Race and Intelligence: Je, Whites Wana akili zaidi ya Blacks?

Best Daddy

JF-Expert Member
Apr 2, 2019
769
1,292
Naamini wote ni wazima wa afya, ila kama kuna mtu yeyote mwenye changamoto basi Mwenyezi Mungu/Allah amfanyie wepesi.

Nimekuwa mdau wa Jamii Intelligence kwa muda sasa, Na hakika ukiwa serious na hili jukwaa utatoka na elimu (madini) sana, kuanzia maarifa ya kiroho hadi yale ya kimwili.

Lakini katika nyuzi ninazozipenda, basi ni zile zenye lengo la question physical world than spiritual world. Sipingi mawazo yao(Kutopinga haimaanishi nakubaliana nao) mfano ile battle ya Mungu yupo vs hayupo na uumbaji wa dunia..Mnao sadiki Big bang theory na hizo theories nyingine, Mnaweza kuwa sawa lakini vipi kama ndio njia ambayo Mungu aliitumia kuumba Ulimwengu? Binafsi, nikiiangalia hii dunia jinsi vitu vinavyopangiliwa, vinavyotegemeana , mfano mdogo tu angalia mchakato mzima reproduction from Penis to vagina, Sperm to egg hadi mtoto anazaliwa unaweza kubaliana na mimi huu mfumo haujatokea tu bali umeumbwa na kitu chenye akili kubwa sana (Superintelligence Being) kama utaita Mungu au Jina lolote utakalotaka. Ila mimi naamini hiki kitu kipo. Tuachana na hayo hii sio mada ya leo.

Basi, katika kuendelea kuperuzi nikakutana na thread inayotusikitikia Waafrika (blacks) kwanini sisi tu ndio tupo nyuma katika maendeleo hasa yale ya kiteknolojia, kila uvumbuzi basi ni wao kuanzia Steam Engines, Umeme, Computers hadi leo tupo kwenye Artifial Intelligence (Akili bandia) yote ni wao tu. Ila sisi hata leo wakisema watuachie au hawataki baadhi ya madini yetu inawezekana tukashindwa kujua tuyafanyie nini, tukabaki tunaangaliana tu.(Usicheke ndio ukweli huo). Tulicheka kwenye zile story za kuwa walikua wanatumia kuchezea bao...lakini hata sisi bado tuna safari ndefu japo thamani yake tunaijua.

Basi majibu yalikua ni mengi, mengine ni ya kuchekesha, wengine walitoa majibu mepesi sana katika hili swali gumu. Confidently, wakasema, upande wa teknolojia wenzetu(whites) inatengenezwa viumbe vya ajabu kutoka sayari nyingine, wakitaja Aliens, Reptiles e.t.c. Hivyo basi hao wanaamini matumizi yetu ya akili ni sawa, ila tu wenzetu wametuzidi sababu wanamiliki hivi viumbe vinavyo wasaidia kuvumbua na kuendeleza teknolojia kwako. ? Theories kama hizi hazina mchango wowote kwetu. Kwanini hivyo viumbe na sisi tumeshindwa kuvikamata kuendeleza teknolojia huku Africa? Umeona? Bado kuna sehemu tumezidiwa na hawa jamaa.

Wengine wakafika mbali wakasema Utumwa, Ukoloni, ukoloni mambo leo. Ni kweli unaweza kukubaliana nao, lakini ni mataifa mengi sana yametawaliwa( Siungi mkono huu upuuzi) ila lakini kitendo cha kuendelea kutawaliwa hadi sasa ni wazi kuna sehemu ambapo tayari tumezidiwa.
Lakini, ukiangalia kwa umakini unaona hayo mengi yaliyofanyika kwa wenzetu hayajatokea tu? bali ni zao la matumizi sahihi ya akili zao. Tukubali tukatae hawa jamaa linapokua swala la matumizi ya akili wapo mbali sana. Tunaweza changua kupingana na ukweli huu, lakini matokeo ya matumizi ya akili tunayaona upande wao, tofauti na sisi. Sipo hapa kukufuru, au kutusi sisi Waafrika(Blacks) kuwa sisi ni wajinga, Hapana. Kuna sababu nyingi zinaweza kuwa zimechangia kuwa na uwezo huu tulio nao, kuanzia kipindi cha evolution au mazingira yetu, lakini kuutambua ukweli ndiyo njia pekee inaweza kutusaidia kujua wapi tunaweza kuanzia.

Unaweza chukulia poa, nguvu ya akili, lakini kitendo cha (Homo Sapiens-Wise man)-Binadamu kuwa kiumbe chenye akili kimefanya tuweze kuitawala dunia. , Viumbe kama Simba, Tembo, Papa n.k pamoja kuwa ni viumbe hatari na vyenye nguvu lakini bado vinaishi chini ya matakwa yetu, tukiamua kuviangamiza vyote basi ni suala la muda tu.
Hii kusema jinsi unavyokuwa na akili basi ndio unazidi kuwa mwenye nguvu ya ku-control dunia. (Suala la pesa hapa ni product ya matumizi sahihi ya akili). Ndio maana waliweza kuanzisha biashara ya utumwa, walianzisha ukoloni hadi leo tumefunikwa kwenye ukoloni mamboleo.

KWANINI KUNA TOFAUTI KIAKILI WAO NA SISI.

Tafiti nyingi zimefanyika na kuhitimisha kuwa Intelligence (akili) ni zao la kimaumbile (ki-jinetiki(genetics) na mazingira (environment). Hapa namaanisha, sababu za kijinetiki na zile za ki-mazingira zina mchango mkubwa katika ustawi wa akili ya binadamu.


Angalizo, hiki ninachoenda kugusia katika hii part, kimeandikwa lengo kujifunza tu, haina lengo lolote la ubaguzi wala kushusha au kukuza thamani ya jamii yeyote ile. Maana majadiliano kama haya mara nyingi ni rahisi kuangukia kwenye ugomvi, kuliko kupata njia saa hii ya kupunguza hili gape. Na expert wengi (Racist scientist) wamejikuta sehemu mbaya baada ya kutoa tafiti zao katika hili jambo.

Basi tuanze kwenye ngazi ya chini kabisa, hujawahi ona au kusikia familia fulani watu wake wanaakili sana(Vice versa)? Hujawahi kutana na jamii fulani, ya kanda fulani katika nchi yetu wana akili sana?

Kama ubongo na mind zetu zipo sawa, kwanini akili zetu ziwe tofauti? Basi sababu za kimazingira na zile za kijinetiki zinachangia kuleta utofauti huo.

I. Sasa turudi kwenye mada yetu, tafiti nyingi zimefanyika kuonesha kuwa kijinetiki , Africans(Blacks) and whites tupo tofauti, hii kusema issue ya race sio social difference pekee ila inahusha genetics pia. (Lakini hizi tafiti zinazuiwa au kupingwa sababu zinatafsirika ni zenye element za ubaguzi, ndio maana race mara nyingi inatafsiriwa kama ni tofauti ya kijamii(Social difference), lakini tafiti nyingi zimethibitisha ni zaidi ya hapo.

Kupata majibu ya mada hii, majiribio mengi yamefanyika kujua kwanini kuna tofauti hii katika race? Walijaribu kwenda mbali kwa kuwapa mazingira ya pamoja kati ya hizi race mbili lakini bado performance ya Whites ilikua juu zaidi ya blacks.

Kufipisha thread, mengi yalifanyika mwisho wakagundua kuwa sio sababu za mazingira pekee zinachangia tofauti hizi bali issue ya genetics, inheritence zinachangia pia.

II. Mazingira: Katika mazingira basi hapa nazungumzia physical environment and social environment; kuanzia chakula, matatizo katika jamii, malezi, elimu, magonjwa, watu wanaotuzunguka na kadhirika. Hii pia ina mchango mkubwa sana katika akili zetu. Na hapa ukiangalia tu kwa jicho la kawaida unaona mazingira yetu na yao ni tofauti. Sina haja ya kuzungumza sana, maana naamini hili jambo lipo katika utashi wa kila mtu.
Mazingira ni kitu cha msingi sana katika ustawi wa akili zetu, ukizungukwa na watu wenye uwezo fulani(Mentality) usitegemee sana utakua tofauti sana, "We are social being, adaptable by nature, tend to go with flow". Hivyo basi mazingira yanaweza kukujenda au kukubomoa kabisa.

