Tanzanite klm
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 453
- 376
Afya ya akili-Usomaji wa vitabu
Afya ya mwili-Lishe bora na mazoezi
Afya ya roho-soma kitabu chako cha imani, maombi, dua na kushiriki na ibada.
SIMPLIFIED.
Kuongezea iko tafauti ya ubongo na akili. Ubongo upo ndani ya mwili.
Akili ipo ndani ya nafsi.
Let me simplify it.
Mtu anaundwa na vitu vitatu.
1.Mwili-Ubongo upo hapa
2.Nafsi-Akili iko hapa
3.Roho--Maono yapo hapa.
From that utatu ndiposa afya ya akili inatibika.
So simple.
Nani ana shid ya afya ya akili nimsaidie bure atoe ushuhuda?
Afya ya mwili-Lishe bora na mazoezi
Afya ya roho-soma kitabu chako cha imani, maombi, dua na kushiriki na ibada.
SIMPLIFIED.
Kuongezea iko tafauti ya ubongo na akili. Ubongo upo ndani ya mwili.
Akili ipo ndani ya nafsi.
Let me simplify it.
Mtu anaundwa na vitu vitatu.
1.Mwili-Ubongo upo hapa
2.Nafsi-Akili iko hapa
3.Roho--Maono yapo hapa.
From that utatu ndiposa afya ya akili inatibika.
So simple.
Nani ana shid ya afya ya akili nimsaidie bure atoe ushuhuda?