Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,677
- 9,035
Nafasi au space kwa lugha nyepesi ni urefu, kina,upana,eneo au ujazo wa sehemu ambamo vitu vyote ulimwenguni vinakaa.
Muda (time) ni muendelezo wa matukio. Huu mwendelezo ni continous ukitokea matukio ya zamani(past),kupitia ya sasa(present), na kuelekea yajayo(future).
kila mtu anajua nafasi ni nini na muda ni nini lakini Eisntein alikuja kutufumbua kuwa hivi sio vitu viwili tofauti lakin ni kitu kimoja. Yani ni sura mbili za shillingi moja. Shilingi yenyewe akaiita Spacetime (Nafasi-muda)
Kwa haraka haraka inaonekana kama haimake sense,kwasababu at first hivi vitu vinaonekana kama havifanani kabisa. lakini kumbe binadamu wote subconsciously huwa tunafikiria in terms ya spacetime na wala siò kimoja kimoja. Mfano ukitaka kuweka ahadi ya kukutana na mtu lazima mpange sehemu/mahali mtakayokutania (hiyo ni Nafasi) na muda mtakaokutana (time).
Kwasababu ukiishia kumwambia mtu tutakutana ubungo, hamuwezi kukutana maana hatojua muda wa kukutana,yani lini au saangapi, Na ukimuambia tukutane kesho saa 2 asubuhi lazima atakuuliza wapi?
kwahyo ili mkutane itabidi umpe adress kamili ya Nafasi na muda.
Hivyo huwezi kuelezea kwa ukamili location ya kitu bila kuhusisha muda. Unaweza kusema Stendi ya Magufuli ipo Mbezi ukatoa na coordinates zake kwenye ramani lakini bado usipohusisha muda unakuwa haujakamilisha.
Kwakuwa miaka 10 tu iliyopita hiyo stendi haikuwa hapo na inawezekana hata miaka 100 ijayo usiwepo tena. Hivyo kuna umuhimu wa kuhusisha nafasi na Muda ili kujua position ya mada yoyote kwenye ulimwengu.
Pia vitu vyote ulimwenguni kwa namna moja au nyingine vinamove. (hata ukisimama sehemu moja, nafasi inabadilika kwakuwa dunia yenyewe inatembea, hata usipokuwa duniani,space inaexpand na ulimwengu wote unaachana, hivo unatembea) Na pia huwezi ukamove kutoka sehemu moja ya nafasi kwenda nyingine bila kutumia muda. Hata mwanga hutumia muda. ukimove nafasi kubwa kwa mda mchache tunasema una spidi kubwa na vice versa.
Kumbe sasa ukizungumzia Spidi ya kitu tayari unakuwa unaongelea spacetime (Nafasi-muda) maana speed ya kitu ni kipimo cha yale mabadiliko ya nafasi ya hiko kitu ndani ya kiasi kadhaa cha mabadiliko ya muda.
Muda na nafasi vinabadilika continously maana muda wenyewe hausimami.
Kwahyo kwenye graph ukiweka position ya kitu x,y,z unatakiwa uongeze pia axis ya muda maana muda na nafasi ni sehemu ya kitu kimoja.
Utofauti pekee wa muda na nafasi ni kuwa, kwenye nafasi unaweza ukaenda kwa direction yoyote yani mbele, nyuma, juu, chini, kushoto, kulia lakini muda siku zote unaenda mbele tu.
Mfano unatoka from Dodoma unaenda dar kwa gari.
Utasafiri kwa nafasi ya klilomita 444 na tunaweza kuichora safari yako hivi
huo mchoro wangu haujakamilika kuielezea hiyo route yako maana hiyo route sio wewe pekee unayoichukua kuna magari mengi,watu,viumbe na mada zingine nyingi tu zinazosafiri kutoka dar kwenda dodoma.
Hivyo ili tuielezee route yako pekee inabidi tuongelee pia muda.
Hapa kwenye muda sasa ndipo utaweka ulianza safari tarehe gani na muda gani na ulifika dodoma muda gani.
Tukishakuwa na picha kamili hiyo tunakuwa na uhakika hakuna Mada (matter) nyingine inayoweza kuelezewa kwa huo mchoro mmoja maana Mada mbili haziwezi kuwa sehemu moja kwa wakati mmoja
Hivyo kwenye kuelezea position ya kitu ni muhimu kelezea muda pia maana vitu vingi vinaweza kuwa kwenye position moja kwa muda tofauti.
na Muda hauwezi kuwepo kama vitu vyote vikiganda (visipobadilika nafasi) kwahyo Nafasi ndiyo huleta muda na muda ni sehemu ya nafasi.
Kwa kifupi vyote ni sehemu ya kitu kimoja, Nafasi-Muda (spacetime)
Einstein aliendelea kueleza kuwa huu muda-nafasi sio kitu kilicho constant kila sehemu lakini hubadilika kutokana na Nafasi au muda wa object.
Kwa maelezo mafupi ni kwamba urefu wa Nafasi mfano kilomita 1 sio sawa sehemu zote ulimwenguni (inamaana kuna sehemu watu wanaweza kupima 1km kumbe ni 1cm) na pia urefu wa muda si sawa ulimweguni kote (Yani kuna sehemu watu wanaweza kupima muda wa sekunde 5 kumbe huo muda uliopita ni sawa na miaka miwili kwa watu wengine)
Inawezekana.je hii? Ntaelezea siku nyingine
Muda (time) ni muendelezo wa matukio. Huu mwendelezo ni continous ukitokea matukio ya zamani(past),kupitia ya sasa(present), na kuelekea yajayo(future).
kila mtu anajua nafasi ni nini na muda ni nini lakini Eisntein alikuja kutufumbua kuwa hivi sio vitu viwili tofauti lakin ni kitu kimoja. Yani ni sura mbili za shillingi moja. Shilingi yenyewe akaiita Spacetime (Nafasi-muda)
Kwa haraka haraka inaonekana kama haimake sense,kwasababu at first hivi vitu vinaonekana kama havifanani kabisa. lakini kumbe binadamu wote subconsciously huwa tunafikiria in terms ya spacetime na wala siò kimoja kimoja. Mfano ukitaka kuweka ahadi ya kukutana na mtu lazima mpange sehemu/mahali mtakayokutania (hiyo ni Nafasi) na muda mtakaokutana (time).
Kwasababu ukiishia kumwambia mtu tutakutana ubungo, hamuwezi kukutana maana hatojua muda wa kukutana,yani lini au saangapi, Na ukimuambia tukutane kesho saa 2 asubuhi lazima atakuuliza wapi?
kwahyo ili mkutane itabidi umpe adress kamili ya Nafasi na muda.
Hivyo huwezi kuelezea kwa ukamili location ya kitu bila kuhusisha muda. Unaweza kusema Stendi ya Magufuli ipo Mbezi ukatoa na coordinates zake kwenye ramani lakini bado usipohusisha muda unakuwa haujakamilisha.
Kwakuwa miaka 10 tu iliyopita hiyo stendi haikuwa hapo na inawezekana hata miaka 100 ijayo usiwepo tena. Hivyo kuna umuhimu wa kuhusisha nafasi na Muda ili kujua position ya mada yoyote kwenye ulimwengu.
Pia vitu vyote ulimwenguni kwa namna moja au nyingine vinamove. (hata ukisimama sehemu moja, nafasi inabadilika kwakuwa dunia yenyewe inatembea, hata usipokuwa duniani,space inaexpand na ulimwengu wote unaachana, hivo unatembea) Na pia huwezi ukamove kutoka sehemu moja ya nafasi kwenda nyingine bila kutumia muda. Hata mwanga hutumia muda. ukimove nafasi kubwa kwa mda mchache tunasema una spidi kubwa na vice versa.
Kumbe sasa ukizungumzia Spidi ya kitu tayari unakuwa unaongelea spacetime (Nafasi-muda) maana speed ya kitu ni kipimo cha yale mabadiliko ya nafasi ya hiko kitu ndani ya kiasi kadhaa cha mabadiliko ya muda.
Muda na nafasi vinabadilika continously maana muda wenyewe hausimami.
Kwahyo kwenye graph ukiweka position ya kitu x,y,z unatakiwa uongeze pia axis ya muda maana muda na nafasi ni sehemu ya kitu kimoja.
Utofauti pekee wa muda na nafasi ni kuwa, kwenye nafasi unaweza ukaenda kwa direction yoyote yani mbele, nyuma, juu, chini, kushoto, kulia lakini muda siku zote unaenda mbele tu.
Mfano unatoka from Dodoma unaenda dar kwa gari.
Utasafiri kwa nafasi ya klilomita 444 na tunaweza kuichora safari yako hivi
huo mchoro wangu haujakamilika kuielezea hiyo route yako maana hiyo route sio wewe pekee unayoichukua kuna magari mengi,watu,viumbe na mada zingine nyingi tu zinazosafiri kutoka dar kwenda dodoma.
Hivyo ili tuielezee route yako pekee inabidi tuongelee pia muda.
Hapa kwenye muda sasa ndipo utaweka ulianza safari tarehe gani na muda gani na ulifika dodoma muda gani.
Tukishakuwa na picha kamili hiyo tunakuwa na uhakika hakuna Mada (matter) nyingine inayoweza kuelezewa kwa huo mchoro mmoja maana Mada mbili haziwezi kuwa sehemu moja kwa wakati mmoja
Hivyo kwenye kuelezea position ya kitu ni muhimu kelezea muda pia maana vitu vingi vinaweza kuwa kwenye position moja kwa muda tofauti.
na Muda hauwezi kuwepo kama vitu vyote vikiganda (visipobadilika nafasi) kwahyo Nafasi ndiyo huleta muda na muda ni sehemu ya nafasi.
Kwa kifupi vyote ni sehemu ya kitu kimoja, Nafasi-Muda (spacetime)
Einstein aliendelea kueleza kuwa huu muda-nafasi sio kitu kilicho constant kila sehemu lakini hubadilika kutokana na Nafasi au muda wa object.
Kwa maelezo mafupi ni kwamba urefu wa Nafasi mfano kilomita 1 sio sawa sehemu zote ulimwenguni (inamaana kuna sehemu watu wanaweza kupima 1km kumbe ni 1cm) na pia urefu wa muda si sawa ulimweguni kote (Yani kuna sehemu watu wanaweza kupima muda wa sekunde 5 kumbe huo muda uliopita ni sawa na miaka miwili kwa watu wengine)
Inawezekana.je hii? Ntaelezea siku nyingine