Habari njema, kuonesha tofauti ya ki-akili kwa sababu tajwa hapo juu haimanishi sisi ndio basi tena. Hapana kuna namna nyingi ya ku-improve uwezo wetu wa akili, kuna mengi yanaweza fanyika na sisi tukawa bora sio lazima iwe zaidi yao, ila tukapiga hatua kutoka hapa tulipo. (Nitazieleza katika uzi ujao).

Lakini pia, Kuna baadhi ya mambo mengi yanaweza fanyika bila kuhitaji upeo mkubwa wa akili (Cognitive abilities) bali ni tabia zinazoendana na akili tu(Intelligence-related traits) kama vile Curiosity(Udadisi), Motivation(Hamu/motisha), discipline(nidhamu), Courage e.t.c . ambazo zimechangia sana kutengeneza gap tunaloliona sasa.

Curiosity(huitaji kuwa Elon Musk kuwa na njaa ya kutaka kujifunza au ku-question vitu fulani), baadhi ya vitu vinahitaji tu motivation kufanya. Mengine ni discipline (nidhamu) katika kufanya kazi au malengo fulani haihitaji uwe na ngozi nyeupe au genius . Mambo mengine yanahitaji kujifunza kawaida tu e.t.c(Nitakuja na uzi kuhusu hii part pia).
N.B. Mambo ambayo hayana mchango kwetu.
  1. Denial(Kukataa), njia rahisi kuondoa tatizo ni kulikataa au kulikimbia, lakini kukataa kama kuna utofauti kati yetu na wao kwa maneno lakini matokeo yanaonesha tofauti, haitakuwa mchango wowote katika kutambua matatizo yetu.
  2. Blaming game: kutupiana mizigo: Kulaumu wazazi au kutupia mzigo kwenye mfumo wa elimu, kisha unalala. Ni kweli mfumo wa elimu una mapungufu sana, lakini hakuna nchi duniani isiyolalamikia mfumo wa elimu hata nchi inayoaminika kuwa na mfumo bora wa elimu kama Finland bado kuna vilio. In short, formal education pekee haiwezi kumaliza changamoto hii . Japo assumption ni " one size fits all.”“education provided tends to be “one size fits none".


Ombi langu, unaweza kutusi, kukashifu huu uzi sababu ya kuhisi upo ku-attack jamii fulani, lakini mambo kama hayo hayawezi kutusaidia chochote. Ni bora kama kuna mahali utahisi kuna haja ya kutoa ufafanuzi au maelezo zaidi, utaweka wazi, Nitakua kwenye comment kuelezea kwa kina.
 
Naamini wote ni wazima wa afya, ila kama kuna mtu yeyote mwenye changamoto basi Mwenyezi Mungu/Allah amfanyie wepesi.

Nimekuwa mdau wa Jamii Intelligence kwa muda sasa, Na hakika ukiwa serious na hili jukwaa utatoka na elimu (madini) sana, kuanzia maarifa ya kiroho hadi yale ya kimwili.

Lakini katika nyuzi ninazozipenda, basi ni zile zenye lengo la question physical world than spiritual world. Sipingi mawazo yao(Kutopinga haimaanishi nakubaliana nao) mfano ile battle ya Mungu yupo vs hayupo na uumbaji wa dunia..Mnao sadiki Big bang theory na hizo theories nyingine, Mnaweza kuwa sawa lakini vipi kama ndio njia ambayo Mungu aliitumia kuumba Ulimwengu? Binafsi, nikiiangalia hii dunia jinsi vitu vinavyopangiliwa, vinavyotegemeana , mfano mdogo tu angalia mchakato mzima reproduction from Penis to vagina, Sperm to egg hadi mtoto anazaliwa unaweza kubaliana na mimi huu mfumo haujatokea tu bali umeumbwa na kitu chenye akili kubwa sana (Superintelligence Being) kama utaita Mungu au Jina lolote utakalotaka. Ila mimi naamini hiki kitu kipo. Tuachana na hayo hii sio mada ya leo.

Basi, katika kuendelea kuperuzi nikakutana na thread inayotusikitikia Waafrika (blacks) kwanini sisi tu ndio tupo nyuma katika maendeleo hasa yale ya kiteknolojia, kila uvumbuzi basi ni wao kuanzia Steam Engines, Umeme, Computers hadi leo tupo kwenye Artifial Intelligence (Akili bandia) yote ni wao tu. Ila sisi hata leo wakisema watuachie au hawataki baadhi ya madini yetu inawezekana tukashindwa kujua tuyafanyie nini, tukabaki tunaangaliana tu.(Usicheke ndio ukweli huo). Tulicheka kwenye zile story za kuwa walikua wanatumia kuchezea bao...lakini hata sisi bado tuna safari ndefu japo thamani yake tunaijua.

Basi majibu yalikua ni mengi, mengine ni ya kuchekesha, wengine walitoa majibu mepesi sana katika hili swali gumu. Confidently, wakasema, upande wa teknolojia wenzetu(whites) inatengenezwa viumbe vya ajabu kutoka sayari nyingine, wakitaja Aliens, Reptiles e.t.c. Hivyo basi hao wanaamini matumizi yetu ya akili ni sawa, ila tu wenzetu wametuzidi sababu wanamiliki hivi viumbe vinavyo wasaidia kuvumbua na kuendeleza teknolojia kwako. ? Theories kama hizi hazina mchango wowote kwetu. Kwanini hivyo viumbe na sisi tumeshindwa kuvikamata kuendeleza teknolojia huku Africa? Umeona? Bado kuna sehemu tumezidiwa na hawa jamaa.

Wengine wakafika mbali wakasema Utumwa, Ukoloni, ukoloni mambo leo. Ni kweli unaweza kukubaliana nao, lakini ni mataifa mengi sana yametawaliwa( Siungi mkono huu upuuzi) ila lakini kitendo cha kuendelea kutawaliwa hadi sasa ni wazi kuna sehemu ambapo tayari tumezidiwa.
Lakini, ukiangalia kwa umakini unaona hayo mengi yaliyofanyika kwa wenzetu hayajatokea tu? bali ni zao la matumizi sahihi ya akili zao. Tukubali tukatae hawa jamaa linapokua swala la matumizi ya akili wapo mbali sana. Tunaweza changua kupingana na ukweli huu, lakini matokeo ya matumizi ya akili tunayaona upande wao, tofauti na sisi. Sipo hapa kukufuru, au kutusi sisi Waafrika(Blacks) kuwa sisi ni wajinga, Hapana. Kuna sababu nyingi zinaweza kuwa zimechangia kuwa na uwezo huu tulio nao, kuanzia kipindi cha evolution au mazingira yetu, lakini kuutambua ukweli ndiyo njia pekee inaweza kutusaidia kujua wapi tunaweza kuanzia.

Unaweza chukulia poa, nguvu ya akili, lakini kitendo cha (Homo Sapiens-Wise man)-Binadamu kuwa kiumbe chenye akili kimefanya tuweze kuitawala dunia. , Viumbe kama Simba, Tembo, Papa n.k pamoja kuwa ni viumbe hatari na vyenye nguvu lakini bado vinaishi chini ya matakwa yetu, tukiamua kuviangamiza vyote basi ni suala la muda tu.
Hii kusema jinsi unavyokuwa na akili basi ndio unazidi kuwa mwenye nguvu ya ku-control dunia. (Suala la pesa hapa ni product ya matumizi sahihi ya akili). Ndio maana waliweza kuanzisha biashara ya utumwa, walianzisha ukoloni hadi leo tumefunikwa kwenye ukoloni mamboleo.

KWANINI KUNA TOFAUTI KIAKILI WAO NA SISI.

Tafiti nyingi zimefanyika na kuhitimisha kuwa Intelligence (akili) ni zao la kimaumbile (ki-jinetiki(genetics) na mazingira (environment). Hapa namaanisha, sababu za kijinetiki na zile za ki-mazingira zina mchango mkubwa katika ustawi wa akili ya binadamu.


Angalizo, hiki ninachoenda kugusia katika hii part, kimeandikwa lengo kujifunza tu, haina lengo lolote la ubaguzi wala kushusha au kukuza thamani ya jamii yeyote ile. Maana majadiliano kama haya mara nyingi ni rahisi kuangukia kwenye ugomvi, kuliko kupata njia saa hii ya kupunguza hili gape. Na expert wengi (Racist scientist) wamejikuta sehemu mbaya baada ya kutoa tafiti zao katika hili jambo.

Basi tuanze kwenye ngazi ya chini kabisa, hujawahi ona au kusikia familia fulani watu wake wanaakili sana(Vice versa)? Hujawahi kutana na jamii fulani, ya kanda fulani katika nchi yetu wana akili sana?

Kama ubongo na mind zetu zipo sawa, kwanini akili zetu ziwe tofauti? Basi sababu za kimazingira na zile za kijinetiki zinachangia kuleta utofauti huo.

I. Sasa turudi kwenye mada yetu, tafiti nyingi zimefanyika kuonesha kuwa kijinetiki , Africans(Blacks) and whites tupo tofauti, hii kusema issue ya race sio social difference pekee ila inahusha genetics pia. (Lakini hizi tafiti zinazuiwa au kupingwa sababu zinatafsirika ni zenye element za ubaguzi, ndio maana race mara nyingi inatafsiriwa kama ni tofauti ya kijamii(Social difference), lakini tafiti nyingi zimethibitisha ni zaidi ya hapo.

Kupata majibu ya mada hii, majiribio mengi yamefanyika kujua kwanini kuna tofauti hii katika race? Walijaribu kwenda mbali kwa kuwapa mazingira ya pamoja kati ya hizi race mbili lakini bado performance ya Whites ilikua juu zaidi ya blacks.

Kufipisha thread, mengi yalifanyika mwisho wakagundua kuwa sio sababu za mazingira pekee zinachangia tofauti hizi bali issue ya genetics, inheritence zinachangia pia.

II. Mazingira: Katika mazingira basi hapa nazungumzia physical environment and social environment; kuanzia chakula, matatizo katika jamii, malezi, elimu, magonjwa, watu wanaotuzunguka na kadhirika. Hii pia ina mchango mkubwa sana katika akili zetu. Na hapa ukiangalia tu kwa jicho la kawaida unaona mazingira yetu na yao ni tofauti. Sina haja ya kuzungumza sana, maana naamini hili jambo lipo katika utashi wa kila mtu.
Mazingira ni kitu cha msingi sana katika ustawi wa akili zetu, ukizungukwa na watu wenye uwezo fulani(Mentality) usitegemee sana utakua tofauti sana, "We are social being, adaptable by nature, tend to go with flow". Hivyo basi mazingira yanaweza kukujenda au kukubomoa kabisa.

Habari njema, kuonesha tofauti ya ki-akili kwa sababu tajwa hapo juu haimanishi sisi ndio basi tena. Hapana kuna namna nyingi ya ku-improve uwezo wetu wa akili, kuna mengi yanaweza fanyika na sisi tukawa bora sio lazima iwe zaidi yao, ila tukapiga hatua kutoka hapa tulipo. (Nitazieleza katika uzi ujao).

Lakini pia, Kuna baadhi ya mambo mengi yanaweza fanyika bila kuhitaji upeo mkubwa wa akili (Cognitive abilities) bali ni tabia zinazoendana na akili tu(Intelligence-related traits) kama vile Curiosity(Udadisi), Motivation(Hamu/motisha), discipline(nidhamu), Courage e.t.c . ambazo zimechangia sana kutengeneza gap tunaloliona sasa.

Curiosity(huitaji kuwa Elon Musk kuwa na njaa ya kutaka kujifunza au ku-question vitu fulani), baadhi ya vitu vinahitaji tu motivation kufanya. Mengine ni discipline (nidhamu) katika kufanya kazi au malengo fulani haihitaji uwe na ngozi nyeupe au genius . Mambo mengine yanahitaji kujifunza kawaida tu e.t.c(Nitakuja na uzi kuhusu hii part pia).
N.B. Mambo ambayo hayana mchango kwetu.
  1. Denial(Kukataa), njia rahisi kuondoa tatizo ni kulikataa au kulikimbia, lakini kukataa kama kuna utofauti kati yetu na wao kwa maneno lakini matokeo yanaonesha tofauti, haitakuwa mchango wowote katika kutambua matatizo yetu.
  2. Blaming game: kutupiana mizigo: Kulaumu wazazi au kutupia mzigo kwenye mfumo wa elimu, kisha unalala. Ni kweli mfumo wa elimu una mapungufu sana, lakini hakuna nchi duniani isiyolalamikia mfumo wa elimu hata nchi inayoaminika kuwa na mfumo bora wa elimu kama Finland bado kuna vilio. In short, formal education pekee haiwezi kumaliza changamoto hii . Japo assumption ni " one size fits all.”“education provided tends to be “one size fits none".


Ombi langu, unaweza kutusi, kukashifu huu uzi sababu ya kuhisi upo ku-attack jamii fulani, lakini mambo kama hayo hayawezi kutusaidia chochote. Ni bora kama kuna mahali utahisi kuna haja ya kutoa ufafanuzi au maelezo zaidi, utaweka wazi, Nitakua kwenye comment kuelezea kwa kina.
Niko Ujerumani ninachoweza kusema sisi waafrika tuna akili sawa na Wazungu na pengine tumewazidi. Kinachowabeba wenzetu ni mila na desturi zao. Ni nadra huku Ujerumani kumkuta mjerumani anasema uongo au ha keep track ya muda wake. Hizo ni tabia chache tu. Zipo tabia nyingi sana ambazo hawa watu wanazo ambazo zinawapa kipaumbele.
 
Narudia Tena
Wa Africa hatupo duniani kwa kazi hiyo.
Yaan race yetu ipo kwaajili ya kufanya Mambo mengine kabisaa....

Hayo mambo ya kuvumbua vumbua sio kitengo chetu...

Shida ni kua Kuna wajanja walituwahi kutupoteza kwenye rada kabla ya sisi wenyewe kujijua.....
"
Shida ni kua Kuna wajanja walituwahi kutupoteza kwenye rada kabla ya sisi wenyewe kujijua.....
hapa ndipo mada ya jamaa ilipo, kwa nini uwahiwe?kwa nini wawe wajanja?je tulipo jua tumewahiwa tumechukua hatua gani?
 
Niko Ujerumani ninachoweza kusema sisi waafrika tuna akili sawa na Wazungu na pengine tumewazidi. Kinachowabeba wenzetu ni mila na desturi zao. Ni nadra huku Ujerumani kumkuta mjerumani anasema uongo au ha keep track ya muda wake. Hizo ni tabia chache tu. Zipo tabia nyingi sana ambazo hawa watu wanazo ambazo zinawapa kipaumbele.
Basi hapo hapo ndipo wametuzidia akili.
 
Mada Pana na yenye kufikilisha. Kuwalaumu watangulizi wetu kwa jinsi hivi tulivyo(kiakili) ni kuingia kwenye blaming game alio isema mtoa mada, maana na wao wanawalaumu babu zao. Japo Kuna msemo unasema "kuzaliwa hivyo ulivyo sio makosa yako Ila kubaki hivyo ulivyo hayo ni makosa yako.

Lkn kiukweli watangulizi wetu wanamchango mkubwa kwenye Jamii yetu kuwa hivi tulivyo sasa kiakili. KILA KITU KINAFATA NJIA YAKE KUTOKANA NA KANUNI ZA ASILI. Shida ni mwalimu mkuu, yaani jamii inapo pitia shida watu hushughurisha akili zao kupata ufumbuzi na baada ya ufumbuzi ni neema.
Kizazi Cha neema hubweteka na shida huikumba Tena jamii, na hivyo DUNIA ndivyo inavyo enda.
 
Naamini wote ni wazima wa afya, ila kama kuna mtu yeyote mwenye changamoto basi Mwenyezi Mungu/Allah amfanyie wepesi.

Nimekuwa mdau wa Jamii Intelligence kwa muda sasa, Na hakika ukiwa serious na hili jukwaa utatoka na elimu (madini) sana, kuanzia maarifa ya kiroho hadi yale ya kimwili.

Lakini katika nyuzi ninazozipenda, basi ni zile zenye lengo la question physical world than spiritual world. Sipingi mawazo yao(Kutopinga haimaanishi nakubaliana nao) mfano ile battle ya Mungu yupo vs hayupo na uumbaji wa dunia..Mnao sadiki Big bang theory na hizo theories nyingine, Mnaweza kuwa sawa lakini vipi kama ndio njia ambayo Mungu aliitumia kuumba Ulimwengu? Binafsi, nikiiangalia hii dunia jinsi vitu vinavyopangiliwa, vinavyotegemeana , mfano mdogo tu angalia mchakato mzima reproduction from Penis to vagina, Sperm to egg hadi mtoto anazaliwa unaweza kubaliana na mimi huu mfumo haujatokea tu bali umeumbwa na kitu chenye akili kubwa sana (Superintelligence Being) kama utaita Mungu au Jina lolote utakalotaka. Ila mimi naamini hiki kitu kipo. Tuachana na hayo hii sio mada ya leo.

Basi, katika kuendelea kuperuzi nikakutana na thread inayotusikitikia Waafrika (blacks) kwanini sisi tu ndio tupo nyuma katika maendeleo hasa yale ya kiteknolojia, kila uvumbuzi basi ni wao kuanzia Steam Engines, Umeme, Computers hadi leo tupo kwenye Artifial Intelligence (Akili bandia) yote ni wao tu. Ila sisi hata leo wakisema watuachie au hawataki baadhi ya madini yetu inawezekana tukashindwa kujua tuyafanyie nini, tukabaki tunaangaliana tu.(Usicheke ndio ukweli huo). Tulicheka kwenye zile story za kuwa walikua wanatumia kuchezea bao...lakini hata sisi bado tuna safari ndefu japo thamani yake tunaijua.

Basi majibu yalikua ni mengi, mengine ni ya kuchekesha, wengine walitoa majibu mepesi sana katika hili swali gumu. Confidently, wakasema, upande wa teknolojia wenzetu(whites) inatengenezwa viumbe vya ajabu kutoka sayari nyingine, wakitaja Aliens, Reptiles e.t.c. Hivyo basi hao wanaamini matumizi yetu ya akili ni sawa, ila tu wenzetu wametuzidi sababu wanamiliki hivi viumbe vinavyo wasaidia kuvumbua na kuendeleza teknolojia kwako. ? Theories kama hizi hazina mchango wowote kwetu. Kwanini hivyo viumbe na sisi tumeshindwa kuvikamata kuendeleza teknolojia huku Africa? Umeona? Bado kuna sehemu tumezidiwa na hawa jamaa.

Wengine wakafika mbali wakasema Utumwa, Ukoloni, ukoloni mambo leo. Ni kweli unaweza kukubaliana nao, lakini ni mataifa mengi sana yametawaliwa( Siungi mkono huu upuuzi) ila lakini kitendo cha kuendelea kutawaliwa hadi sasa ni wazi kuna sehemu ambapo tayari tumezidiwa.
Lakini, ukiangalia kwa umakini unaona hayo mengi yaliyofanyika kwa wenzetu hayajatokea tu? bali ni zao la matumizi sahihi ya akili zao. Tukubali tukatae hawa jamaa linapokua swala la matumizi ya akili wapo mbali sana. Tunaweza changua kupingana na ukweli huu, lakini matokeo ya matumizi ya akili tunayaona upande wao, tofauti na sisi. Sipo hapa kukufuru, au kutusi sisi Waafrika(Blacks) kuwa sisi ni wajinga, Hapana. Kuna sababu nyingi zinaweza kuwa zimechangia kuwa na uwezo huu tulio nao, kuanzia kipindi cha evolution au mazingira yetu, lakini kuutambua ukweli ndiyo njia pekee inaweza kutusaidia kujua wapi tunaweza kuanzia.

Unaweza chukulia poa, nguvu ya akili, lakini kitendo cha (Homo Sapiens-Wise man)-Binadamu kuwa kiumbe chenye akili kimefanya tuweze kuitawala dunia. , Viumbe kama Simba, Tembo, Papa n.k pamoja kuwa ni viumbe hatari na vyenye nguvu lakini bado vinaishi chini ya matakwa yetu, tukiamua kuviangamiza vyote basi ni suala la muda tu.
Hii kusema jinsi unavyokuwa na akili basi ndio unazidi kuwa mwenye nguvu ya ku-control dunia. (Suala la pesa hapa ni product ya matumizi sahihi ya akili). Ndio maana waliweza kuanzisha biashara ya utumwa, walianzisha ukoloni hadi leo tumefunikwa kwenye ukoloni mamboleo.

KWANINI KUNA TOFAUTI KIAKILI WAO NA SISI.

Tafiti nyingi zimefanyika na kuhitimisha kuwa Intelligence (akili) ni zao la kimaumbile (ki-jinetiki(genetics) na mazingira (environment). Hapa namaanisha, sababu za kijinetiki na zile za ki-mazingira zina mchango mkubwa katika ustawi wa akili ya binadamu.


Angalizo, hiki ninachoenda kugusia katika hii part, kimeandikwa lengo kujifunza tu, haina lengo lolote la ubaguzi wala kushusha au kukuza thamani ya jamii yeyote ile. Maana majadiliano kama haya mara nyingi ni rahisi kuangukia kwenye ugomvi, kuliko kupata njia saa hii ya kupunguza hili gape. Na expert wengi (Racist scientist) wamejikuta sehemu mbaya baada ya kutoa tafiti zao katika hili jambo.

Basi tuanze kwenye ngazi ya chini kabisa, hujawahi ona au kusikia familia fulani watu wake wanaakili sana(Vice versa)? Hujawahi kutana na jamii fulani, ya kanda fulani katika nchi yetu wana akili sana?

Kama ubongo na mind zetu zipo sawa, kwanini akili zetu ziwe tofauti? Basi sababu za kimazingira na zile za kijinetiki zinachangia kuleta utofauti huo.

I. Sasa turudi kwenye mada yetu, tafiti nyingi zimefanyika kuonesha kuwa kijinetiki , Africans(Blacks) and whites tupo tofauti, hii kusema issue ya race sio social difference pekee ila inahusha genetics pia. (Lakini hizi tafiti zinazuiwa au kupingwa sababu zinatafsirika ni zenye element za ubaguzi, ndio maana race mara nyingi inatafsiriwa kama ni tofauti ya kijamii(Social difference), lakini tafiti nyingi zimethibitisha ni zaidi ya hapo.

Kupata majibu ya mada hii, majiribio mengi yamefanyika kujua kwanini kuna tofauti hii katika race? Walijaribu kwenda mbali kwa kuwapa mazingira ya pamoja kati ya hizi race mbili lakini bado performance ya Whites ilikua juu zaidi ya blacks.

Kufipisha thread, mengi yalifanyika mwisho wakagundua kuwa sio sababu za mazingira pekee zinachangia tofauti hizi bali issue ya genetics, inheritence zinachangia pia.

II. Mazingira: Katika mazingira basi hapa nazungumzia physical environment and social environment; kuanzia chakula, matatizo katika jamii, malezi, elimu, magonjwa, watu wanaotuzunguka na kadhirika. Hii pia ina mchango mkubwa sana katika akili zetu. Na hapa ukiangalia tu kwa jicho la kawaida unaona mazingira yetu na yao ni tofauti. Sina haja ya kuzungumza sana, maana naamini hili jambo lipo katika utashi wa kila mtu.
Mazingira ni kitu cha msingi sana katika ustawi wa akili zetu, ukizungukwa na watu wenye uwezo fulani(Mentality) usitegemee sana utakua tofauti sana, "We are social being, adaptable by nature, tend to go with flow". Hivyo basi mazingira yanaweza kukujenda au kukubomoa kabisa.

Habari njema, kuonesha tofauti ya ki-akili kwa sababu tajwa hapo juu haimanishi sisi ndio basi tena. Hapana kuna namna nyingi ya ku-improve uwezo wetu wa akili, kuna mengi yanaweza fanyika na sisi tukawa bora sio lazima iwe zaidi yao, ila tukapiga hatua kutoka hapa tulipo. (Nitazieleza katika uzi ujao).

Lakini pia, Kuna baadhi ya mambo mengi yanaweza fanyika bila kuhitaji upeo mkubwa wa akili (Cognitive abilities) bali ni tabia zinazoendana na akili tu(Intelligence-related traits) kama vile Curiosity(Udadisi), Motivation(Hamu/motisha), discipline(nidhamu), Courage e.t.c . ambazo zimechangia sana kutengeneza gap tunaloliona sasa.

Curiosity(huitaji kuwa Elon Musk kuwa na njaa ya kutaka kujifunza au ku-question vitu fulani), baadhi ya vitu vinahitaji tu motivation kufanya. Mengine ni discipline (nidhamu) katika kufanya kazi au malengo fulani haihitaji uwe na ngozi nyeupe au genius . Mambo mengine yanahitaji kujifunza kawaida tu e.t.c(Nitakuja na uzi kuhusu hii part pia).
N.B. Mambo ambayo hayana mchango kwetu.
  1. Denial(Kukataa), njia rahisi kuondoa tatizo ni kulikataa au kulikimbia, lakini kukataa kama kuna utofauti kati yetu na wao kwa maneno lakini matokeo yanaonesha tofauti, haitakuwa mchango wowote katika kutambua matatizo yetu.
  2. Blaming game: kutupiana mizigo: Kulaumu wazazi au kutupia mzigo kwenye mfumo wa elimu, kisha unalala. Ni kweli mfumo wa elimu una mapungufu sana, lakini hakuna nchi duniani isiyolalamikia mfumo wa elimu hata nchi inayoaminika kuwa na mfumo bora wa elimu kama Finland bado kuna vilio. In short, formal education pekee haiwezi kumaliza changamoto hii . Japo assumption ni " one size fits all.”“education provided tends to be “one size fits none".


Ombi langu, unaweza kutusi, kukashifu huu uzi sababu ya kuhisi upo ku-attack jamii fulani, lakini mambo kama hayo hayawezi kutusaidia chochote. Ni bora kama kuna mahali utahisi kuna haja ya kutoa ufafanuzi au maelezo zaidi, utaweka wazi, Nitakua kwenye comment kuelezea kwa kina.
Ngoja nimalize kutapika. Too generalised and bogus so to speak. Mpyfuuuuuu
 
Elimu yote unayoiona. Kuanzia afya, chemistry, mashairi, sayansi ya anga, maigizo, majini nk, yote ambayo inatumika kuwapima watu uwezo wao wa akili ilianzia Afrika kwa mtu mweusi. Walivyo leo watu weusi ni fortunes tu zinakuja kuja na kupotea.
 
Black ni more intelligent than white why?

Sababu karibia ustaarabu wote umetoka afrika, technologia zote kubwa chanzo ni afrika kuanzia matibabu, hesabu, ujenzi, vita, Anga+unajimu, hata sasa ni vingi tu vinagunduliwa na mtu mweusi lkn havipati airtime kwa sababu maalumu waliyoitarget wao, na hata vumbuzi ikipata airtime basi wanaicopy kisiri na kusema ilishakuwepo au ni wao walio igundua.

Chanzo cha maisha dunian ni mtu mweusi bahati mbaya historia shuleni imetupotosha na mpaka dini zimedanganya.

Jamii ya watu weusi ilikuwepo dunian kwa miaka mingi mpaka pale watu weusi walipo danganyika kwa kuzaa na Viumbe wasio wakazi wa dunia ndipo ukaibuka uzao chotara wa watu weupe ambao nao waliunda jamii zao na falme zao.

Baada ya miaka mingi jamii hizo za watu weupe ambazo ziliishi mbali na ardhi ya mtu mweusi sababu ya usalama wao, zilianza kurudi afrika uku zikikuta maendeleo ambayo kwao hamna.

Na ujue kipindi hiko mtu mweusi alithaminika kama Mungu wa duniani maana ndiye baba wa races zote na kiumbe wa asili hivyo aliabudiwa na watu weupe(tafta historia utajua).

Baada ya falme za watu weupe kupata nguvu walianza kurud afrika kiushawishi kibiashara, wengine kufuata social services kama matibabu, ndipo ubaya ulipoanzia hapa, kama kawaida ukarimu wa mtu mweusi ulimponza kwa kuanza kuvujisha siri za maisha yake ya asili na Nguvu za kiroho,

Baada ya watu weupe kujua nguvu ya mweusi ipo vipi basi walifanya njama za kuubomoa ama kuharibu kabisa uzao wa watu weusi, njia walizotumia ni

1) kuleta uzao mpya wa machotara wa watu weupe ambao ungepunguza ama kuondoa idadi ya watu weusi how? Kupitia muingiliano wa watu weupe afrika, kuanzishwa kwa mataifa ya watu weupe afrika,

2)vita vya kila wakati, hii sababu ndio iliyo dhoofisha falme nyingi za afrika kuanguka kama vile falme ya Misri ya kale, falme ya Africa ya kati, falme ya Africa kusini,

3)kumtenganisha mtu mweusi na asili yake ya kiroho kupitia dini za uongo, hapa ndipo walipomuweza mtu mweusi kumtawala kiakili, kiroho mpaka kimwili kwa kumfanya ajione dhaifu na mnyonge yaani aamini Dunia inaongozwa na kiumbe aitwae Mungu, Mungu ambaye kaletwa na watu weupe, Mungu ambaye alishusha mitume na manabii kwa jamii special tu za watu weupe, Mungu ambaye hana nguvu za kujibu maombi mpaka umpe rushwa ya sadaka na matoleo mbalimbali, Mungu ambaye hasikii maombi mpaka uombe kwa lugha fulan ya watu weupe, Mungu ambaye anataka umuabudu siku fulan pia anakulazimisha umuabudu ilihali kakupa free willing na anashida ya wewe kumuabudu japokuwa ana Viumbe wengi huko mbinguni.

Walitupa Mungu ambaye ili umjue ni lazima ukatae baadhi ya asili zako kama majina ya ukoo na taratibu fulani za maisha, Mungu ambaye ili umjue lazima uamini kitabu fulani, Huyu ni Mungu waliyemuunda hao watu weupe wakishirikiana na baba zao wa kiroho(fallen angeles/aliens/mashetan) kuunda dini na kumletea muafrika kwa kumuaminisha mila zake ni upagani, hapa ndipo uovu ulipoanzia.

Unatakiwa kujua Hizo muvi wanazowaonesha haswa Hollywood sometime zina reflect maisha ya kwel japo kuna code mtu asiyefuatilia historia hawezi kujua, Afrika ilikuwa tajiri kwa kila jambo, afrika haijaanza kuvamiwa juzi kama tunavyodanganywa na historia madarasan kuwa wakolon walitutawala kuanzia karne ya 14, bali kwa maelfu ya miaka nyuma walikuwa wakijaribu kuitawala Africa na kufanikiwa kwao kuiweka afrika chini yao ndio hiyo miaka ya juzi ambapo Baada ya kutumia Siraha ya DINI ndipo walifanikiwa, why? Sababu walimtenganisha mtu mweusi na nguvu za kiroho ambapo watu weusi walizitumia kuwasiliana na Viumbe vyenye nguvu vilitoa nguvu+ maarifa ya jambo lolote na viumbe hivyo wao wanaviita malaika,

Mpaka sasa hatuna connection na Nguvu hizo za kiroho wala mawasiliano na viumbe hivyo kwakua tumeukana UTU wetu na kudandia Ubinadamu na utandawazi wa kijinga, Tumemkataa Muumba wa kweli na kuikumbatia mizimu ya watu weupe waliyotuaminisha , inaitwa Miungu kumbe kisiri ni mashetani.

Wazungu wajanja wanajua tu kama mkijua kuwa Ninyi watu weusi ndio Uzao wa asili basi mtawadharau wao,

wanajuwa mkijua ninyi mmeumbwa kwa UKUU na nguvu sawa na viumbe wa kiroho yaani ninyi ni ukoo mmoja na Viumbe wa kiroho(malaika) hivyo mtawatesa na kulipiza visasi kwao maana mtajua siri za kutumia nguvu zenu,

wazungu sio wajinga kusema mtu wa mwanzo katokana na nyani hiyo ililenga kutusahaulisha asili yetu ya Ukuu kuwa sisi ni Miungu duniani.

Mzungu si mjinga eti akwambie ukweli kuwa Malaika wote ni jamii ya watu weusi na mtu mweusi ndiye mzawa wa mwisho katika kundi la malaika, huku mtu mweupe akiwa kama Mvamizi dunian aliyezaliwa kwa bahati mbaya baada ya Mashetan kuzaa na mtu mweus ndipo ukaibuka uzao wa laana uliokosa Asili ya UUNGU yaani DNA na Melanini inayokupa nguvu na rangi nyeusi.

Mzungu sio mjinga akwambie kuwa biblia na Quran ni vitabu feki vilivyoundwa kwa kucopy maisha ya waafrika maelfu ya miaka iliyopita.

