Je, ni halali hatima ya maisha yetu kuamuliwa na miungu?

Undava King

JF-Expert Member
Aug 11, 2017
3,205
5,333
Kila mmoja na ajiulize swali hili kwa dhati yake tokea moyoni; je ni halali kupangiwa maisha yako na kiumbe mwingine asiye wewe tokea kuzaliwa kwako mpaka kifo na kama haitoshi mpaka na adhabu pia juu ya matendo yako aamue yeye?

Kuna watu wameumbiwa shida na mateso yasiyo mithilika na taabu za kutosha tokea kuzaliwa mpaka kufa, halafu ukiuliza chanzo cha yote hayo utaambiwa ni mipango ya Mungu na mapenzi yake yahimidiwe, hivi tunaposema hivi huwa tunamaanisha kweli au tunazungumza kinafki ili mradi kumfurahisha huyu Bwana asituadhibu kwa kumwonesha ghadhabu yetu waziwazi kwa matokeo ya matendo yake.

What deadly sin did we commit to go through such pain?

Hatukukuomba kutuumba wala kutuleta duniani inasemekana ni mapenzi yako. Kwahiyo raha yako ni kututesa nakutufanya tukunyenyekee huku tukililia huruma yako, je hii inaingia akilini kweli?

To be honest, who is the one who tied us together in this fate!

Kuwa kuna matajiri na wapo masikini, wapo wenye mamlaka na wapo watumwa na kuna wenye vyote, kwani wale wanaokula raha maisha yao yote na wala hawana dhiki yeyote katika sehemu ya maisha yao wao waliwapa miungu kitu gani hata hawa fungu la kukosa wawe na uhalali wa kutaabika mpaka wayarudiapo mavumbi?

Even if we argue; the gods don't know, either fate is random, there is no reason behind it. The gods only throw the dice. They don't know who will get a one or a six.

Miungu ucheza pata potea na maisha yetu kiufupi hawana conscious ya kujua ni namna gani matendo yao yanatuumiza na wala hawana sababu ya msingi kwanini wanatutendea binadamu hivyo.

"So irresponsible!"

Only human beings attach reason and imbue meaning for their given fates.

"So sad!"

Kwa wale wote wanaotegemea matumaini na bahati njema kutoka kwa viumbe hawa nadhani wamepotoka na ni vyema kujisahihisha tena, kama ikiwa upo ulazima wa binadamu kuamuliwa hatima (destiny) na miungu wasio na uchungu nae, ambao wakishakubetia maisha ya aina fulani piga ua wewe ni wa hivyo hivyo tu hata ufanye nini, yaani hata uwatembelee viongozi wa kiroho, wabashiri, wasoma nyota au viganja, wachawi na vigagula majibu ni yaleyale, Sasa kama si ukichaa ni nini?

Ikiwa hatima yako ushaandikiwa kama ni dhiki ni dhiki na kama ni kufia dhambini ni dhambini kwanini waendelea kumlilia, kumsifu kwa mabaya yake, na kumwomba kwa unyenyekevu huku ukijua kabisa kuwa hatima yako haibadiliki na akishaamua au kusema lake huwa halibadiliki.

Mwisho wa siku," do not believe in good fortune too much you were all the culprits"
 
Nimecheka uliposema kwanini Mungu kwa mapenzi yake bila sisi kumuomba akatuumba ili atutese? Kwani tulimuomba au kumulazimisha atuumbe? 😆😂😂😂! Wee jamaa!

Look! Mungu alitoa sehemu yake ya uungu akaumba mwanadamu! "akampulizia pumzi ikawa nafsi hai" kwa ufupi sisi tulikuwapo ndani ya Mungu. Kwa waliosoma chemistry kuna theory inasema "matter can neither be created nor destroyed but it can be transformed from one form to another!

Binadamu ni pumzi ya uhai wa Mungu (immortal) kama Mungu alivyo immortal, kinachokufa ni mwili ambao ni mavumbi na kurudia ardhi! Ukifa unaendelea kuishi ama maisha mazuri au mabaya kadri utakavyochagua kwasababu una nafsi yenye utashi wa mazuri na mabaya! Roho haifi!
 
