replies
6K Views
HAYA NDIYO MAMBO TATA KUHUSU NEIL ARMSTRONG NA SAFARI YA MWEZINI Jana nlifanikiwa kuangalia video , baada ya shirika la anga la MAREKANI, NASA kufanikisha kupeleka chombo cha utafiti katika...
8 Reactions
86 Replies
16K Views
Swali langu ni hili, je, Mungu ataumba binadamu wengine baada ya kukifuta hiki kizazi cha tatu? Au baada ya dunia kufikia mwisho na sisi kukutana na doom ambayo Mungu ameipanga mambo ya binadamu...
4 Reactions
42 Replies
3K Views
binafsi sina Dini ina namuamini Mungu. Dini ni mpango wa shetani kuwakamata watu wanaoamini wanamtumikia au mwabudu Mungu. huwa najiuliza huyu mwenye Dini ambaye anabagua wengine ambao si wa dini...
55 Reactions
231 Replies
34K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…