Mzungu sio mjinga akwambie Sanduku la Agano Lipo afrika ndiomaana wanarudi kwa visingizio vya utalii+uwekezaji wa madini na ardhi kumbe wanatafuta Mabaki ya nakala za kiimani ya watu weusi au Sanduku la Agano mlilodanganywa na biblia lipo huko Israel ya uongo.

Mzungu si mjinga akuoneshe ramani ya dunia ya uongo kwa kupunguza ukubwa wa Afrika na kuonesha ASIA kubwa zaidi.

Mzungu si mjinga kutuaminisha kuhusu umbo la dunia ni duara na hakuna ajuaye nini kipo huko atrantica(Round ice wall).

Mzungu si mjinga kumuweka hapo muarabu aikalie misri huku akipretend ni nchi yake na kumuweka myahudi pale middle east(kiimani kamuweka kusapoti kuwa israel ilishakuwepo kabla na ndio taifa lililowekwa utumwan misri kipindi cha musa, hivyo palestina ni ardhi yao).

Mtu mweusi ataendelea kuonekana kiumbe dhaifu, mjinga, mpumbavu na hana akili mpaka pale atakapotambua thamani yake

Niishie hapo nisiwachanganye.
 
Bahati nzuri ni kuwa kizazi chetu kimeondokana na hiyo laana ya kukosa maarifa, sasa watu wanaamka mpaka kuanza kuhoji undani wa dini na uhalali wa haya maisha ni hatua kubwa sana tofauti na baba na babu zetu waliotuonya na kutuaminisha kuwa kuhoji sana ni dhambi au kutuaminisha sisi hatuna akili kama watu weupe, huu uoga wa kijinga unazidi kuisha siku baada ya siku.

Cha kuhofia zaidi hao mabwana watu weupe wanahofia sana kizazi kijacho haswa afrika kitakuja kuutawala ulimwengu huu tena, maana kipindi hiko wazungu wengi watapungua idadi pia watakuwa dhaifu, pili mtu mweusi anasambaa dunia nzima hivyo atasambaza ushawishi na uzao wake, ni lazima aitawale tu dunia japo si rahisi lkn lazima itokee tuombee uzima ni suala la muda hata ipite miaka mingapi hili jambo lazima litimie.

Hawa wapumbavu kwa kujua haya na hawawezi kuzuia bali wanaweza kuchelewesha kwa kutupunguza kasi ya kuzaliana kupitia hayo maupuuzi ya chanjo, madawa feki mahospitalini, uzazi wa mpango usio wa asili(madawa), vita na mifarakano ya kidini, kikabila, michezo ya kutuweka bize mfano mpira na muziki, bila kusahau dini, haya mambo ndio target kuu ya kuchelewesha sisi kuurudia Utawala wetu.

Ni ngumu kutokea lkn kizazi kijacho lazima kitaamka kiakili+kiroho hivyo Lazima utajiri wa Afrika utarejea.

Tumieni vizuri mitandao mtayajua mambo ambayo huko mashulen na ktk dini zenu hamtoyapata mambo haya(huu ni ulimwengu wa uwazi sasa kuna urahisi wa kupata habari nyeti)
 
Elimu yote unayoiona. Kuanzia afya, chemistry, mashairi, sayansi ya anga, maigizo, majini nk, yote ambayo inatumika kuwapima watu uwezo wao wa akili ilianzia Afrika kwa mtu mweusi. Walivyo leo watu weusi ni fortunes tu zinakuja kuja na kupotea.
Kasome uache kuhifadhi na kuthamini ujinga. Ungejua hao unaowasifia wamekopi kutoka Misri, mesopotamia, Uchina na kwingineko wala ungefunga domo lako mwanangu tena kwa aibu kama una muda na uwezo basi soma hii kitu
Abu-Lughod, J. L. (1991). Before European hegemony: the world system AD 1250-1350. Oxford University Press, USA.
 
Naamini wote ni wazima wa afya, ila kama kuna mtu yeyote mwenye changamoto basi Mwenyezi Mungu/Allah amfanyie wepesi.

Nimekuwa mdau wa Jamii Intelligence kwa muda sasa, Na hakika ukiwa serious na hili jukwaa utatoka na elimu (madini) sana, kuanzia maarifa ya kiroho hadi yale ya kimwili.

Lakini katika nyuzi ninazozipenda, basi ni zile zenye lengo la question physical world than spiritual world. Sipingi mawazo yao(Kutopinga haimaanishi nakubaliana nao) mfano ile battle ya Mungu yupo vs hayupo na uumbaji wa dunia..Mnao sadiki Big bang theory na hizo theories nyingine, Mnaweza kuwa sawa lakini vipi kama ndio njia ambayo Mungu aliitumia kuumba Ulimwengu? Binafsi, nikiiangalia hii dunia jinsi vitu vinavyopangiliwa, vinavyotegemeana , mfano mdogo tu angalia mchakato mzima reproduction from Penis to vagina, Sperm to egg hadi mtoto anazaliwa unaweza kubaliana na mimi huu mfumo haujatokea tu bali umeumbwa na kitu chenye akili kubwa sana (Superintelligence Being) kama utaita Mungu au Jina lolote utakalotaka. Ila mimi naamini hiki kitu kipo. Tuachana na hayo hii sio mada ya leo.

Basi, katika kuendelea kuperuzi nikakutana na thread inayotusikitikia Waafrika (blacks) kwanini sisi tu ndio tupo nyuma katika maendeleo hasa yale ya kiteknolojia, kila uvumbuzi basi ni wao kuanzia Steam Engines, Umeme, Computers hadi leo tupo kwenye Artifial Intelligence (Akili bandia) yote ni wao tu. Ila sisi hata leo wakisema watuachie au hawataki baadhi ya madini yetu inawezekana tukashindwa kujua tuyafanyie nini, tukabaki tunaangaliana tu.(Usicheke ndio ukweli huo). Tulicheka kwenye zile story za kuwa walikua wanatumia kuchezea bao...lakini hata sisi bado tuna safari ndefu japo thamani yake tunaijua.

Basi majibu yalikua ni mengi, mengine ni ya kuchekesha, wengine walitoa majibu mepesi sana katika hili swali gumu. Confidently, wakasema, upande wa teknolojia wenzetu(whites) inatengenezwa viumbe vya ajabu kutoka sayari nyingine, wakitaja Aliens, Reptiles e.t.c. Hivyo basi hao wanaamini matumizi yetu ya akili ni sawa, ila tu wenzetu wametuzidi sababu wanamiliki hivi viumbe vinavyo wasaidia kuvumbua na kuendeleza teknolojia kwako. ? Theories kama hizi hazina mchango wowote kwetu. Kwanini hivyo viumbe na sisi tumeshindwa kuvikamata kuendeleza teknolojia huku Africa? Umeona? Bado kuna sehemu tumezidiwa na hawa jamaa.

Wengine wakafika mbali wakasema Utumwa, Ukoloni, ukoloni mambo leo. Ni kweli unaweza kukubaliana nao, lakini ni mataifa mengi sana yametawaliwa( Siungi mkono huu upuuzi) ila lakini kitendo cha kuendelea kutawaliwa hadi sasa ni wazi kuna sehemu ambapo tayari tumezidiwa.
Lakini, ukiangalia kwa umakini unaona hayo mengi yaliyofanyika kwa wenzetu hayajatokea tu? bali ni zao la matumizi sahihi ya akili zao. Tukubali tukatae hawa jamaa linapokua swala la matumizi ya akili wapo mbali sana. Tunaweza changua kupingana na ukweli huu, lakini matokeo ya matumizi ya akili tunayaona upande wao, tofauti na sisi. Sipo hapa kukufuru, au kutusi sisi Waafrika(Blacks) kuwa sisi ni wajinga, Hapana. Kuna sababu nyingi zinaweza kuwa zimechangia kuwa na uwezo huu tulio nao, kuanzia kipindi cha evolution au mazingira yetu, lakini kuutambua ukweli ndiyo njia pekee inaweza kutusaidia kujua wapi tunaweza kuanzia.

Unaweza chukulia poa, nguvu ya akili, lakini kitendo cha (Homo Sapiens-Wise man)-Binadamu kuwa kiumbe chenye akili kimefanya tuweze kuitawala dunia. , Viumbe kama Simba, Tembo, Papa n.k pamoja kuwa ni viumbe hatari na vyenye nguvu lakini bado vinaishi chini ya matakwa yetu, tukiamua kuviangamiza vyote basi ni suala la muda tu.
Hii kusema jinsi unavyokuwa na akili basi ndio unazidi kuwa mwenye nguvu ya ku-control dunia. (Suala la pesa hapa ni product ya matumizi sahihi ya akili). Ndio maana waliweza kuanzisha biashara ya utumwa, walianzisha ukoloni hadi leo tumefunikwa kwenye ukoloni mamboleo.