Nimecheka uliposema kwanini Mungu kwa mapenzi yake bila sisi kumuomba akatuumba ili atutese? Kwani tulimuomba au kumulazimisha atuumbe? ! Wee jamaa!
Look! Mungu alitoa sehemu yake ya uungu akaumba mwanadamu! "akampulizia pumzi ikawa nafsi hai" kwa ufupi sisi tulikuwapo ndani ya Mungu. Kwa waliosoma chemistry kuna theory inasema "matter can neither be created nor destroyed but it can be transformed from one form to another! Binadamu ni pumzi ya uhai wa Mungu (immortal) kama Mungu alivyo immortal, kinachokufa ni mwili ambao ni mavumbi na kurudia ardhi! Ukifa unaendelea kuishi ama maisha mazuri au mabaya kadri utakavyochagua kwasababu una nafsi yenye utashi wa mazuri na mabaya! Roho haifi!
Hiyo theory umeitumia vibaya mkuu. Jiulize haya maswali
What is matter?
If humans are composed of matter can we also consider God to be matter?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Hiyo theory umeitumia vibaya mkuu. Jiulize haya maswali
What is matter?
If humans are composed of matter can we also consider God to be matter?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
????.... humans are composed of matter ... ? 😆😂😂😂😆 Vitu gani unaongea?

Kitu chochote ni matter. Matter inaweza ikawa katika hali ya gasi, kimiminika, au yabisi (solid). Kaanze kidato cha kwanza mwakani ndo urudi hapa!
 
????.... humans are composed of matter ... ? Vitu gani unaongea?

Kitu chochote ni matter. Matter inaweza ikawa katika hali ya gasi, kimiminika, au yabisi (solid). Kaanze kidato cha kwanza mwakani ndo urudi hapa!
Tunasema "humans are composed of matter" kwasababu the human body is made up of various chemical elements, primarily oxygen, carbon, hydrogen, nitrogen, calcium na zingine. These elements form molecules, which in turn make up cells, tissues, and organs. Kwa maana hiyo humans are a complex arrangement of matter, and our biological functions are based on the interactions of various types of matter within our bodies.

Tatizo yawezekana knowledge yako ya matter imeishia kwenye Ile ya form one ndo maana hiyo sentensi unaona sio sahihi.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Kila mmoja na ajiulize swali hili kwa dhati yake tokea moyoni; je ni halali kupangiwa maisha yako na kiumbe mwingine asiye wewe tokea kuzaliwa kwako mpaka kifo na kama haitoshi mpaka na adhabu pia juu ya matendo yako aamue yeye?

Kuna watu wameumbiwa shida na mateso yasiyo mithilika na taabu za kutosha tokea kuzaliwa mpaka kufa, halafu ukiuliza chanzo cha yote hayo utaambiwa ni mipango ya Mungu na mapenzi yake yahimidiwe, hivi tunaposema hivi huwa tunamaanisha kweli au tunazungumza kinafki ili mradi kumfurahisha huyu Bwana asituadhibu kwa kumwonesha ghadhabu yetu waziwazi kwa matokeo ya matendo yake.

What deadly sin did we commit to go through such pain?

Hatukukuomba kutuumba wala kutuleta duniani inasemekana ni mapenzi yako. Kwahiyo raha yako ni kututesa nakutufanya tukunyenyekee huku tukililia huruma yako, je hii inaingia akilini kweli?

To be honest, who is the one who tied us together in this fate!

Kuwa kuna matajiri na wapo masikini, wapo wenye mamlaka na wapo watumwa na kuna wenye vyote, kwani wale wanaokula raha maisha yao yote na wala hawana dhiki yeyote katika sehemu ya maisha yao wao waliwapa miungu kitu gani hata hawa fungu la kukosa wawe na uhalali wa kutaabika mpaka wayarudiapo mavumbi?

Even if we argue; the gods don't know, either fate is random, there is no reason behind it. The gods only throw the dice. They don't know who will get a one or a six.

Miungu ucheza pata potea na maisha yetu kiufupi hawana conscious ya kujua ni namna gani matendo yao yanatuumiza na wala hawana sababu ya msingi kwanini wanatutendea binadamu hivyo.

"So irresponsible!"

Only human beings attach reason and imbue meaning for their given fates.

"So sad!"

Kwa wale wote wanaotegemea matumaini na bahati njema kutoka kwa viumbe hawa nadhani wamepotoka na ni vyema kujisahihisha tena, kama ikiwa upo ulazima wa binadamu kuamuliwa hatima (destiny) na miungu wasio na uchungu nae, ambao wakishakubetia maisha ya aina fulani piga ua wewe ni wa hivyo hivyo tu hata ufanye nini, yaani hata uwatembelee viongozi wa kiroho, wabashiri, wasoma nyota au viganja, wachawi na vigagula majibu ni yaleyale, Sasa kama si ukichaa ni nini?

Ikiwa hatima yako ushaandikiwa kama ni dhiki ni dhiki na kama ni kufia dhambini ni dhambini kwanini waendelea kumlilia, kumsifu kwa mabaya yake, na kumwomba kwa unyenyekevu huku ukijua kabisa kuwa hatima yako haibadiliki na akishaamua au kusema lake huwa halibadiliki.

Mwisho wa siku," do not believe in good fortune too much you were all the culprits"
Jiamulie mwenyewe, nani alikuzuwia?
 
Kila mmoja na ajiulize swali hili kwa dhati yake tokea moyoni; je ni halali kupangiwa maisha yako na kiumbe mwingine asiye wewe tokea kuzaliwa kwako mpaka kifo na kama haitoshi mpaka na adhabu pia juu ya matendo yako aamue yeye?

Kuna watu wameumbiwa shida na mateso yasiyo mithilika na taabu za kutosha tokea kuzaliwa mpaka kufa, halafu ukiuliza chanzo cha yote hayo utaambiwa ni mipango ya Mungu na mapenzi yake yahimidiwe, hivi tunaposema hivi huwa tunamaanisha kweli au tunazungumza kinafki ili mradi kumfurahisha huyu Bwana asituadhibu kwa kumwonesha ghadhabu yetu waziwazi kwa matokeo ya matendo yake.

What deadly sin did we commit to go through such pain?

Hatukukuomba kutuumba wala kutuleta duniani inasemekana ni mapenzi yako. Kwahiyo raha yako ni kututesa nakutufanya tukunyenyekee huku tukililia huruma yako, je hii inaingia akilini kweli?

To be honest, who is the one who tied us together in this fate!

Kuwa kuna matajiri na wapo masikini, wapo wenye mamlaka na wapo watumwa na kuna wenye vyote, kwani wale wanaokula raha maisha yao yote na wala hawana dhiki yeyote katika sehemu ya maisha yao wao waliwapa miungu kitu gani hata hawa fungu la kukosa wawe na uhalali wa kutaabika mpaka wayarudiapo mavumbi?

Even if we argue; the gods don't know, either fate is random, there is no reason behind it. The gods only throw the dice. They don't know who will get a one or a six.

Miungu ucheza pata potea na maisha yetu kiufupi hawana conscious ya kujua ni namna gani matendo yao yanatuumiza na wala hawana sababu ya msingi kwanini wanatutendea binadamu hivyo.

"So irresponsible!"

Only human beings attach reason and imbue meaning for their given fates.

"So sad!"

Kwa wale wote wanaotegemea matumaini na bahati njema kutoka kwa viumbe hawa nadhani wamepotoka na ni vyema kujisahihisha tena, kama ikiwa upo ulazima wa binadamu kuamuliwa hatima (destiny) na miungu wasio na uchungu nae, ambao wakishakubetia maisha ya aina fulani piga ua wewe ni wa hivyo hivyo tu hata ufanye nini, yaani hata uwatembelee viongozi wa kiroho, wabashiri, wasoma nyota au viganja, wachawi na vigagula majibu ni yaleyale, Sasa kama si ukichaa ni nini?

Ikiwa hatima yako ushaandikiwa kama ni dhiki ni dhiki na kama ni kufia dhambini ni dhambini kwanini waendelea kumlilia, kumsifu kwa mabaya yake, na kumwomba kwa unyenyekevu huku ukijua kabisa kuwa hatima yako haibadiliki na akishaamua au kusema lake huwa halibadiliki.

Mwisho wa siku," do not believe in good fortune too much you were all the culprits"
Pole sana, nimeyahisi maumivu yako makali kupitia post yako, ni wazi kuna jaribu unapitia nikwambie tu utalishinda kama utaamua kwa dhati kubadilisha akili yako,

1. Acha lawama -Usimlaumu Mungu/Miungu, Wazazi, Ndugu, Marafiki wala wewe mwenyewe, lawama hurudisha sana nyuma maendeleo ya mtu na kumgandisha akili asifikie malengo yake,

2. Pambania kile unachokiamini- utafanikiwa kwa urahisi ikiwa una kitu unachoamini ndio ufunguo wa mafanikio yako, pambania bila kuchoka na bila kukatishwa tamaa na yoyote,

3. Fanya kazi kwa bidii- bidii yako ya kazi ndio itakayokuvusha kutoka hatua moja kukupeleka hatua nyingine, hautaweza kupata mafanikio kama hufanyi kazi kwa bidii,

4. Imani hailazimishwi- Ishi maisha yako kwa kufata misingi ya sheria na uadilifu, hakuna anayejua maisha baada ya kifo, hakuna aliyeenda akarudi kusimulia, Dini ni mfumo wa maisha ya mwanaadam, Dini ipo ili kumshape mwanaadam asivunje sheria, asivuke mipaka, awe na uoga, awe mtiifu na zaidi atawalike vizuri,

5. Mambo ni mengi ila nimechoka kuandika, chukua hayo kwanza
 
Mkuu usilaumu Mungu Wala Miungu Kwa maana adui Yako ni binadamu mwenzako, tena wanaanza ndugu zako wa karibu.

Inaonekana unapitia magumu flani, Mimi kuna wakati nilipitia ikafika nikaamini HAKUNA MUNGU, mara nikasema huenda Nina Laana, lakini ukiangalia ndugu zako ni matajiri.

Kumbe wao ndio chanzo kupitia ushirikina.

MUNGU Hajawahi na Wala Hatawahi kutuwazia mabaya Mkuu...
 
Mkuu usilaumu Mungu Wala Miungu Kwa maana adui Yako ni binadamu mwenzako, tena wanaanza ndugu zako wa karibu.

Inaonekana unapitia magumu flani, Mimi kuna wakati nilipitia ikafika nikaamini HAKUNA MUNGU, mara nikasema huenda Nina Laana, lakini ukiangalia ndugu zako ni matajiri.

Kumbe wao ndio chanzo kupitia ushirikina.

MUNGU Hajawahi na Wala Hatawahi kutuwazia mabaya Mkuu...
Upo sahihi .
Kuna ndugu hawataki ufanikiwe, alafu sijui kwanini, wanatumia ushirikina usivuke . Ila Mungu atabaki kuwa Mungu.
 
Wahubir wapuuzi wamekujaza ujinga.

Ukielewa maana ya andiko la " Hosea 4:6 utaacha kulalamika huku na kuamua kuchukua hatua itakayo kusaidia.

Ayubu 22:21
[21]Mjue sana Mungu, ili uwe na amani;
Ndivyo mema yatakavyokujia.
 
Tunasema "humans are composed of matter" kwasababu the human body is made up of various chemical elements, primarily oxygen, carbon, hydrogen, nitrogen, calcium na zingine. These elements form molecules, which in turn make up cells, tissues, and organs. Kwa maana hiyo humans are a complex arrangement of matter, and our biological functions are based on the interactions of various types of matter within our bodies.

Tatizo yawezekana knowledge yako ya matter imeishia kwenye Ile ya form one ndo maana hiyo sentensi unaona sio sahihi.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Wee jamaa acha ujuaji! Matter is anything that occupies space and has weight/mass! Human also occupies space and has weight, therefore human is matter! Sasa wewe unaanza kuleta composition of matter! Kajisajiri uanze kidato cha kwanza mwakani kabla form hazijaisha!
 
Nimecheka uliposema kwanini Mungu kwa mapenzi yake bila sisi kumuomba akatuumba ili atutese? Kwani tulimuomba au kumulazimisha atuumbe? 😆😂😂😂! Wee jamaa!

Look! Mungu alitoa sehemu yake ya uungu akaumba mwanadamu! "akampulizia pumzi ikawa nafsi hai" kwa ufupi sisi tulikuwapo ndani ya Mungu. Kwa waliosoma chemistry kuna theory inasema "matter can neither be created nor destroyed but it can be transformed from one form to another!

Binadamu ni pumzi ya uhai wa Mungu (immortal) kama Mungu alivyo immortal, kinachokufa ni mwili ambao ni mavumbi na kurudia ardhi! Ukifa unaendelea kuishi ama maisha mazuri au mabaya kadri utakavyochagua kwasababu una nafsi yenye utashi wa mazuri na mabaya! Roho haifi!


Hiyo ni theory ya energy.
 
Ishu ya mikosi,laana,shida,tabu ni matokeo ya Mtu kutokuwa na maarifa ya kiMungu.
Vyote hivi ni matokeo ya akili kuwa imefungwa.
Akili ufungwa baada ya mtu kutokuwa na maarifa.
Maarifa ni kuingiza taarifa mpya kuhusu linalokutatiza.
 
Shida,dhiki, laana, mikosi uondolewa kwa mtu kufanya matendo ya baraka.
Mungu ubariki mkono utoao.
Matendo ya baraka ni mengi mfano, matendo ya utoaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom