Godfrey Festo
New Member
- Feb 4, 2023
- 3
- 6
Habar wanazengo
Mm huwa najiuliza sisi wanadamu tunaamini katika uwepo wa Mungu na malaika zake.
Sasa Mungu aliumba kila kitu vinavyoonekana na visivyoonekana Tuurudi kwenye mada jua na dunia kipi kikubwa na kipi kinazunguka chenzake kwa upande wangu m naamini n jua ndo linazunguka dunia cuz kwenye maandiko matakatifu biblia kuna sehem yoshua alismamisha jua pamoja na mwezi (yoshua 10:13) sasa je? Kipi ni kikubwa na kipi kinazunguka mwenzie?
Nasubir wenye hoja tu….
Mm huwa najiuliza sisi wanadamu tunaamini katika uwepo wa Mungu na malaika zake.
Sasa Mungu aliumba kila kitu vinavyoonekana na visivyoonekana Tuurudi kwenye mada jua na dunia kipi kikubwa na kipi kinazunguka chenzake kwa upande wangu m naamini n jua ndo linazunguka dunia cuz kwenye maandiko matakatifu biblia kuna sehem yoshua alismamisha jua pamoja na mwezi (yoshua 10:13) sasa je? Kipi ni kikubwa na kipi kinazunguka mwenzie?
Nasubir wenye hoja tu….