KWANINI KUNA TOFAUTI KIAKILI WAO NA SISI.

Tafiti nyingi zimefanyika na kuhitimisha kuwa Intelligence (akili) ni zao la kimaumbile (ki-jinetiki(genetics) na mazingira (environment). Hapa namaanisha, sababu za kijinetiki na zile za ki-mazingira zina mchango mkubwa katika ustawi wa akili ya binadamu.


Angalizo, hiki ninachoenda kugusia katika hii part, kimeandikwa lengo kujifunza tu, haina lengo lolote la ubaguzi wala kushusha au kukuza thamani ya jamii yeyote ile. Maana majadiliano kama haya mara nyingi ni rahisi kuangukia kwenye ugomvi, kuliko kupata njia saa hii ya kupunguza hili gape. Na expert wengi (Racist scientist) wamejikuta sehemu mbaya baada ya kutoa tafiti zao katika hili jambo.

Basi tuanze kwenye ngazi ya chini kabisa, hujawahi ona au kusikia familia fulani watu wake wanaakili sana(Vice versa)? Hujawahi kutana na jamii fulani, ya kanda fulani katika nchi yetu wana akili sana?

Kama ubongo na mind zetu zipo sawa, kwanini akili zetu ziwe tofauti? Basi sababu za kimazingira na zile za kijinetiki zinachangia kuleta utofauti huo.

I. Sasa turudi kwenye mada yetu, tafiti nyingi zimefanyika kuonesha kuwa kijinetiki , Africans(Blacks) and whites tupo tofauti, hii kusema issue ya race sio social difference pekee ila inahusha genetics pia. (Lakini hizi tafiti zinazuiwa au kupingwa sababu zinatafsirika ni zenye element za ubaguzi, ndio maana race mara nyingi inatafsiriwa kama ni tofauti ya kijamii(Social difference), lakini tafiti nyingi zimethibitisha ni zaidi ya hapo.

Kupata majibu ya mada hii, majiribio mengi yamefanyika kujua kwanini kuna tofauti hii katika race? Walijaribu kwenda mbali kwa kuwapa mazingira ya pamoja kati ya hizi race mbili lakini bado performance ya Whites ilikua juu zaidi ya blacks.

Kufipisha thread, mengi yalifanyika mwisho wakagundua kuwa sio sababu za mazingira pekee zinachangia tofauti hizi bali issue ya genetics, inheritence zinachangia pia.

II. Mazingira: Katika mazingira basi hapa nazungumzia physical environment and social environment; kuanzia chakula, matatizo katika jamii, malezi, elimu, magonjwa, watu wanaotuzunguka na kadhirika. Hii pia ina mchango mkubwa sana katika akili zetu. Na hapa ukiangalia tu kwa jicho la kawaida unaona mazingira yetu na yao ni tofauti. Sina haja ya kuzungumza sana, maana naamini hili jambo lipo katika utashi wa kila mtu.
Mazingira ni kitu cha msingi sana katika ustawi wa akili zetu, ukizungukwa na watu wenye uwezo fulani(Mentality) usitegemee sana utakua tofauti sana, "We are social being, adaptable by nature, tend to go with flow". Hivyo basi mazingira yanaweza kukujenda au kukubomoa kabisa.

Habari njema, kuonesha tofauti ya ki-akili kwa sababu tajwa hapo juu haimanishi sisi ndio basi tena. Hapana kuna namna nyingi ya ku-improve uwezo wetu wa akili, kuna mengi yanaweza fanyika na sisi tukawa bora sio lazima iwe zaidi yao, ila tukapiga hatua kutoka hapa tulipo. (Nitazieleza katika uzi ujao).

Lakini pia, Kuna baadhi ya mambo mengi yanaweza fanyika bila kuhitaji upeo mkubwa wa akili (Cognitive abilities) bali ni tabia zinazoendana na akili tu(Intelligence-related traits) kama vile Curiosity(Udadisi), Motivation(Hamu/motisha), discipline(nidhamu), Courage e.t.c . ambazo zimechangia sana kutengeneza gap tunaloliona sasa.

Curiosity(huitaji kuwa Elon Musk kuwa na njaa ya kutaka kujifunza au ku-question vitu fulani), baadhi ya vitu vinahitaji tu motivation kufanya. Mengine ni discipline (nidhamu) katika kufanya kazi au malengo fulani haihitaji uwe na ngozi nyeupe au genius . Mambo mengine yanahitaji kujifunza kawaida tu e.t.c(Nitakuja na uzi kuhusu hii part pia).
N.B. Mambo ambayo hayana mchango kwetu.
  1. Denial(Kukataa), njia rahisi kuondoa tatizo ni kulikataa au kulikimbia, lakini kukataa kama kuna utofauti kati yetu na wao kwa maneno lakini matokeo yanaonesha tofauti, haitakuwa mchango wowote katika kutambua matatizo yetu.
  2. Blaming game: kutupiana mizigo: Kulaumu wazazi au kutupia mzigo kwenye mfumo wa elimu, kisha unalala. Ni kweli mfumo wa elimu una mapungufu sana, lakini hakuna nchi duniani isiyolalamikia mfumo wa elimu hata nchi inayoaminika kuwa na mfumo bora wa elimu kama Finland bado kuna vilio. In short, formal education pekee haiwezi kumaliza changamoto hii . Japo assumption ni " one size fits all.”“education provided tends to be “one size fits none".


Ombi langu, unaweza kutusi, kukashifu huu uzi sababu ya kuhisi upo ku-attack jamii fulani, lakini mambo kama hayo hayawezi kutusaidia chochote. Ni bora kama kuna mahali utahisi kuna haja ya kutoa ufafanuzi au maelezo zaidi, utaweka wazi, Nitakua kwenye comment kuelezea kwa kina.
Kitu ambacho mzungu kafanikiwa sana ni kufanya documentations ya tafiti,maarifa na vumbuzi ,kuintegrate hivyo vitu kwenye mifumo ya elimu ili watu wajifunze

Pre colonial Africa,ilikuwa jamii ya watu Wababe ,kuchapana vita ,na maarifa hasa ya kufua vyuma ,hayakuwa open kwa kila mtu,ilikuwa family secret,(uchoyo) na njia ya mtu kujua huo ujuzi ilikuwa kwa kufundishww secretly kwenye premise za familia,(a family guarded knolwedge) in ku Exercise dominance na ku-accumulate wealth

Elimu haikuwa open,ilikuwa kitu cha kufichwa ,mixer na uchawi na ushirikina(shortcuts za maisha zinazozuia progress)

Ukosefu wa uwezo wa kuandika ulifanya AFrica kuwa stagnant
Maana ukitoa Egypt,Ethiopia na Nigeria kwa uchache (nigeria walikuwa na pictorial maandishi wanaita NSIBIDI) hakukuwa na jamii zingine zilizoweza kuandika ,kabla ya mwarabu kuleta maandishi West Africa
 
Kitu ambacho mzungu kafanikiwa sana ni kufanya documentations ya tafiti,maarifa na vumbuzi ,kuintegrate hivyo vitu kwenye mifumo ya elimu ili watu wajifunze

Pre colonial Africa,ilikuwa jamii ya watu Wababe ,kuchapana vita ,na maarifa hasa ya kufua vyuma ,hayakuwa open kwa kila mtu,ilikuwa family secret,(uchoyo) na njia ya mtu kujua huo ujuzi ilikuwa kwa kufundishww secretly kwenye premise za familia,(a family guarded knolwedge) in ku Exercise dominance na ku-accumulate wealth

Elimu haikuwa open,ilikuwa kitu cha kufichwa ,mixer na uchawi na ushirikina(shortcuts za maisha zinazozuia progress)

Ukosefu wa uwezo wa kuandika ulifanya AFrica kuwa stagnant
Maana ukitoa Egypt,Ethiopia na Nigeria kwa uchache (nigeria walikuwa na pictorial maandishi wanaita NSIBIDI) hakukuwa na jamii zingine zilizoweza kuandika ,kabla ya mwarabu kuleta maandishi West Africa
Tulidanganywa tukapoteza sayansi na tech zetu. Nchi nyingi za Afrika zilikuwa na maandishi yake kabla ya kuitwa ya kishenzi baada ya kuletwa ushenzi uitwao dini
 
Kasome uache kuhifadhi na kuthamini ujinga. Ungejua hao unaowasifia wamekopi kutoka Misri, mesopotamia, Uchina na kwingineko wala ungefunga domo lako mwanangu tena kwa aibu kama una muda na uwezo basi soma hii kitu
Abu-Lughod, J. L. (1991). Before European hegemony: the world system AD 1250-1350. Oxford University Press, USA.
Acha kukurupuka.
 
