Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Ufunuo wa Vita vya Crusades: Safari Kupitia Historia Zekaria 12:1‭-‬3 Hili ni neno la Bwana kuhusu Israeli. bwana, yeye azitandaye mbingu, awekaye misingi ya dunia na aiumbaye roho ya mwanadamu...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Nikiitazama dunia na mwenendo wa hiki kiumbe kinachojiona kina maarifa ya ziada kushinda viumbe wengine,bado naona safari ndefu sana yenye kujifunza,ujinga,maarifa na ajali za kila namna!. Labda...
5 Reactions
3 Replies
939 Views
Wapendwa wana JF nimekuwa nikitafakari sana kuhusu mambo yalivyo. Nimesoma vitabu vya dini nikasoma sayansi, nimefanya meditation na kufanya mambo ya kila namna. Lengo lilikuwa kupata kujua...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Naamini wote ni wazima wa afya, ila kama kuna mtu yeyote mwenye changamoto basi Mwenyezi Mungu/Allah amfanyie wepesi. Nimekuwa mdau wa Jamii Intelligence kwa muda sasa, Na hakika ukiwa serious...
6 Reactions
33 Replies
3K Views
Kila mmoja na ajiulize swali hili kwa dhati yake tokea moyoni; je ni halali kupangiwa maisha yako na kiumbe mwingine asiye wewe tokea kuzaliwa kwako mpaka kifo na kama haitoshi mpaka na adhabu pia...
3 Reactions
113 Replies
5K Views
KUWENI MAKINI NA MCHANGA WA KABURINI: Kuna watu wamepata nuksi, mikosi na mabalaa makubwa katika maisha yao kwa sababu ya matumizi ya mchanga wa makaburini bila kuzingatia au kufuata maelekezo...
9 Reactions
95 Replies
20K Views
Afya ya akili-Usomaji wa vitabu Afya ya mwili-Lishe bora na mazoezi Afya ya roho-soma kitabu chako cha imani, maombi, dua na kushiriki na ibada. SIMPLIFIED. Kuongezea iko tafauti ya ubongo na...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Natumai wote humu ndani mu wazima wa afya njema,mliofunga poleni kwa swaumu kali na wale wakristo poleni kwa Artificial swaumu kutokana na mfumo wa maisha ulivyo,, Leo nitagusia kidogo juu ya...
61 Reactions
143 Replies
33K Views
Jifunze Kusoma Alama za Nyakati.. Siku Zote Ukiona Ulinzi ni Mkubwa Basi Jua Kuwa Usalama ni Mdogo.. Na Laana Yako Inaweza Kuwa Mwanzo wa Njia za Baraka Yako Pia. 💫💫💫💫💫 ©️Mwl. Makungu m.s...
62 Reactions
99 Replies
11K Views
Salute Mnamo mwaka wa 4BC jijini Galilaya katika kitongoji kiitwacho Nazareth kulikuwa na familia ya Bw. Joseph na mkewe Maria; walipata mtoto wa kiume wakamwita Jina Yeheshua au Yesu. Ilikua ni...
82 Reactions
328 Replies
38K Views
Kitabu cha kwanza kutafsiriwa kwenda kwenye lugha nyingi ni Biblia, Ambayo ilitafsiriwa kwenda kwenye lugha takribani 3589. Kitabu cha pili kutafsiriwa kwa lugha nyingi ni Don Quixote, riwaya...
9 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwambie Kijana Wako Asichanganye Gender Equality (Usawa wa kijinsia) Kwenye Gender Roles (majukumu ya kijinsia) ktk Utamaduni Usioendana.. 💫💫💫💫💫 © Mwl. Makungu Ms. 0743781910...
11 Reactions
20 Replies
2K Views
Hii vita ina mambo mengi Sana na huu ndo mwanzo wa Taifa la Israel kwenda kijitanua ili kuwa kwenye ramani halisi ambayo Mungu aliwapa Wana wa Israel kuptia mtumishi wake Musa na badae Yoshua...
4 Reactions
21 Replies
4K Views
Namaanisha yaani serikali ya Palestina yenyewe haimiliki jeshi wala polisi ama ni ile nchi inaendeshwaje yaani nchi nzima ya Palestina ni kweli haina jeshi wala polisi ama kikosi maalumu cha...
6 Reactions
82 Replies
14K Views
Awali Ya Yote Poleni na majukumu ya kujenga Taifa Nlipata Nafasi ya kwenda kijiji kwetu kumsalimia Babu ndipo wakati tukiwa tukiongea aliniambia history ambayo kwa sehemu kubwa ilinifikirisha ma...
4 Reactions
61 Replies
27K Views
Nafasi au space kwa lugha nyepesi ni urefu, kina,upana,eneo au ujazo wa sehemu ambamo vitu vyote ulimwenguni vinakaa. Muda (time) ni muendelezo wa matukio. Huu mwendelezo ni continous ukitokea...
17 Reactions
86 Replies
5K Views
Habar wanazengo Mm huwa najiuliza sisi wanadamu tunaamini katika uwepo wa Mungu na malaika zake. Sasa Mungu aliumba kila kitu vinavyoonekana na visivyoonekana Tuurudi kwenye mada jua na dunia...
5 Reactions
14 Replies
3K Views
Kama ni Muundo wa Ubongo ni Uleule kwa WANAADAMU wote ...kama ni vyakula pengine Afrika tunakula Vizuri zaidi more natural(organic) kuliko wao ... Swali Langu ni Kwamba ..Hizi artificial...
11 Reactions
103 Replies
5K Views
Kabla ya kuja Kwa Ukristo na hatimaye Uislamu Afrika, watu wa Afrika walikuwa wanaabuduje? Jee na wao walikuwa wana siku, wiki, mwezi na mwaka Kwa mfumo huu uliopo Sasa au ilikuwaje? Walimini...
6 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari wadau wote wa JF Hakuna kitu kibaya kama kumwacha mtu akufafanue au kukuelezea kama vile ww mwenyew hujijui. Don't let anyone define you and don't let anyone define your beliefs. Kuna...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom