Undava King
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,205
- 5,333
Kila mmoja na ajiulize swali hili kwa dhati yake tokea moyoni; je ni halali kupangiwa maisha yako na kiumbe mwingine asiye wewe tokea kuzaliwa kwako mpaka kifo na kama haitoshi mpaka na adhabu pia juu ya matendo yako aamue yeye?
Kuna watu wameumbiwa shida na mateso yasiyo mithilika na taabu za kutosha tokea kuzaliwa mpaka kufa, halafu ukiuliza chanzo cha yote hayo utaambiwa ni mipango ya Mungu na mapenzi yake yahimidiwe, hivi tunaposema hivi huwa tunamaanisha kweli au tunazungumza kinafki ili mradi kumfurahisha huyu Bwana asituadhibu kwa kumwonesha ghadhabu yetu waziwazi kwa matokeo ya matendo yake.
What deadly sin did we commit to go through such pain?
Hatukukuomba kutuumba wala kutuleta duniani inasemekana ni mapenzi yako. Kwahiyo raha yako ni kututesa nakutufanya tukunyenyekee huku tukililia huruma yako, je hii inaingia akilini kweli?
To be honest, who is the one who tied us together in this fate!
Kuwa kuna matajiri na wapo masikini, wapo wenye mamlaka na wapo watumwa na kuna wenye vyote, kwani wale wanaokula raha maisha yao yote na wala hawana dhiki yeyote katika sehemu ya maisha yao wao waliwapa miungu kitu gani hata hawa fungu la kukosa wawe na uhalali wa kutaabika mpaka wayarudiapo mavumbi?
Even if we argue; the gods don't know, either fate is random, there is no reason behind it. The gods only throw the dice. They don't know who will get a one or a six.
Miungu ucheza pata potea na maisha yetu kiufupi hawana conscious ya kujua ni namna gani matendo yao yanatuumiza na wala hawana sababu ya msingi kwanini wanatutendea binadamu hivyo.
"So irresponsible!"
Only human beings attach reason and imbue meaning for their given fates.
"So sad!"
Kwa wale wote wanaotegemea matumaini na bahati njema kutoka kwa viumbe hawa nadhani wamepotoka na ni vyema kujisahihisha tena, kama ikiwa upo ulazima wa binadamu kuamuliwa hatima (destiny) na miungu wasio na uchungu nae, ambao wakishakubetia maisha ya aina fulani piga ua wewe ni wa hivyo hivyo tu hata ufanye nini, yaani hata uwatembelee viongozi wa kiroho, wabashiri, wasoma nyota au viganja, wachawi na vigagula majibu ni yaleyale, Sasa kama si ukichaa ni nini?
Ikiwa hatima yako ushaandikiwa kama ni dhiki ni dhiki na kama ni kufia dhambini ni dhambini kwanini waendelea kumlilia, kumsifu kwa mabaya yake, na kumwomba kwa unyenyekevu huku ukijua kabisa kuwa hatima yako haibadiliki na akishaamua au kusema lake huwa halibadiliki.
Mwisho wa siku," do not believe in good fortune too much you were all the culprits"
Kuna watu wameumbiwa shida na mateso yasiyo mithilika na taabu za kutosha tokea kuzaliwa mpaka kufa, halafu ukiuliza chanzo cha yote hayo utaambiwa ni mipango ya Mungu na mapenzi yake yahimidiwe, hivi tunaposema hivi huwa tunamaanisha kweli au tunazungumza kinafki ili mradi kumfurahisha huyu Bwana asituadhibu kwa kumwonesha ghadhabu yetu waziwazi kwa matokeo ya matendo yake.
What deadly sin did we commit to go through such pain?
Hatukukuomba kutuumba wala kutuleta duniani inasemekana ni mapenzi yako. Kwahiyo raha yako ni kututesa nakutufanya tukunyenyekee huku tukililia huruma yako, je hii inaingia akilini kweli?
To be honest, who is the one who tied us together in this fate!
Kuwa kuna matajiri na wapo masikini, wapo wenye mamlaka na wapo watumwa na kuna wenye vyote, kwani wale wanaokula raha maisha yao yote na wala hawana dhiki yeyote katika sehemu ya maisha yao wao waliwapa miungu kitu gani hata hawa fungu la kukosa wawe na uhalali wa kutaabika mpaka wayarudiapo mavumbi?
Even if we argue; the gods don't know, either fate is random, there is no reason behind it. The gods only throw the dice. They don't know who will get a one or a six.
Miungu ucheza pata potea na maisha yetu kiufupi hawana conscious ya kujua ni namna gani matendo yao yanatuumiza na wala hawana sababu ya msingi kwanini wanatutendea binadamu hivyo.
"So irresponsible!"
Only human beings attach reason and imbue meaning for their given fates.
"So sad!"
Kwa wale wote wanaotegemea matumaini na bahati njema kutoka kwa viumbe hawa nadhani wamepotoka na ni vyema kujisahihisha tena, kama ikiwa upo ulazima wa binadamu kuamuliwa hatima (destiny) na miungu wasio na uchungu nae, ambao wakishakubetia maisha ya aina fulani piga ua wewe ni wa hivyo hivyo tu hata ufanye nini, yaani hata uwatembelee viongozi wa kiroho, wabashiri, wasoma nyota au viganja, wachawi na vigagula majibu ni yaleyale, Sasa kama si ukichaa ni nini?
Ikiwa hatima yako ushaandikiwa kama ni dhiki ni dhiki na kama ni kufia dhambini ni dhambini kwanini waendelea kumlilia, kumsifu kwa mabaya yake, na kumwomba kwa unyenyekevu huku ukijua kabisa kuwa hatima yako haibadiliki na akishaamua au kusema lake huwa halibadiliki.
Mwisho wa siku," do not believe in good fortune too much you were all the culprits"