Black ni more intelligent than white why?

Sababu karibia ustaarabu wote umetoka afrika, technologia zote kubwa chanzo ni afrika kuanzia matibabu, hesabu, ujenzi, vita, Anga+unajimu, hata sasa ni vingi tu vinagunduliwa na mtu mweusi lkn havipati airtime kwa sababu maalumu waliyoitarget wao, na hata vumbuzi ikipata airtime basi wanaicopy kisiri na kusema ilishakuwepo au ni wao walio igundua.

Chanzo cha maisha dunian ni mtu mweusi bahati mbaya historia shuleni imetupotosha na mpaka dini zimedanganya.

Jamii ya watu weusi ilikuwepo dunian kwa miaka mingi mpaka pale watu weusi walipo danganyika kwa kuzaa na Viumbe wasio wakazi wa dunia ndipo ukaibuka uzao chotara wa watu weupe ambao nao waliunda jamii zao na falme zao.

Baada ya miaka mingi jamii hizo za watu weupe ambazo ziliishi mbali na ardhi ya mtu mweusi sababu ya usalama wao, zilianza kurudi afrika uku zikikuta maendeleo ambayo kwao hamna.

Na ujue kipindi hiko mtu mweusi alithaminika kama Mungu wa duniani maana ndiye baba wa races zote na kiumbe wa asili hivyo aliabudiwa na watu weupe(tafta historia utajua).

Baada ya falme za watu weupe kupata nguvu walianza kurud afrika kiushawishi kibiashara, wengine kufuata social services kama matibabu, ndipo ubaya ulipoanzia hapa, kama kawaida ukarimu wa mtu mweusi ulimponza kwa kuanza kuvujisha siri za maisha yake ya asili na Nguvu za kiroho,

Baada ya watu weupe kujua nguvu ya mweusi ipo vipi basi walifanya njama za kuubomoa ama kuharibu kabisa uzao wa watu weusi, njia walizotumia ni

1) kuleta uzao mpya wa machotara wa watu weupe ambao ungepunguza ama kuondoa idadi ya watu weusi how? Kupitia muingiliano wa watu weupe afrika, kuanzishwa kwa mataifa ya watu weupe afrika,

2)vita vya kila wakati, hii sababu ndio iliyo dhoofisha falme nyingi za afrika kuanguka kama vile falme ya Misri ya kale, falme ya Africa ya kati, falme ya Africa kusini,

3)kumtenganisha mtu mweusi na asili yake ya kiroho kupitia dini za uongo, hapa ndipo walipomuweza mtu mweusi kumtawala kiakili, kiroho mpaka kimwili kwa kumfanya ajione dhaifu na mnyonge yaani aamini Dunia inaongozwa na kiumbe aitwae Mungu, Mungu ambaye kaletwa na watu weupe, Mungu ambaye alishusha mitume na manabii kwa jamii special tu za watu weupe, Mungu ambaye hana nguvu za kujibu maombi mpaka umpe rushwa ya sadaka na matoleo mbalimbali, Mungu ambaye hasikii maombi mpaka uombe kwa lugha fulan ya watu weupe, Mungu ambaye anataka umuabudu siku fulan pia anakulazimisha umuabudu ilihali kakupa free willing na anashida ya wewe kumuabudu japokuwa ana Viumbe wengi huko mbinguni.

Walitupa Mungu ambaye ili umjue ni lazima ukatae baadhi ya asili zako kama majina ya ukoo na taratibu fulani za maisha, Mungu ambaye ili umjue lazima uamini kitabu fulani, Huyu ni Mungu waliyemuunda hao watu weupe wakishirikiana na baba zao wa kiroho(fallen angeles/aliens/mashetan) kuunda dini na kumletea muafrika kwa kumuaminisha mila zake ni upagani, hapa ndipo uovu ulipoanzia.

Unatakiwa kujua Hizo muvi wanazowaonesha haswa Hollywood sometime zina reflect maisha ya kwel japo kuna code mtu asiyefuatilia historia hawezi kujua, Afrika ilikuwa tajiri kwa kila jambo, afrika haijaanza kuvamiwa juzi kama tunavyodanganywa na historia madarasan kuwa wakolon walitutawala kuanzia karne ya 14, bali kwa maelfu ya miaka nyuma walikuwa wakijaribu kuitawala Africa na kufanikiwa kwao kuiweka afrika chini yao ndio hiyo miaka ya juzi ambapo Baada ya kutumia Siraha ya DINI ndipo walifanikiwa, why? Sababu walimtenganisha mtu mweusi na nguvu za kiroho ambapo watu weusi walizitumia kuwasiliana na Viumbe vyenye nguvu vilitoa nguvu+ maarifa ya jambo lolote na viumbe hivyo wao wanaviita malaika,

Mpaka sasa hatuna connection na Nguvu hizo za kiroho wala mawasiliano na viumbe hivyo kwakua tumeukana UTU wetu na kudandia Ubinadamu na utandawazi wa kijinga, Tumemkataa Muumba wa kweli na kuikumbatia mizimu ya watu weupe waliyotuaminisha , inaitwa Miungu kumbe kisiri ni mashetani.

Wazungu wajanja wanajua tu kama mkijua kuwa Ninyi watu weusi ndio Uzao wa asili basi mtawadharau wao,

wanajuwa mkijua ninyi mmeumbwa kwa UKUU na nguvu sawa na viumbe wa kiroho yaani ninyi ni ukoo mmoja na Viumbe wa kiroho(malaika) hivyo mtawatesa na kulipiza visasi kwao maana mtajua siri za kutumia nguvu zenu,

wazungu sio wajinga kusema mtu wa mwanzo katokana na nyani hiyo ililenga kutusahaulisha asili yetu ya Ukuu kuwa sisi ni Miungu duniani.

Mzungu si mjinga eti akwambie ukweli kuwa Malaika wote ni jamii ya watu weusi na mtu mweusi ndiye mzawa wa mwisho katika kundi la malaika, huku mtu mweupe akiwa kama Mvamizi dunian aliyezaliwa kwa bahati mbaya baada ya Mashetan kuzaa na mtu mweus ndipo ukaibuka uzao wa laana uliokosa Asili ya UUNGU yaani DNA na Melanini inayokupa nguvu na rangi nyeusi.

Mzungu sio mjinga akwambie kuwa biblia na Quran ni vitabu feki vilivyoundwa kwa kucopy maisha ya waafrika maelfu ya miaka iliyopita.

Mzungu sio mjinga akwambie Sanduku la Agano Lipo afrika ndiomaana wanarudi kwa visingizio vya utalii+uwekezaji wa madini na ardhi kumbe wanatafuta Mabaki ya nakala za kiimani ya watu weusi au Sanduku la Agano mlilodanganywa na biblia lipo huko Israel ya uongo.

Mzungu si mjinga akuoneshe ramani ya dunia ya uongo kwa kupunguza ukubwa wa Afrika na kuonesha ASIA kubwa zaidi.

Mzungu si mjinga kutuaminisha kuhusu umbo la dunia ni duara na hakuna ajuaye nini kipo huko atrantica(Round ice wall).

Mzungu si mjinga kumuweka hapo muarabu aikalie misri huku akipretend ni nchi yake na kumuweka myahudi pale middle east(kiimani kamuweka kusapoti kuwa israel ilishakuwepo kabla na ndio taifa lililowekwa utumwan misri kipindi cha musa, hivyo palestina ni ardhi yao).

Mtu mweusi ataendelea kuonekana kiumbe dhaifu, mjinga, mpumbavu na hana akili mpaka pale atakapotambua thamani yake

Niishie hapo nisiwachanganye.
Safi sana Mkuu ivi Unafatiliaga Video za Zouloula 100(Mzaliwa wa pili) ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom