Swali: Je Palestina haina jeshi wala polisi?

ankai

JF-Expert Member
Nov 25, 2017
3,280
4,236
Namaanisha yaani serikali ya Palestina yenyewe haimiliki jeshi wala polisi ama ni ile nchi inaendeshwaje yaani nchi nzima ya Palestina ni kweli haina jeshi wala polisi ama kikosi maalumu cha makomandoo?

Na kama lipo je kazi ya ilo jeshi ni nini mbona polisi ama jeshi la Palestina lenyewe halijitokezi kuwatetea wananchi ama raia wake hasa kipindi hiki wanaposhambuliwa na Israel?

Mwenye majibu sahihi karibu.
 
Wapalestina wenyewe ni watu wenye tamaa sana ya Madaraka (kama walivyo Warabu wenzao) hawana mfumo Mmoja unao watawala Wapalestina wote.

Gaza wana Mamlaka yao West bank nao wana Mamlaka yao na kamwe wapalestina hawatashinda kwa staili hiyo.

Israeli nayo inawajua sana kuwa Wapalestina ni wapenda Shekheli basi hupewa Shekheli na wao kuanza kuuzana wao kwa wao na kuendelea kudundwa sana.
 
Jeshi lao ni HAMAS lkn kwa vile Palestina sio nchi, wanaitwa magaidi. Cha kushangaza rais wao Mahmoud Abbas anatambulika.
Sasa kama Hamasi ndo jeshi lao kwanini miaka nenda miaka rudi ilo jeshi la Hamasi haliadvance kivifaa vya kivita na kukiza ukubwa wa jeshi kwanini wao kila siku mbinu zao ni zile zile hazieongezeki ina maana serikali haitoi budget kwa jeshi lake

Na pia vip kuhusu polisi ya palestina mbona yenyewe haijitokezi kuwatetea wananchi wake
 
Sasa kama Hamasi ndo jeshi lao kwanini miaka nenda miaka rudi ilo jeshi la Hamasi haliadvance kivifaa vya kivita na kukiza ukubwa wa jeshi kwanini wao kila siku mbinu zao ni zile zile hazieongezeki ina maana serikali haitoi budget kwa jeshi lake

Na pia vip kuhusu polisi ya palestina mbona yenyewe haijitokezi kuwatetea wananchi wake
Jeshi ka Israel linajitahidi kwa kila namna HAMAS wasifikiwe na silaha nzito za maangamizi.
 
Reseach about sovereignity kisha ujiuliza ikiwa Palestine ni sovereignity state au la
 
Ina law enforcement agency, polisi, lakini ni taasisi isiyo na nguvu sana, na mara nyingi inashirikiana na Israel,na eneo lake la utawala ni dogo sana.
Ndani ya Palestine wababe ni Hamas,na fatah ni vyama vya siasa lakini vina military wings, ambazo zinapata sana msaada wa mafunzo fedha,kutoka Iran.
 
Ina law enforcement agency, polisi, lakini ni taasisi isiyo na nguvu sana, na mara nyingi inashirikiana na Israel,na eneo lake la utawala ni dogo sana.
Ndani ya Palestine wababe ni Hamas,na fatah ni vyama vya siasa lakini vina military wings, ambazo zinapata sana msaada wa mafunzo fedha,kutoka Iran.
Magaidi

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Reseach about sovereignity kisha ujiuliza ikiwa Palestine ni sovereignity state au la
Wewe ni mbumbu mwerevu na mwenye akili angetoa maelezo yenye majibu sahihi ili kutudaudia sisi tusio lijua hilo na kwa kua tumeshindwa kupata majibu ya haya maswali uliyoyaandika apa ndo mana nikauliza katika mada yangu ningekuona uko timamu kama ungelijibu maswali yangu
 
Siku ukikutana na Goliath akakuambia alichofanywa na kile kitoto kidogo Daudi ndio Israel ni nani
1f49ecd0dd934459b0e9542d792248d5.jpg
 
Back
Top Bottom